SIERA
JF-Expert Member
- Apr 11, 2011
- 2,789
- 3,413
Bei ya tanzanite sasa imeshuka mara dufu crt kwa sasa haizidi usd 150 kwa hapa Tanzania na hapa sio kwamba hilo jiwe lote lita toa hizo crt unazosema kuna mikatiko kuna mavumbi kuna mambo mengi wala toka wa kukata hayo mawe uzito unapotea hapo sana sana zitapatikana crt elf45 hivi.
Hizo bei za tanzanite ulizotaja ni bei za miaka kama miwili nyumba kuanzia mwaka jana bei zilianza kushuka na sasa sbb sijui ni corona ama nini imeshuka mno
Hizo bei za tanzanite ulizotaja ni bei za miaka kama miwili nyumba kuanzia mwaka jana bei zilianza kushuka na sasa sbb sijui ni corona ama nini imeshuka mno