msani
JF-Expert Member
- Jun 13, 2011
- 1,801
- 1,191
Nimejaribu kufanya Hesabu Zangu za Darasa la 7 D kuhusu huyu Bilionea mchimbaji mdogo wa madini.
Hebu Twende Sawa Hapa na hesabu za Darasa la saba!!
Tanzanite thamani yake hupimwa kwa Carats.
1 Carats = 0.0002kg
Je 15kg ni sawa na ngapi?
= (15kgs x 1 carats) gawa kwa 0.0002kg
Hapa jibu ni = 75,000 Carats.
Kwa hapa chini nakuambatanishia bei za Carats ambazo ni kuanzia $500 -$1500 kwa carats.
Basi tuchukue Carats moja ni sawa na $500.
Thamani= 75000 carats x $500/Carats
= $37.5M
Sasa nimepita hapa Equity Bank nimekuta Exchange Rates kwa 1 USD($) ni 2345
Basi tuzidishe ili tupate kwa hela za Tz.
= $37,500,000 x 2345(TZS/$)
= TZS 87,937,500,000
Makadirio= TZS 87 Bilioni.
Mchimbaji kapewa TZS 7.8 Bilioni na zilizobaki ni Kodi ya Serikali?
Hebu Twende Sawa Hapa na hesabu za Darasa la saba!!
Tanzanite thamani yake hupimwa kwa Carats.
1 Carats = 0.0002kg
Je 15kg ni sawa na ngapi?
= (15kgs x 1 carats) gawa kwa 0.0002kg
Hapa jibu ni = 75,000 Carats.
Kwa hapa chini nakuambatanishia bei za Carats ambazo ni kuanzia $500 -$1500 kwa carats.
Basi tuchukue Carats moja ni sawa na $500.
Thamani= 75000 carats x $500/Carats
= $37.5M
Sasa nimepita hapa Equity Bank nimekuta Exchange Rates kwa 1 USD($) ni 2345
Basi tuzidishe ili tupate kwa hela za Tz.
= $37,500,000 x 2345(TZS/$)
= TZS 87,937,500,000
Makadirio= TZS 87 Bilioni.
Mchimbaji kapewa TZS 7.8 Bilioni na zilizobaki ni Kodi ya Serikali?