Tsh
JF-Expert Member
- Aug 26, 2021
- 17,022
- 36,936
Hahaha. Umeona mambo yenu sasa. Mnatisha yaani.Huyo mayele ajifunze kunyamaza vinginevyo tutautoa uo uvimbe mguuni kwa kuukata kabisa huo mguu.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hahaha. Umeona mambo yenu sasa. Mnatisha yaani.Huyo mayele ajifunze kunyamaza vinginevyo tutautoa uo uvimbe mguuni kwa kuukata kabisa huo mguu.
Hawezi kutuletea kelele sisi, mashabiki ndio huumia na timu. Timu ni ya mashabiki hao wachezaji ni wakupita tu.Hahaha. Umeona mambo yenu sasa. Mnatisha yaani.
Ila jamaa hata mm sikubaliani naye anachofanya mitandaoni. Ni yule mchezaji ambaye amepata umaarufu uzeeni, ni rahisi sana kuongelea club vibaya. Si mchezaji salama kumsajili.Hawezi kutuletea kelele sisi, mashabiki ndio huumia na timu. Timu ni ya mashabiki hao wachezaji ni wakupita tu.
Ukitaka kujua mayele ana shida akilini mwake amewasema hadi mabosi zake wa sasa. Bado ni mchezaji mzuri ila haya yasasa anajiharibia future nzuri.Ila jamaa hata mm sikubaliani naye anachofanya mitandaoni. Ni yule mchezaji ambaye amepata umaarufu uzeeni, ni rahisi sana kuongelea club vibaya. Si mchezaji salama kumsajili.
Aitafute kwa namna nyingine, afungeAttention seeker huyo
Huenda anajua umri ushatupa. Hana sajili mbili au tatu za maana. Huenda imebaki moja tu.Ukitaka kujua mayele ana shida akilini mwake amewasema hadi mabosi zake wa sasa. Bado ni mchezaji mzuri ila haya yasasa anajiharibia future nzuri.
Atulie au nayeye awe densa kama skudu acheze amapiano.Huenda anajua umri ushatupa. Hana sajili mbili au tatu za maana. Huenda imebaki moja tu.
Kuna mjumbe yeyote wa kamati ya utendaji au mwajiriwa yeyote wa Yanga anayebishana naye huko mitandaoni?Kuna wachambuzi wa Yanga mitandoni wana page kabisa zina logo ya Yanga tu. Kazi zao huwa kuisifia Yanga au kuwaponda wapinzani. Hata Simba inao. Sio wachambuzi rasmi.
Msuva.anamfikia mayele kwa lipi?We pimbi wakati msuva anaondoka Yanga ulikua kwenu mpitimbi itakua
Muache UCHAWI.mayele nae binadamu ana nyongo.mnayomfanyia yanamuuma.mnatia aibu sana. Haya mambo hauwezi kuyaona simba kugombana na wachezaji who walioondoka.ila shida ipo huko.mpaka majini mnawatupia.Msimu unaisha huo mlicho ambulia ni haya maneno kweli nyie ni mbumbumbu
Acha ya mkataba,tunazungumzia hayo ya kumvimbisha mguu mmoja.sio fairMjinga ni yeye hadi ana sign contract hakujua kuwa haikuwa sahihi yeye kucheza TZ? Umaarufu unamzuzua ila nahisi pia haya yote anayafanya ili SIMBA SC imsajili.
Hiki ndio kitu kikubwa anachokisahau bwana yuleJamaa habari yake ndio imeisha hivyo...
Kwanza ashukuru kwa kucheza Tanzania maana ndipo kumemfanya awe maarufu na kuonekana kwa hizo timu nyingine...
Jamaa alikubalika hadi na mashabiki wa Simba hasa baada ya kuhama, maana bado alikua anapata engagement kubwa sanaHapana. Mashabiki wa Yanga wamekuwa wakimfuatilia Mayelle na wachambuzi wao. Akifunga wanampost kuwa kafunga, asipopangwa wanasema anasugua benchi, hilo la majini limeongezea kasi tu.
Unaongea ushabiki na comment zako zinaashiria jina lakoMsuva.anamfikia mayele kwa lipi?
Au feisal au Morrison?
Na uenda kipindi kile anaondoka msuva hamkuwa na tabia ya kutupia watu MAJINI.na msuva kaondoka utopolo mlikuwa na hali mbaya kifedha ndo maana mkamuuza.tumia akili sio makalio kufikiri
Uto...hao“Wanashambulia hadi familia yangu, nimemposti mtoto wangu wa kwanza ilikuwa siku ya Birthday yake watu wanaandika ushambaushamba mpaka baba yangu akanipigia simu anasema ‘ni nini hiki mbona sio wewe wanaanza kuingia kwenye familia, nilichomjibu baba ni kuwa nilikosea kucheza Tanzania”
Fiston Mayele akizungumza katika mahojiano na Azam Tv.
Hili linaloendelea litufundishe jambo, kuna mambo ya kuongea na kutokuongea, ikumbukwe yeye ndie alieanza kuirushia maneno Yanga na bado anaendelea. Sidhani kama ataiweza vita na mashabiki (maneno, ushirikina) na kama ndio mtu wa kujali yanayoandikwa mtandaoni hali itazidi kuwa mbaya kwake.
Ushauri wangu ni bora akae kimya kuliko kuendeleza maneno.
View attachment 2960619
Yeah, yaani anasema kua kocha aliemkuta pyramids alitaka kumtoa kwa mkopo, sijui akaongea na boss wa club akazuia asitoleweUkitaka kujua mayele ana shida akilini mwake amewasema hadi mabosi zake wa sasa. Bado ni mchezaji mzuri ila haya yasasa anajiharibia future nzuri.
Hajielewi huwezi kuwa ndani ya mkataba na timu alafu uwe huru kiasi hicho kuiongelea vibaya.Yeah, yaani anasema kua kocha aliemkuta pyramids alitaka kumtoa kwa mkopo, sijui akaongea na boss wa club akazuia asitolewe
Kwa mchezaji anaejielewa haya sio mambo ya kuyaongea ingali bado unatumikia club husika Kwa wakati huo
Haya.ila ukweli unauma.Unaongea ushabiki na comment zako zinaashiria jina lako