Mawazo yangu kuhusu Bilionea wa Tanzanite

Mawazo yangu kuhusu Bilionea wa Tanzanite

Mm kuna kitu nakiona kwa jicho la tatu.....
atangaze anatafuta benki ya kufanya nayo biashara kuhifadhi pesa zake......
kudeposit b Saba at once kwa benki hiyo ni pesa mingi sana ......
ni kama kuwapo mtaji wa biashara.....
Mi mwenyewe sina imani na benk za tz baadgi yao wanachomoa mia mia kwenye viela vyetu, sasa kwa yeye mwenye bilion 7, wakichomoa 10 10 kila baada ya masaa kadhaa, ni ngumu kujua.
 
Hivi unajua hesabu wewe[emoji23][emoji23] serikali imepigwaje Sasa kwa crt nilizozitaja na hiyo bei ni dollar M6 na usheee kama itapata zaidi ya hizo crt na ni possible inategemea na uzima wa jiwe so serikali inaweza kupata zaidi ya hiyo kama uzito unaongezeka wa crt
Bei ya tanzanite sasa imeshuka mara dufu crt kwa sasa haizidi usd 150 kwa hapa Tanzania na hapa[SUP] sio kwamba hilo jiwe lote lita toa hizo crt unazosema kuna mikatiko kuna mavumbi kuna mambo mengi wala toka wa kukata hayo mawe uzito[/SUP] unapotea hapo sana sana zitapatikana crt elf45 hivi.

Hizo bei za tanzanite ulizotaja ni bei za miaka kama miwili nyumba kuanzia mwaka jana bei zilianza kushuka na sasa sbb sijui ni corona ama nini imeshuka mno
Weka hesabu %?mikatiko
%? Mavumbi
%?mambo mengi nk
 
Weka hesabu %?mikatiko
%? Mavumbi
%?mambo mengi nk

Mimi nimeongea kwa uzoefu wangu wa hiyo kazi nipo miaka 15 sasa...
Ukisema niweke % sitaweza sbb sijaliona hilo jiwe live ni Picha tu .. picha haisemi Kila kitu ila ila ujuwe jiwe likishakatwa uzito sio ule ule tena
 
Back
Top Bottom