Mawazo yangu kuhusu Bilionea wa Tanzanite

Mawazo yangu kuhusu Bilionea wa Tanzanite

Kabisa mkuu unajua binadamu tumejawa tamaa sana yaani kuna watu roho zinawauma kabisa eti kapunjwa..hii biashara na hii corona haisomeki jamaa kapata bahati fasta tu..tena mzigo umenunuliwa na serikali..

Hiyo inaitwa "sorting" kwa uchache iko hivi: jiwe linapouzwa mara nyingi ni makubaliano ya muuzaji na mnunuzi na mara nyingi mchimbaji anataka kuuza jiwe lake kwa makubaliano ya jinsi lilivyo hivyo risk inakuwa kwa mnunuzi ingawa mnunuzi makini anakuwa ameshalikadiria kwa muonekano anapata thamani kabla ya sorting nb: wachimbaji wengi hawapendi kufanya sorting kabla ya biashara kwasababu ni taaluma inayohitaji weledi hivyo ukifanya kosa kidogo jiwe ulilokuwa upewe milioni unaweza jikuta umetoa vipande undergrade ukapewa elfu 50
Muache wala hajui chochote huyo, bei anayo isema huko duniani ni baada ya jiwe kukatwa katika shape na kuwa polished.. Kumbuka likiwa polished na likifanyiwa cutting halibaki na size ileile na kama ndani lina crack basi hiyo nayo ni dosari kubwa.. Vivyo hivyo unaweza kukuta Almas ikiwa raw ni carats 100 lakini ikikatwa katika shape na kunakshiwa kwa ajili ya soko la ulimwengu huko linapungua mpaka carats 60 inategemea na ubora wa jiwe.. Anwys, somo hili ni pana sana ngoja tuwaache wa kukurupuka wakurupuke..
Kabisa mkuu unajua binadamu tumejawa tamaa sana yaani kuna watu roho zinawauma kabisa eti kapunjwa..hii biashara na hii corona haisomeki jamaa kapata bahati fasta tu..tena mzigo umenunuliwa na serikali..

Kwa haya inawezekana serikali imepata hasara kununua jiwe ambalo halilingani na thamani yake
 
Jiwe jipya liwe na rangi ya kutosha ndio upige hesabu izo,Pia korona imeharibu soko.
 
Na hapo ni uncut. Value yake ni zaidi ya hiyo

Aiseeh huna hujualo[emoji23][emoji23][emoji1487][emoji1487][emoji1487] jiwe likiwa uncut value ni ndogo maana atakae nunua anachukua risk nyingi sana akienda kukata ...
Maana hatopata lote humo ndani atakutana na mikatiko itaku haina kazi vitu vingine muwe mnauliza kabla ya ku comment...
Sawa na anaeuza juice na matunda yupi ana tengeneza zaidi ! Ila anae nunua chungwa kwenda kutengeneza juice pia atakutana na yaliyooza atayatupa
 
Kwa hivyo unataka kutuambia kuwa serikali yetu imeingizwa chaka?

Hivi unajua hesabu wewe[emoji23][emoji23] serikali imepigwaje Sasa kwa crt nilizozitaja na hiyo bei ni dollar M6 na usheee kama itapata zaidi ya hizo crt na ni possible inategemea na uzima wa jiwe so serikali inaweza kupata zaidi ya hiyo kama uzito unaongezeka wa crt
 
Kwa haya inawezekana serikali imepata hasara kununua jiwe ambalo halilingani na thamani take?
Hapana serikali ina watu makini waliosomea na wanalipwa kwa kazi hiyo,pia kuna shirika maalum linaloshughulika na mambo haya (STAMICO) lazima tathmini imefanyika ya kuridhisha na kutosha
 
Kwa haya inawezekana serikali imepata hasara kununua jiwe ambalo halilingani na thamani yake
Hapana ondoa shaka hiyo,serikali ina watu makini na wenye weledi wa kufanya tathmini hiyo kabla ya kufanya manunuzi
 
Hata ivo mzee Bilion 7.8? Sio cha mtoto


Hiyo Tanzanite haijachumwa kwneye mtu mkuu Kumbukeni kuna gharama za uendeshaji wa mgodi sio chini ya million 100 kwa mwezi unapiga moto hata Miaka 5 adi 10 haupati kitu sasa hizo gharama za uendeshaji na hiyo hela aliyopewa na serikali ni vile vile hajapata kitu ni kama kaludishiwa nusu gharama ya kuudumia mgodi

Serikali wangechukua kodi yao wamuache auze mwenyewe ili aludishe gharama zake na faida

Na amekubali kwa uoga kuuzia serikali, angekua na mbinu mbadala angetolosha mawe

Serikali jengeni mazingira rafiki ili wafanyabiashara wasitoloshe Madini , msiwakomoe sana
 
Hiyo Tanzanite haijachumwa kwneye mtu mkuu Kumbukeni kuna gharama za uendeshaji wa mgodi sio chini ya million 100 kwa mwezi unapiga moto hata Miaka 5 adi 10 haupati kitu sasa hizo gharama za uendeshaji na hiyo hela aliyopewa na serikali ni vile vile hajapata kitu ni kama kaludishiwa nusu gharama ya kuudumia mgodi

Serikali wangechukua kodi yao wamuache auze mwenyewe ili aludishe gharama zake na faida

Na amekubali kwa uoga kuuzia serikali, angekua na mbinu mbadala angetolosha mawe

Serikali jengeni mazingira rafiki ili wafanyabiashara wasitoloshe Madini , msiwakomoe sana
Msiongee sana kumtetea mtabumbulua mengi kwa kihere here.

Huoni kama limepigwa kisu hiloo,au mnataka wachawi waingie kazini kudhurumu jasho la mtu[emoji16][emoji16][emoji16].serikali inajua nini kinaendelea so tukaushe.
 
Msiongee sana kumtetea mtabumbulua mengi kwa kihere here.

Huoni kama limepigwa kisu hiloo,au mnataka wachawi waingie kazini kudhurumu jasho la mtu[emoji16][emoji16][emoji16].serikali inajua nini kinaendelea so tukaushe.


Wewe ndio ukamatwe kwanza ukatusaidie kutoa ushaidi useme vizuri mlipigaje pigaje Kisu

Eti limepigwa kisu unajua hata Tanzanite inavyopatikana?

Unafikili hayo ni matofati yamepangwa chini ya miamba kwamba unachomoa tu yakiwa yamenyooka au kama unavyovuna mahindi ?😂😂😂 kaa kimya
 
Wewe ndio ukamatwe kwanza ukatusaidie kutoa ushaidi useme vizuri mlipigaje pigaje Kisu

Eti limepigwa kisu unajua hata Tanzanite inavyopatikana?

Unafikili hayo ni matofati yamepangwa chini ya miamba kwamba unachomoa tu yakiwa yamenyooka au kama unavyovuna mahindi ?[emoji23][emoji23][emoji23] kaa kimya
Kwahiyo unadhani wewe pekee hapa jf ndio unaijua tanzanite,mpaka unanyamazisha watu!!!
Acha ujinga bana.
 
Ila na hiyo sio haba ana uwezo wa kufanya miradi mikubwa ya kimaendeleo, akaanzisha hata biashara ya usafirishaji na gari akaziandika Tanzanite
Hiyo biashara ya magari itamtia kidole haraka sana.....
Adeal na fixed assets ie nyumba, viwanja mashamba....
 
Mm kuna kitu nakiona kwa jicho la tatu.....
atangaze anatafuta benki ya kufanya nayo biashara kuhifadhi pesa zake......
kudeposit b Saba at once kwa benki hiyo ni pesa mingi sana ......
ni kama kuwapo mtaji wa biashara.....
 
Lema kazungumza hapa kaonekana mjuaji ila ngoja nikopi uzi wako nikakoment kule kwa wabishe na nitakutag.
 
Mchimbaji mzalendo kaona bora kuchangia nchi yake kuliko mabeberu
 
Back
Top Bottom