Ni tabia iliyo kwenye default settings kwa baadhi ya watu kwamba ndugu akifanikiwa basi ni lazima wasaidiwe mpaka kiama.
Yani kinyume na hapo hata ukipunguza msaada aidha kwa matatizo yako ya kifamilia, marejesho ya mkopo, n.k. kelele zinaanza anajitenga, anaringa, mke wake kamnunulia gari, n.k. ni kelele na maneno.
Na hata uwe tajiri, Tabia hii kwa ndugu wanaoomba msaada kugeukwa kuwa sugu kama uraibu unaohitaji dozi ya ziada, matatizo yataanza kutengenezwa.
Misaada iwe na lengo la maendeleo mfano mtaji, kusomesha, kukodi shamba, n.k. lakini unakuta watu hata baada kuwapa mitaji wanaila wanarudi kukutegemea, umepeleka shule hawapo serious, umekodi shamba badowanaendelea kuomba misaada, n.k. lengo la msaada ni lipi ?
Ndio maana ukichunguza jamii zilizoendelea huwa kuna mipaka kwenye kusaidiana, mambo ya kutembeleana ni kwa wiki kadhaa mtu anarudi kuendelea kupambana na maisha, unasaidiwa na kuchangiwa mtaji kwa mategemeo utajikomboa kiuchumi sio kuanza kuomba omba misaada kila mara, n.k.
Yani kinyume na hapo hata ukipunguza msaada aidha kwa matatizo yako ya kifamilia, marejesho ya mkopo, n.k. kelele zinaanza anajitenga, anaringa, mke wake kamnunulia gari, n.k. ni kelele na maneno.
Na hata uwe tajiri, Tabia hii kwa ndugu wanaoomba msaada kugeukwa kuwa sugu kama uraibu unaohitaji dozi ya ziada, matatizo yataanza kutengenezwa.
Misaada iwe na lengo la maendeleo mfano mtaji, kusomesha, kukodi shamba, n.k. lakini unakuta watu hata baada kuwapa mitaji wanaila wanarudi kukutegemea, umepeleka shule hawapo serious, umekodi shamba badowanaendelea kuomba misaada, n.k. lengo la msaada ni lipi ?
Ndio maana ukichunguza jamii zilizoendelea huwa kuna mipaka kwenye kusaidiana, mambo ya kutembeleana ni kwa wiki kadhaa mtu anarudi kuendelea kupambana na maisha, unasaidiwa na kuchangiwa mtaji kwa mategemeo utajikomboa kiuchumi sio kuanza kuomba omba misaada kila mara, n.k.