Hiyo inaitwa "sorting" kwa uchache iko hivi: jiwe linapouzwa mara nyingi ni makubaliano ya muuzaji na mnunuzi na mara nyingi mchimbaji anataka kuuza jiwe lake kwa makubaliano ya jinsi lilivyo hivyo risk inakuwa kwa mnunuzi ingawa mnunuzi makini anakuwa ameshalikadiria kwa muonekano anapata thamani kabla ya sorting nb: wachimbaji wengi hawapendi kufanya sorting kabla ya biashara kwasababu ni taaluma inayohitaji weledi hivyo ukifanya kosa kidogo jiwe ulilokuwa upewe milioni unaweza jikuta umetoa vipande undergrade ukapewa elfu 50Sasa kwanini wasilichambue hilo jiwe kwanza kisha waje na hesabu kamili kuliko kununua hivyo lilivyo? Kwani kuna haraka gani hapa?
Muache wala hajui chochote huyo, bei anayo isema huko duniani ni baada ya jiwe kukatwa katika shape na kuwa polished.. Kumbuka likiwa polished na likifanyiwa cutting halibaki na size ileile na kama ndani lina crack basi hiyo nayo ni dosari kubwa.. Vivyo hivyo unaweza kukuta Almas ikiwa raw ni carats 100 lakini ikikatwa katika shape na kunakshiwa kwa ajili ya soko la ulimwengu huko linapungua mpaka carats 60 inategemea na ubora wa jiwe.. Anwys, somo hili ni pana sana ngoja tuwaache wa kukurupuka wakurupuke..Mkuu kwahiyo Kati yako na laizer Nani anajua Bei ya tanzanite.. kwahiyo unataka kutuaminisha hapa kuwa muda wote huo alioanza Kazi ya kuchimba tanzanite hajawahi kufahamu Bei yake?
Je, unafikiri yeye kabla ya kuuza huo mzigo mnono hakufanya ufuatiliaji wowote juu ya soko na Bei ya tanzanite ndani na nje ya nchi?
Watanzania tupunguzeni unafiki na uchochezi usiokuwa na maana.
Tanzania watalam wetu wengi wanakaa kimya kwenye habari nyingi za kupotosha ukweli.Muache wala hajui chochote huyo, bei anayo isema huko duniani ni baada ya jiwe kukatwa katika shape na kuwa polished.. Kumbuka likiwa polished na likifanyiwa cutting halibaki na size ileile na kama ndani lina crack basi hiyo nayo ni dosari kubwa.. Vivyo hivyo unaweza kukuta Almas ikiwa raw ni carats 100 lakini ikikatwa katika shape na kunakshiwa kwa ajili ya soko la ulimwengu huko linapungua mpaka carats 60 inategemea na ubora wa jiwe.. Anwys, somo hili ni pana sana ngoja tuwaache wa kukurupuka wakurupuke..
Mkuu angalia hizo hesabu zako zisikutokee puani asee...Sio uchochezi mkuu ni mawazo yangu tu ya Darasa la 7 D. Huenda watalaamu watatutoa tongo tongo
na hilo ndo jammbo la muhimu, kuridhika na unachopata.Nimeangalia hiyo habari..serikali imechukua million 600 toka kwenye huo mzigo..kwahyo jamaa anabaki na hiyo saba..na mwenyewe karidhika wakati anahojiwa.!
Kabisa mkuu unajua binadamu tumejawa tamaa sana yaani kuna watu roho zinawauma kabisa eti kapunjwa..hii biashara na hii corona haisomeki jamaa kapata bahati fasta tu..tena mzigo umenunuliwa na serikali..na hilo ndo jammbo la muhimu, kuridhika na unachopata.
Nimejaribu kufanya Hesabu Zangu za Darasa la 7 D kuhusu huyu Bilionea mchimbaji mdogo wa madini.
Hebu Twende Sawa Hapa na hesabu za Darasa la saba!!
Tanzanite thamani yake hupimwa kwa Carats.
1 Carats = 0.0002kg
Je 15kg ni sawa na ngapi?
= (15kgs x 1 carats) gawa kwa 0.0002kg
Hapa jibu ni = 75,000 Carats.
Kwa hapa chini nakuambatanishia bei za Carats ambazo ni kuanzia $500 -$1500 kwa carats.
Basi tuchukue Carats moja ni sawa na $500.
Thamani= 75000 carats x $500/Carats
= $37.5M
Sasa nimepita hapa Equity Bank nimekuta Exchange Rates kwa 1 USD($) ni 2345
Basi tuzidishe ili tupate kwa hela za Tz.
= $37,500,000 x 2345(TZS/$)
= TZS 87,937,500,000
Makadirio= TZS 87 Bilioni.
Mchimbaji kapewa TZS 7.8 Bilioni na zilizobaki ni Kodi ya Serikali?
Acha vitisho vya nyau. Vitisho peleka Facebook.Mkuu angalia hizo hesabu zako zisikutokee puani asee...
😁😁Acha vitisho vya nyau. Vitisho peleka Facebook.
Huku unatakiwa utoe hoja; mtoa mada katoa analysis ya kupigwa. Ww unasema hajapigwa. Kwa nn hajapigwa? Toa hoja.
Mkishindwa hoja na kuumbuliwa mnakimbilia vitisho vya kuteka na kuua. Stupid.
Hiyo hesabu ya caret ni cating lakini kama jiwe halijafanyiwa cating huuzwa kea gramu
Na katika kukata jiwe inategemea na rangi itatoka vip A D C.
Bei ya tanzanite sasa imeshuka mara dufu crt kwa sasa haizidi usd 150 kwa hapa Tanzania na hapa sio kwamba hilo jiwe lote lita toa hizo crt unazosema kuna mikatiko kuna mavumbi kuna mambo mengi wala toka wa kukata hayo mawe uzito unapotea hapo sana sana zitapatikana crt elf45 hivi.
Hizo bei za tanzanite ulizotaja ni bei za miaka kama miwili nyumba kuanzia mwaka jana bei zilianza kushuka na sasa sbb sijui ni corona ama nini imeshuka mno
Kabisa mkuu unajua binadamu tumejawa tamaa sana yaani kuna watu roho zinawauma kabisa eti kapunjwa..hii biashara na hii corona haisomeki jamaa kapata bahati fasta tu..tena mzigo umenunuliwa na serikali..
Hiyo inaitwa "sorting" kwa uchache iko hivi: jiwe linapouzwa mara nyingi ni makubaliano ya muuzaji na mnunuzi na mara nyingi mchimbaji anataka kuuza jiwe lake kwa makubaliano ya jinsi lilivyo hivyo risk inakuwa kwa mnunuzi ingawa mnunuzi makini anakuwa ameshalikadiria kwa muonekano anapata thamani kabla ya sorting nb: wachimbaji wengi hawapendi kufanya sorting kabla ya biashara kwasababu ni taaluma inayohitaji weledi hivyo ukifanya kosa kidogo jiwe ulilokuwa upewe milioni unaweza jikuta umetoa vipande undergrade ukapewa elfu 50
Muache wala hajui chochote huyo, bei anayo isema huko duniani ni baada ya jiwe kukatwa katika shape na kuwa polished.. Kumbuka likiwa polished na likifanyiwa cutting halibaki na size ileile na kama ndani lina crack basi hiyo nayo ni dosari kubwa.. Vivyo hivyo unaweza kukuta Almas ikiwa raw ni carats 100 lakini ikikatwa katika shape na kunakshiwa kwa ajili ya soko la ulimwengu huko linapungua mpaka carats 60 inategemea na ubora wa jiwe.. Anwys, somo hili ni pana sana ngoja tuwaache wa kukurupuka wakurupuke..
Kabisa mkuu unajua binadamu tumejawa tamaa sana yaani kuna watu roho zinawauma kabisa eti kapunjwa..hii biashara na hii corona haisomeki jamaa kapata bahati fasta tu..tena mzigo umenunuliwa na serikali..