Determinantor
Platinum Member
- Mar 17, 2008
- 59,045
- 94,974
HAHAHA alijitahidi mno kuandika kabisa...Mayala maana yake ni Njaa,hata Msukuma mwenzake alimjua jinsi alivyo mnafiki na mwenye njaa.
Umri wa kulea WajukuuHuyo jamaa anachoandika hakiendani na umri wake.
Umri wa kulea WajukuuHuyo jamaa anachoandika hakiendani na umri wake.
Sio KAWE?Mzee anaezeeka vibaya imagine hata ccm wenzake walimkataa kule kigamboni wakampa kura moja tu tafsiri yake ni kwamba haaminiki. Freelancer mavi.
Mida hii sasa anasoma kimya kimyaUkiona Mtu 'anadharauliwa' mno na GENTAMYCINE hapa Jamvini jua ni 'damn Fool' na wala usinishangae kwa hili kwani wengine tuna hadi 'dossiers' zao Mkuu.
KJ.Mida hii sasa anasoma kimya kimya
Hahahahaha maneno ya zamani sana haya, kuna Watu hawatayaelewa
Wenye Akili watalielewa / wamelielewa.Hahahahaha maneno ya zamani sana haya, kuna Watu hawatayaelewa
KJ.Paskali Mayala hakubaliani na uamuzi wa mahakama kama ambavyo anavyomuona Mbowe ni gaidi.