Aliyesema majini ni mayeleHayo ni maneno ya wakosa makombe wazee wa wasap channel.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Aliyesema majini ni mayeleHayo ni maneno ya wakosa makombe wazee wa wasap channel.
Bora wa simba sio wa kumdhuru mtu.Uchawi kama huuView attachment 2961085
Anasema mnamtumia majini yaani goli halioni kabisa.Kosa letu ni nini wakuu, kwani sisi ndio tunaamua performance ya mchezaji?
Labda sijaeleweka. Sikumaanisha kuipenda timu kama Mrisho Ngassa alivyoipenda Yanga, bali nilimaanisha hakuwa anaipenda Yanga kutokana na waliyomfanyia kwenye mkataba.Sio lazima mchezaji kuipenda timu, ile ni ajira yake na yeye ni binadamu upendo wake unaweza kuwa kwenye timu nyingine sio jambo baya.
Kwani hujamsikia Mayele? Ukimroga mchezaji avimbe mguu, hapo hujaamua performance ya uchezaji wake?Kosa letu ni nini wakuu, kwani sisi ndio tunaamua performance ya mchezaji?
Kila siku wanatuma majini yasiyopungua kumi kumdhoofisha mtoto wa watu,hawa watu wana ushetani mwingi sanaYanga ni aibu hii..hivi mnajiona mpo sawa.???
Sema mnajua kuwaroga.Yanga wanajua kumpa mtu thamani(hii ni kazi ya management).
Mashabiki nao wanajua kumpora mtu ile thamani kwa kumuandama kama huyo mwenye majini.
“Wanashambulia hadi familia yangu, nimemposti mtoto wangu wa kwanza ilikuwa siku ya Birthday yake watu wanaandika ushambaushamba mpaka baba yangu akanipigia simu anasema ‘ni nini hiki mbona sio wewe wanaanza kuingia kwenye familia, nilichomjibu baba ni kuwa nilikosea kucheza Tanzania”
Fiston Mayele akizungumza katika mahojiano na Azam Tv.
Hili linaloendelea litufundishe jambo, kuna mambo ya kuongea na kutokuongea, ikumbukwe yeye ndie alieanza kuirushia maneno Yanga na bado anaendelea. Sidhani kama ataiweza vita na mashabiki (maneno, ushirikina) na kama ndio mtu wa kujali yanayoandikwa mtandaoni hali itazidi kuwa mbaya kwake.
Ushauri wangu ni bora akae kimya kuliko kuendeleza maneno.
View attachment 2960619
kuishi na washirikina kuna hitaji hekima sana Fiston Kalala Mayele atakua kapata somo kwamba mchawi hana rafiki“Wanashambulia hadi familia yangu, nimemposti mtoto wangu wa kwanza ilikuwa siku ya Birthday yake watu wanaandika ushambaushamba mpaka baba yangu akanipigia simu anasema ‘ni nini hiki mbona sio wewe wanaanza kuingia kwenye familia, nilichomjibu baba ni kuwa nilikosea kucheza Tanzania”
Fiston Mayele akizungumza katika mahojiano na Azam Tv.
Hili linaloendelea litufundishe jambo, kuna mambo ya kuongea na kutokuongea, ikumbukwe yeye ndie alieanza kuirushia maneno Yanga na bado anaendelea. Sidhani kama ataiweza vita na mashabiki (maneno, ushirikina) na kama ndio mtu wa kujali yanayoandikwa mtandaoni hali itazidi kuwa mbaya kwake.
Ushauri wangu ni bora akae kimya kuliko kuendeleza maneno.
View attachment 2960619
Ndo maana anaflop Misri.“Wanashambulia hadi familia yangu, nimemposti mtoto wangu wa kwanza ilikuwa siku ya Birthday yake watu wanaandika ushambaushamba mpaka baba yangu akanipigia simu anasema ‘ni nini hiki mbona sio wewe wanaanza kuingia kwenye familia, nilichomjibu baba ni kuwa nilikosea kucheza Tanzania”
Fiston Mayele akizungumza katika mahojiano na Azam Tv.
Hili linaloendelea litufundishe jambo, kuna mambo ya kuongea na kutokuongea, ikumbukwe yeye ndie alieanza kuirushia maneno Yanga na bado anaendelea. Sidhani kama ataiweza vita na mashabiki (maneno, ushirikina) na kama ndio mtu wa kujali yanayoandikwa mtandaoni hali itazidi kuwa mbaya kwake.
Ushauri wangu ni bora akae kimya kuliko kuendeleza maneno.
View attachment 2960619
Yanga ilimbeba sana akawa maarufu.[emoji1787][emoji1787]Nyie Simba mlipoacha wachezaji wenu angalia kilichowakuta , mmepotea mazima, mmewarudisha wameshiba, mpira hamna ..Feisal na Mayele ni wachezaji wanaoteseka sana na mafanikio ya Yanga.
Misiri ni ligi kubwa sana ile just imagine kuna timu za kawaida zinaiufunga Ally Ahli lakini kutwa tunahangaika kuwafunga , Mayele alijaa sifa akaamini popote pale atawika , yamemkuta anaaza kubebesha watu lawama.
Yaani uje Yanga tukukuze kipaji badala ya kuitumikia timu unatimka, sawa basi ukitimka huko uliko kaa kimya kama Feitoto!! Maneno ya shombo ya nini?Mayele alikosea kucheza utopoloni. Sio tanzania .hao utopolo akili hawana. .mchezaji wao yeyote akiwa mzuri akiondoka lazma watamchukia .angalia Morriston,feisal na sasa mayele. Hyo timu ndo tabia zake.we timu inaandika barua kuomba wapewe goli wana akili hao?