Mayalla ana hali gani mida hii baada ya Mahakama kuipiga chini kesi ya Mdee na Wenzake?

Mayalla hana shida maana ameshalipwa mamilioni ya pesa zetu kushabikia uonevu.
 
Aliandika maoni yake kama ww ulivyoandika ya kwako, demokrasia ni kuheshimu mawazo ya wengine hata Kama ni kinyume na ya kwako
Huo ndo Uhuru wa kutoa maoni
 
mayalla huwa anajipendekeza sana kwa system sema system yenyewe haijawahi kumwelewa
 
Mayalla is the someone who find something from unknown place let's look as it is.
 
Alijua Magufuli na Ndugai hawatakufa ( Ndugai naye ni "mfu" tu, dead man walking)
 
Paskali "Njaa" Mayalla atawapotosha wasiojua, lakini Wakalee kama mimi tunaomjua tangu anaanza wanahabari hatubabaishi hata nukta! Ni njaa tu inamsumbua hata Mwendachato alimwambia hadharani!
Muda huu yuko msalani anatunga sheria aanzie wapi kupunguza aibu yake!!
 
Jiwe alisema hivyo hivyo lakini katangulia yeye, Mungu fundi aisee. Wengine bila Chadema msingekuwa na kazi hapo CCM
камень жив в наших сердцах , если постучишься ннайди SA100
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…