KakaJambazi
JF-Expert Member
- Jun 5, 2009
- 18,804
- 12,227
Mi mwenyewe sina imani na benk za tz baadgi yao wanachomoa mia mia kwenye viela vyetu, sasa kwa yeye mwenye bilion 7, wakichomoa 10 10 kila baada ya masaa kadhaa, ni ngumu kujua.Mm kuna kitu nakiona kwa jicho la tatu.....
atangaze anatafuta benki ya kufanya nayo biashara kuhifadhi pesa zake......
kudeposit b Saba at once kwa benki hiyo ni pesa mingi sana ......
ni kama kuwapo mtaji wa biashara.....
Hivi unajua hesabu wewe[emoji23][emoji23] serikali imepigwaje Sasa kwa crt nilizozitaja na hiyo bei ni dollar M6 na usheee kama itapata zaidi ya hizo crt na ni possible inategemea na uzima wa jiwe so serikali inaweza kupata zaidi ya hiyo kama uzito unaongezeka wa crt
Weka hesabu %?mikatikoBei ya tanzanite sasa imeshuka mara dufu crt kwa sasa haizidi usd 150 kwa hapa Tanzania na hapa[SUP] sio kwamba hilo jiwe lote lita toa hizo crt unazosema kuna mikatiko kuna mavumbi kuna mambo mengi wala toka wa kukata hayo mawe uzito[/SUP] unapotea hapo sana sana zitapatikana crt elf45 hivi.
Hizo bei za tanzanite ulizotaja ni bei za miaka kama miwili nyumba kuanzia mwaka jana bei zilianza kushuka na sasa sbb sijui ni corona ama nini imeshuka mno
Weka hesabu %?mikatiko
%? Mavumbi
%?mambo mengi nk