Half american
JF-Expert Member
- Sep 21, 2018
- 38,283
- 97,793
- Thread starter
- #21
Mpaka sasa kashashindwa, vita ya mashabiki haijawahi kuwa rahisi kwa mchezaji.vita ni suala la saikolojia ndugu, kuna mbinu nyingi mno za kimedani.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mpaka sasa kashashindwa, vita ya mashabiki haijawahi kuwa rahisi kwa mchezaji.vita ni suala la saikolojia ndugu, kuna mbinu nyingi mno za kimedani.
😂 kubandika kwani haya ni makande? Lini umenihamishia dar?Kumbe unajua na kubandika uzi? Watu wa Dar mna mko vizuri 😁
Unapokuja Yanga na Simba ujue umekuja kwenye siasa.“Wanashambulia hadi familia yangu, nimemposti mtoto wangu wa kwanza ilikuwa siku ya Birthday yake watu wanaandika ushambaushamba mpaka baba yangu akanipigia simu anasema ‘ni nini hiki mbona sio wewe wanaanza kuingia kwenye familia, nilichomjibu baba ni kuwa nilikosea kucheza Tanzania”
Fiston Mayele akizungumza katika mahojiano na Azam Tv.
Hili linaloendelea litufundishe jambo, kuna mambo ya kuongea na kutokuongea, ikumbukwe yeye ndie alieanza kuirushia maneno Yanga na bado anaendelea. Sidhani kama ataiweza vita na mashabiki (maneno, ushirikina) na kama ndio mtu wa kujali yanayoandikwa mtandaoni hali itazidi kuwa mbaya kwake.
Ushauri wangu ni bora akae kimya kuliko kuendeleza maneno.
View attachment 2960619
maneno kama maji ya moto tu, ukiona makali lakini hayaunguzi nyumba.Tena wabongo kwa maneno tu ameyakanyaga, anatia huruma bora angejikalia kimya.
Mjinga ni yeye hadi ana sign contract hakujua kuwa haikuwa sahihi yeye kucheza TZ? Umaarufu unamzuzua ila nahisi pia haya yote anayafanya ili SIMBA SC imsajili.Mayele alikosea kucheza utopoloni. Sio tanzania .hao utopolo akili hawana. .mchezaji wao yeyote akiwa mzuri akiondoka lazma watamchukia .angalia Morriston,feisal na sasa mayele. Hyo timu ndo tabia zake.we timu inaandika barua kuomba wapewe goli wana akili hao?
Mayelle anasema anaandamwa mitandaoni. Yaani anaweza weka picha ya mwanae uzi wote ukajaa vyura.Mayele alijaa sifa akaamini popote pale atawika , yamemkuta anaaza kubebesha watu lawama.
amesema mguu wake umevimba hadi leo, ulianza alipoamua kuondoka yanga. acheni uchawi.Pesa anayo, tatizo anashindwa kukitawala kinywa chake kinamponza.
Hakika, hizi timu zimekaa kisiasa siasa sana, unayoyasikia nje na utakayoyakuta ndani ni tofauti kabisa. Wachezaji wanapaswa kuwa makini. Mashabiki ndio wenye timu na ndio wanaoumia timu ikisemwa vibaya n.kUnapokuja Yanga na Simba ujue umekuja kwenye siasa.
Kabla ya kuja Tanzania muwe mnauliza ,hii ni Nchi ya watu wenye mdomo kuliko kawaida
Alichokoza nyuki acha ale asali.Mayelle anasema anaandamwa mitandaoni. Yaani anaweza weka picha ya mwanae uzi wote ukajaa vyura.
Akuye kwa munyama awanyooshe
Sasa akiambiwa athibitishe kuumwa kwake na yanga anaweza?amesema mguu wake umevimba hadi leo, ulianza alipoamua kuondoka yanga. acheni uchawi.
Sio kwa mayele, anaonekana ni mtu ambae maneno yanamvuruga kabisa. Kama ni mtu wa hivyo auchunge sana mdomo wake.maneno kama maji ya moto tu, ukiona makali lakini hayaunguzi nyumba.
ukishapigana guerilla war
desert war
biological war
na hata zile vita vya katkati ya jiji.
basi utaelewa nasema nini
Huyo ndio asahau kucheza vilabu vikubwa barani africa na hata akicheza aanzi 1st 11.Jamaa habari yake ndio imeisha hivyo...
Kwanza ashukuru kwa kucheza Tanzania maana ndipo kumemfanya awe maarufu na kuonekana kwa hizo timu nyingine...
HahahaAlichokoza nyuki acha ale asali.
mayele aliondoka na tukampa heshima zote shida alijitokeza na kudai ametupiwa majini. Mbona yanga wametoka wengi tu na wapo huko wanaendelea na maisha yaoYanga na wanayanga wajifunze kupotezea... Msiwaandame mno wachezaji wanaotoka njee ya yanga.
Huu ni ushamba wa kiwango cha lami. Sijawahi ona jambo kama hili kwa simba na wanasimba kwa ujumla.
Anyway mtoto umleavyo ndivyo akuavyo...
Mashabiki sio amuulize maguire wa man utd.Hahaha
Yanga wanajua kumpa mtu thamani(hii ni kazi ya management).Yanga ndo yenye mashabiki bora kabisa. Wanawasaidia viongozi wao sana. Mchezaji akitoka yanga awe kanipanga ataandamwa kipropaganda Lengo asiwe na madhara kwao.Halafu wakipata mchezaji watampamba kupita uwezo wake.
Angalau yule anapopolewa kwa mafyongo yake. Mayele sababu ya kupopolewa ni nini? Kuhama Yanga?Mashabiki sio amuulize maguire wa man utd.