Half american
JF-Expert Member
- Sep 21, 2018
- 38,283
- 97,793
- Thread starter
- #81
Sijui ni nini kinamvuruga mbona alikuwa mstaarabu sana.Mayele hana nidhamu hii inakwenda kuuwa career yake.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sijui ni nini kinamvuruga mbona alikuwa mstaarabu sana.Mayele hana nidhamu hii inakwenda kuuwa career yake.
Anaongea ukweli uliopoHajielewi huwezi kuwa ndani ya mkataba na timu alafu uwe huru kiasi hicho kuiongelea vibaya.
Hebu thibitisha kuwa ni yanga wamemvimbishaAcha ya mkataba,tunazungumzia hayo ya kumvimbisha mguu mmoja.sio fair
Ukweli upi huo?Anaongea ukweli uliopo
Wamemtupia nyukiUkweli upi huo?
Tuoneshe walivyomtupia.Wamemtupia nyuki
huyu ni nani?“Wanashambulia hadi familia yangu, nimemposti mtoto wangu wa kwanza ilikuwa siku ya Birthday yake watu wanaandika ushambaushamba mpaka baba yangu akanipigia simu anasema ‘ni nini hiki mbona sio wewe wanaanza kuingia kwenye familia, nilichomjibu baba ni kuwa nilikosea kucheza Tanzania”
Fiston Mayele akizungumza katika mahojiano na Azam Tv.
Hili linaloendelea litufundishe jambo, kuna mambo ya kuongea na kutokuongea, ikumbukwe yeye ndie alieanza kuirushia maneno Yanga na bado anaendelea. Sidhani kama ataiweza vita na mashabiki (maneno, ushirikina) na kama ndio mtu wa kujali yanayoandikwa mtandaoni hali itazidi kuwa mbaya kwake.
Ushauri wangu ni bora akae kimya kuliko kuendeleza maneno.
View attachment 2960619
Ina maana yanayojadiliwa hapa wewe haupo kikaoni?Tuoneshe walivyomtupia.
Si jambo la kujivunia mshabiki kupambana na mchezaji tena asiye wa timu yakoMpaka sasa kashashindwa, vita ya mashabiki haijawahi kuwa rahisi kwa mchezaji.
Sawa mbu3Haya.ila ukweli unauma.
Mayele sio chizi anachokisema ndicho anachopitia.muacheni
Injinia anakusalimiaSawa mbu3
Sawa mjinga weweInjinia anakusalimia
Waambie hao ....😂😂😂Unapokuja Yanga na Simba ujue umekuja kwenye siasa.
Kabla ya kuja Tanzania muwe mnauliza ,hii ni Nchi ya watu wenye mdomo kuliko kawaida
Kashindwa Peter Shalulile ndio iwe Mayele?Akuye kwa munyama awanyooshe
Wameondoka wengi Yanga waliopendwa hata kuliko hawa kina Mayele,na wala hawakutukanwa. Tatizo ni pale wanapoanza kukashifu timu. Majibu wanayapta kwa mashabiki wafia timu ambao ukiwaheshimu wanakuheshimu,ukiwadharau wanakudharau.Yanga na wanayanga wajifunze kupotezea... Msiwaandame mno wachezaji wanaotoka njee ya yanga.
Huu ni ushamba wa kiwango cha lami. Sijawahi ona jambo kama hili kwa simba na wanasimba kwa ujumla.
Anyway mtoto umleavyo ndivyo akuavyo...
😂😂😂😂😂😂😂Mayele alikosea kucheza utopoloni. Sio tanzania .hao utopolo akili hawana. .mchezaji wao yeyote akiwa mzuri akiondoka lazma watamchukia .angalia Morriston,feisal na sasa mayele. Hyo timu ndo tabia zake.we timu inaandika barua kuomba wapewe goli wana akili hao?
Zilikuwa zinaanzishwa nyuzi' Leo katetema'. Shobo. Nzi WA kijani Wana shobo balaa😄😄😄Hapana. Mashabiki wa Yanga wamekuwa wakimfuatilia Mayelle na wachambuzi wao. Akifunga wanampost kuwa kafunga, asipopangwa wanasema anasugua benchi, hilo la majini limeongezea kasi tu.