Mawazo yangu kuhusu Bilionea wa Tanzanite


wamemkata kabisa kodi na hela ya CSR.coperate social responsility au. Ila mkuu siiamini hiyo calculation yako.kwa nini jamaa asiuze kwenye soko la madini? Au serikali wamelazimisha awauzie?
 
wamemkata kabisa kodi na hela ya CSR.coperate social responsility au. Ila mkuu siiamini hiyo calculation yako.kwa nini jamaa asiuze kwenye soko la madini? Au serikali wamelazimisha awauzie?
Hata mimi sijui mkuu,nilijaribu kufanya hesabu tu
 
Unaweza kuta jamaa anamalimbikizo ya madeni ya kodi kwenye vitalu vyake vya uchimbaji kwahiyo kilochopatikana nimali ya serikali yeye ni amelipwa hio kama labour cost
 
Mimi mwenyewe kwa hizo kilo na hiyo bei ndogo kwa nini wasingemwacha akauza kwa wahitaji mwenyewe kama ni kodi akalipa stahiki na hili la kumtangaza mtu naona kama ni kuhatarisha maisha yake mana inabidi aishi kama digi digi na ulinzi juu hapo bado ndugu jamaa na marafiki hawajaja kulia shida
 
Hapana si kweli, Tanzanite haiuzwi tu kwa kupima uzito vipo vigezo vingi vya kuithaminisha,naweza kuwa na gram 1 yaTznite nikauza lets say 500k na mwingine akawa na gram 10 akauza elfu 10 (kulingana na ubora) jiwe pekee linaloweza kuwa na fixed price ni dhahabu angalau ikipishana bei ni kiduchu sana kulingana na purity...ni darasa pana kidogo ingawa haliitajii zaidi elimu ya darasani
 
Mimi sijapenda walivyomtangaza kwenye vyombo vya habari. Kuhusu ndugu, jamaa na marafiki watakaomiminika kwenda kukopa na kulia shida ni wengi sana
 
Sasa kwanini wasilichambue hilo jiwe kwanza kisha waje na hesabu kamili kuliko kununua hivyo lilivyo? Kwani kuna haraka gani hapa?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…