Maxence Melo ateuliwa kuwa Mjumbe wa Bodi ya Tume ya Ulinzi wa Taarifa Binafsi

Maxence Melo ateuliwa kuwa Mjumbe wa Bodi ya Tume ya Ulinzi wa Taarifa Binafsi

Pablo escobar kabla hajatiwa korokoroni

Inaaminika ndie mtu pekee alietengeneza ajira nyng Sana bara Zima la America kusini na kaskazini kutokana na chain nzima ya supply ya bidhaa zake kote zilikouzwa duniani.

Alikua na makazi yake Kwny mji mdg sana uliojitenga na Mexico (mfano Kama ilivo kigamboni) unakila kitu kuanzia maji,umeme na huduma zote muhimu za kijamii.

Wananchi waliajiliwa na waliomzunguka wasiojiweza walilipwa posho za matumizi ya kila mwisho wa mwezi Kama mnavolipwa pesa za TASAF, kijana wako akioa Pablo anamlipia mahali, elimu alikua anasomesha bure.

Ila alipohojiwa na mwandishi akiwa jela, Akasema kigezo namba Moja ili akuajiri au kukuruhusu uishi mazingira anayoishi yeye Ni kimoja TU.

Usiwe na undugu,ujamaa au urafiki wowote wa wafanyakazi wa serikali iliyoko madarakani nchini Mexico.

Akasisitiza zaidi,
"mengine yote yanavumilika,ntakusikiliza ila isipokua Hilo TU na wamexico wote wanalijua Sana tu"
 
Majukwaa ambayo yatapata umaarufu muda si mrefu.

MMU, JAMII SPORTS ,CELEBRITIES FORUM,TECH .

Nyuzi zitakazofufuliwa .
Uzi wa kula kimasihara,
Wazee wa kubashiri
Jinsi biashara ya uber
Nyuzi za mama j

Kila lenye mwanzo halijawahi kukosa kuwa na mwisho.

Hii privacy iliyokuwepo tu nilikuwa sina imani nayo.
Sidhani kama hii ya baada ya teuzi itakuwa na imani tena.

Kilichobaki hapa ni kutelekeza id's maarufu na kuchukua iid nyingine za kuchangia mada MMU.

WAASALAAM
 
images (9) - 2023-12-18T225458.163.jpeg

It's a trick, Ruuuuuun!!!!!!, they're coming
 
Majukwaa ambayo yatapata umaarufu muda si mrefu.

MMU, JAMII SPORTS ,CELEBRITIES FORUM,TECH .

Nyuzi zitakazofufuliwa .
Uzi wa kula kimasihara,
Wazee wa kubashiri
Jinsi biashara ya uber
Nyuzi za mama j

Kila lenye mwanzo halijawahi kukosa kuwa na mwisho.

Hii privacy iliyokuwepo tu nilikuwa sina imani nayo.
Sidhani kama hii ya baada ya teuzi itakuwa na imani tena.

Kilichobaki hapa ni kutelekeza id's maarufu na kuchukua iid nyingine za kuchangia mada MMU.

WAASALAAM
Ha ha ha....wee jamaa bhana[emoji4]
 
[emoji23][emoji23][emoji23] Km uliwai kujifanya mtoa taarifa za siri za serikali puliiz kafute na itelekeze id mapem. Disko limeingia masai
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] mie nlikua nachangia kwa mbaliii tyuuh, taarifa za siri huko serikalini nizitoe wapiii?
 
Back
Top Bottom