Half american
JF-Expert Member
- Sep 21, 2018
- 38,283
- 97,793
- Thread starter
- #41
Kuhama yanga sio shida kwetu na hatukuwahi kuwa na shida nae kwa hilo, tatizo lilianza aliposema kuwa yanga wamemtupia majini.Angalau yule anapopolewa kwa mafyongo yake. Mayele sababu ya kupopolewa ni nini? Kuhama Yanga?