NAMBA MOJA AJAYE NCHINI
JF-Expert Member
- Oct 29, 2019
- 9,863
- 20,806
Kifupi jamaa kapigwa huyo!!!hzo zilizobaki ni hela za uchaguzi!!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nimejaribu kufanya Hesabu Zangu za Darasa la 7 D kuhusu huyu Bilionea mchimbaji mdogo wa madini.
Hebu Twende Sawa Hapa na hesabu za Darasa la saba!!
Tanzanite thamani yake hupimwa kwa Carats.
1 Carats = 0.0002kg
Je 15kg ni sawa na ngapi?
= (15kgs x 1 carats) gawa kwa 0.0002kg
Hapa jibu ni = 75,000 Carats.
Kwa hapa chini nakuambatanishia bei za Carats ambazo ni kuanzia $500 -$1500 kwa carats.
Basi tuchukue Carats moja ni sawa na $500.
Thamani= 75000 carats x $500/Carats
= $37.5M
Sasa nimepita hapa Equity Bank nimekuta Exchange Rates kwa 1 USD($) ni 2345
Basi tuzidishe ili tupate kwa hela za Tz.
= $37,500,000 x 2345(TZS/$)
= TZS 87,937,500,000
Makadirio= TZS 87 Bilioni.
Mchimbaji kapewa TZS 7.8 Bilioni na zilizobaki ni Kodi ya Serikali?
Hata mimi sijui mkuu,nilijaribu kufanya hesabu tuwamemkata kabisa kodi na hela ya CSR.coperate social responsility au. Ila mkuu siiamini hiyo calculation yako.kwa nini jamaa asiuze kwenye soko la madini? Au serikali wamelazimisha awauzie?
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Kwahiyo unatufokea?
Kodi lazima alipe kakokotoa hesabu hapo kaona kama .....Amelipa kodi?
Kitu chochote kinachopigiwa makelele na maccm hua sikiamini whatsoever!
Na hii propaganda siiamini hata wafanyeje...
Sasa kwanini wasilichambue hilo jiwe kwanza kisha waje na hesabu kamili kuliko kununua hivyo lilivyo? Kwani kuna haraka gani hapa?Hapana si kweli,Tanzanite haiuzwi tu kwa kupima uzito vipo vigezo vingi vya kuithaminisha,naweza kuwa na gram 1 yaTznite nikauza lets say 500k na mwingine akawa na gram 10 akauza elfu 10(kulingana na ubora) jiwe pekee linaloweza kuwa na fixed price ni dhahabu angalau ikipishana bei ni kiduchu sana kulingana na purity...ni darasa pana kidogo ingawa haliitajii zaidi elimu ya darasani
Hiyo hesabu ya caret ni cating lakini kama jiwe halijafanyiwa cating huuzwa kea gramu
Na katika kukata jiwe inategemea na rangi itatoka vip A D C.
Hata mimi sijui mkuu,nilijaribu kufanya hesabu tu