Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Molinga na sio MalingaNjoo bongo ucheze Simba ama Azam alafu baada ya mwaka utakwenda kucheza kwenye timu kama Namungo!
Anawakumbuka ndugu zake hakina Tshimbimbi, Malinga nk.
Fei ni fei na mayele ni mayele.Ilikuwaje kwa Fei toto kuifunga Yanga?
Ikiwa Fei toto aliibamiza Yanga hata Mayele ataibamiza tu Yanga siku akichezea timu yoyote dhidi ya Yanga.
Anaibisha ligi yetuAnakwamba tz timu zinacheza na matokeo mkononi vyura lazima wakasirike[emoji1787]
Hatujawai mtupia majiniKwa nini hao yanga wanaendelea kumtupia majini.?
We sema mabroo wanajua tu kushambulia mitandaoni.ningesema ila sitaki ugomvi na mabroo wa kkoo
Kivipi hiyo sijaelewa kivipi kubaki ka baleke kumeipoteza simba?Kipindi cha Mayele mchezaji aliyekuwa mzuri alikuwa Baleke.
TP Mazembe ni washenzi sana, kufanya vibaya kwa Simba kumechangiwa pia na TP Mazembe kwa kukataa Baleke kuendelea kubaki Simba.
huyo ni fungu la kukosa, huko uarabuni fedha zipo ila furaha kwa ngozi nyeusi hakuna.Yeye alikua anataka kutoka Yanga na alitaka kuwaonyesha kuwa anaweza kwenda popote ingawaje Yanga walimwambia watamuongezea mshahara akagoma kwa hiyo zile fursa za Yanga bado zinamuumiza hakuna kitu kizuri kama upo sehemu unapata furaha sasa anaona hawezi kurudi tena Yanga kwa mazingira aliyotoka ndio maana anashinda kwenye media...
Hili nakubaliana na wewe, hata ishu ya kina bangala na djuma shabani nadhani sababu ni hiyo.GSM alipoanza kuifadhili Yanga alichukua wacgezaji wengi kutoka Congo, mshikaji wangu akasema hii ni hatari sana kuwa na wachezaji wengi wq kulipwa toka nchi moja sababu wanaweza wakashiriki kwenye kurubuniwa kwenye baadhi ya mechi. Angalia wapinzani wao wanao wqchezaji wa nchi tofauti.
Nadhani Kuna jambo lilitokea ndipo Yanga wakahamua kusajili wachezaji wa kigeni kutoka nchi tofauti.
Huyo mshamba tu anaumia kuiona yanga inafanikiwa.Mayele amesemaje
Yanga tupo sawa sana hata uwanjani tunathibitisha hilo.Yanga ni aibu hii..hivi mnajiona mpo sawa.???
Hana adabu kabisa huyu mtoto.hana adabu,hana heshima,hana shukrani,eti nilikosea kucheza tanzania,,!huyu asuingie tena nchi hii,kama ana watu na vitu aliacha hapa aje kuvichukua,hata huyo kibaraka wake yasmin ambae nae katukanwa,kama zinamtosha ataachana nae
Athibitishe ya kuwa ni yanga wamemloga vinginevyo anapiga kelele tu.Kwani hujamsikia Mayele? Ukimroga mchezaji avimbe mguu, hapo hujaamua performance ya uchezaji wake?
Kuhusu mkataba ni uzembe wake mwenyewe kwakuwa hakulazimishwa.Labda sijaeleweka. Sikumaanisha kuipenda timu kama Mrisho Ngassa alivyoipenda Yanga, bali nilimaanisha hakuwa anaipenda Yanga kutokana na waliyomfanyia kwenye mkataba.
Kama benchi kuna goli sawa 😂Anasema mnamtumia majini yaani goli halioni kabisa.
Wanaokomalia hiyo habari ni wazee wa kombe la wasap channelAliyesema majini ni mayele
Wote hao walikuwa wanakiwasha pamoja, iweje uwabague?Fei ni fei na mayele ni mayele.
Tutaroga hadi mafi yake asikunye mwaka mzimaAkuye kwa munyama awanyooshe
Goli la kupewa lile. Offside before scoring.Ilikuwaje kwa Fei toto kuifunga Yanga?
Ikiwa Fei toto aliibamiza Yanga hata Mayele ataibamiza tu Yanga siku akichezea timu yoyote dhidi ya Yanga.
Kwa nini hamkuligomea?Goli la kupewa lile. Offside before scoring.