Mayele aliianzisha vita ambayo haiwezi, kulia lia hakutomsaidia kitu

Mayele aliianzisha vita ambayo haiwezi, kulia lia hakutomsaidia kitu

Half american

JF-Expert Member
Joined
Sep 21, 2018
Posts
38,283
Reaction score
97,793
“Wanashambulia hadi familia yangu, nimemposti mtoto wangu wa kwanza ilikuwa siku ya Birthday yake watu wanaandika ushambaushamba mpaka baba yangu akanipigia simu anasema ‘ni nini hiki mbona sio wewe wanaanza kuingia kwenye familia, nilichomjibu baba ni kuwa nilikosea kucheza Tanzania”

Fiston Mayele akizungumza katika mahojiano na Azam Tv.

Hili linaloendelea litufundishe jambo, kuna mambo ya kuongea na kutokuongea, ikumbukwe yeye ndie alieanza kuirushia maneno Yanga na bado anaendelea. Sidhani kama ataiweza vita na mashabiki (maneno, ushirikina) na kama ndio mtu wa kujali yanayoandikwa mtandaoni hali itazidi kuwa mbaya kwake.

Ushauri wangu ni bora akae kimya kuliko kuendeleza maneno.

cd3689af8c0f4beebc07210c24512cb8.jpg
 
Mayele alikosea kucheza utopoloni. Sio tanzania .hao utopolo akili hawana. .mchezaji wao yeyote akiwa mzuri akiondoka lazma watamchukia .angalia Morriston,feisal na sasa mayele. Hyo timu ndo tabia zake.we timu inaandika barua kuomba wapewe goli wana akili hao?
 
“Wanashambulia hadi familia yangu, nimemposti mtoto wangu wa kwanza ilikuwa siku ya Birthday yake watu wanaandika ushambaushamba mpaka baba yangu akanipigia simu anasema ‘ni nini hiki mbona sio wewe wanaanza kuingia kwenye familia, nilichomjibu baba ni kuwa nilikosea kucheza Tanzania”

Fiston Mayele akizungumza katika mahojiano na Azam Tv.

Hili linaloendelea litufundishe jambo, kuna mambo ya kuongea na kutokuongea, ikumbukwe yeye ndie alieanza kuirushia maneno Yanga na bado anaendelea. Sidhani kama ataiweza vita na mashabiki(maneno,ushirikina) na kama ndio mtu wa kujali yanayoandikwa mtandaoni hali itazidi kuwa mbaya kwake.

Ushauri wangu ni bora akae kimya kuliko kuendeleza maneno.

View attachment 2960619
kama kweli mmemloga, mwachieni, au mrudisheni yanga basi atafute pesa ya watoto wake.
 
Mayele alikosea kucheza utopoloni. Sio tanzania .hao utopolo akili hawana. .mchezaji wao yeyote akiwa mzuri akiondoka lazma watamchukia .angalia Morriston,feisal na sasa mayele. Hyo timu ndo tabia zake.we timu inaandika barua kuomba wapewe goli wana akili hao?
Jamaa ni washamba Sana
Hawajui Moira ni biashara?akili kisoda tu,no wonder wengi ni shuleless🤣😂
 
Yanga na wanayanga wajifunze kupotezea... Msiwaandame mno wachezaji wanaotoka njee ya yanga.
Huu ni ushamba wa kiwango cha lami. Sijawahi ona jambo kama hili kwa simba na wanasimba kwa ujumla.
Anyway mtoto umleavyo ndivyo akuavyo...
 
Mayele alikosea kucheza utopoloni. Sio tanzania .hao utopolo akili hawana. .mchezaji wao yeyote akiwa mzuri akiondoka lazma watamchukia .angalia Morriston,feisal na sasa mayele. Hyo timu ndo tabia zake.we timu inaandika barua kuomba wapewe goli wana akili hao?
[emoji23][emoji23][emoji1787][emoji1787]Ushapata pakutolea machungu ya moyoni , tema mkuu usije jifia
 
Mayele alikosea kucheza utopoloni. Sio tanzania .hao utopolo akili hawana. .mchezaji wao yeyote akiwa mzuri akiondoka lazma watamchukia .angalia Morriston,feisal na sasa mayele. Hyo timu ndo tabia zake.we timu inaandika barua kuomba wapewe goli wana akili hao?
Mwana mbumbumbu FC katika ubora wako wa umbumbumbu. Kweli ID yako inaakisi ulichokiandika
 
Yanga na wanayanga wajifunze kupotezea... Msiwaandame mno wachezaji wanaotoka njee ya yanga.
Huu ni ushamba wa kiwango cha lami. Sijawahi ona jambo kama hili kwa simba na wanasimba kwa ujumla.
Anyway mtoto umleavyo ndivyo akuavyo...
[emoji1787][emoji1787]Nyie Simba mlipoacha wachezaji wenu angalia kilichowakuta , mmepotea mazima, mmewarudisha wameshiba, mpira hamna ..Feisal na Mayele ni wachezaji wanaoteseka sana na mafanikio ya Yanga.
Misiri ni ligi kubwa sana ile just imagine kuna timu za kawaida zinaiufunga Ally Ahli lakini kutwa tunahangaika kuwafunga , Mayele alijaa sifa akaamini popote pale atawika , yamemkuta anaaza kubebesha watu lawama.
 
hiyo vita ni nyepesi mnoooo kwa mayele, najua hutoamini.

vuta kiti tulia, japo na mimi ni yanga mwenzao.
 
Yanga na wanayanga wajifunze kupotezea... Msiwaandame mno wachezaji wanaotoka njee ya yanga.
Huu ni ushamba wa kiwango cha lami. Sijawahi ona jambo kama hili kwa simba na wanasimba kwa ujumla.
Anyway mtoto umleavyo ndivyo akuavyo...
Haandamwi na ikumbukwe mwanzoni alikuwa ana upendo na mashabiki hata huko alipo ila maneno yake yanamtengenezea vita na mashabiki.
 
Ana taka kuumwa ubongo tu huyu nae.uko pyramid kasha poteana ndo asumbuane na wabongo wenye keyboard warrior trophy
Tena wabongo kwa maneno tu ameyakanyaga, anatia huruma bora angejikalia kimya.
 
Back
Top Bottom