Mayele angetetema Mara ngapi mechi ya Orlando pirates vs Simba

Mayele angetetema Mara ngapi mechi ya Orlando pirates vs Simba

Baada kumaliza kuiangalia mechi ya kimataifa Kati ya Orlando pirates vs Simba sports club pale kwa mkapa na mechi kuisha kwa ushindi DHAIFU wa goli moja Tena la PENALTY .....huu nauita ushindi DHAIFU kwa sababu ni goli ambalo sio la kiufundi but ni Kama zawadi ya bila kuitolea jasho ........

Yafuatayo ni Mambo niliyoyaona Jana
1. Simba imekosa washambuliaji wa kuweza kuamua matokeo... type ya MAYELE au au CR 7

2. Simba kwa level iliyofikia iachane wachezaji wazee....kina kagere, mzee Bocco

3.binafsi naona MAYELE angewachezea Simba Ange score goali 3 kwa kikosi kile cha Orlando pirates

Je, mfano MAYELE angechezea SIMBA Jana unadhani angefunga goli ngapi?

Note: ushindi wa penalty ....sio ushindi wa kiume

View attachment 2191731
Hivi utopwinyo mlipocheza na RIVER UTD mapele hakuepo..?
 
Kwanza mlisema simba atafungwa,
Sasa hivi mnasema kimoja hakitoshi hii nchi hii [emoji119]

Anashindiliwa pirates ,kichefuchefu anapata utopolo....
Maajabu hayaishi

Kapoooombeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee....
Show me the waaaaaaaayyyyyy
Anawainua wanasimba uwanjaniiiiiiiiiii
Anawainua mashabiki elfu sitini hapa lupaso
Nani kasema simba haendi nusuuuuuuuu?
Uwanja unazizimaaaaaaaaaaaaa.......

Utaratibu ni ule uleeeeeeeeeee....
Utaratibu ni ule uleeeeeeeeeeeeeee......
Heshma ya Taifa la Tanzania ipo mabegani kwa wana Lunyasi........
Ukinuna uwe na sababuuuuuuuuuu
Simba inaibeba Nchi na wananchi wakeeeeeeee

Aghaaaaa aghaaaaa aghaaaaaaa

Hii ndio siri ya amaniiiiiiii na furahaaaaaaa
Simba sports clubbbbbbbbb
Simba sports clubbbbbbbbbbbb.............

Nani anatesekaaaaaaaaaaaaaaaa.......

This isssssssssssss SIMBAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAA........

Pole wewe unayepata sononeko la moyo
Njoo simba raha zipo hukuuuuuuuuuu

Mtangazaji wa jana aliua sana

Sent from my PBBM00 using JamiiForums mobile app

Sent from my PBBM00 using JamiiForums mobile app

Sent from my PBBM00 using JamiiForums mobile app
Umesahau hili

Kapooombuuuu......anaifungia Simba kwa goli la penalty ......ambalo hata angepewa Bocco ....asingekosa
 
Huyo bocco &kagere na huo uzee wao lkn hiyo takataka yenu ya mapele haiwezi kufikia mambo waliyofanya hawa jamaa. Kagere misimu 4 nyuma kapiga goli ngapi ligi kuu bara uje ufananishe na mayele huyo ambae ni jogooo la shamba
Acha kuongelea historia mkuu......tuletee CURRENT DATA
 
Kumbe hata mpira hufuatiliii

Mayele hakuwa sehemu ya kikosi kucheza CAF
Sawa kutokuwa sehemu ya mchezo huo ni.ujinga wenu wakupenda vya bure na pia mbona simba chama yupo nje ya mashindano ila kinawaka🤣🤣🤣 mayele jogoo la shamba haliwiki mjn
 
Current data wapo CAF confederation Cup vp.mayele yupo CUF ya lipumba[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Mayele anaongoza ligi yenye ushindan mkubwa east and central Africa
 
Sawa kutokuwa sehemu ya mchezo huo ni.ujinga wenu wakupenda vya bure na pia mbona simba chama yupo nje ya mashindano ila kinawaka[emoji1787][emoji1787][emoji1787] mayele jogoo la shamba haliwiki mjn
Mkuu.....ko chama unamfananisha na Mayele kweli......

Mayele ni class za kina CR 7. wazee wa kufosi matokeo
 
Aaaah cjajua mkuu.....but Mayele sio mzee Kama kagere na mzee Bocco
Hao watu waheshimu kwanza unapaswa kujua Kagere na boko walikuwa na wastani wa kufunga magoli mangapi kwa msimu wakiwa kwenye ubora wao.
Je huyu mfuga nywele wenu anawafikia hao watu wakiwa kwenye ubora wao?
Na zaidi wamejitahidi sana kudumu kwenye kiwango chao kwa muda mrefu huyu wenu bado mapema.

Kagere msimu wa kwanza tu alifunga goal 20+ kama kumbu kumbu zangu ziko sawa.
 
Baada kumaliza kuiangalia mechi ya kimataifa Kati ya Orlando pirates vs Simba sports club pale kwa mkapa na mechi kuisha kwa ushindi DHAIFU wa goli moja Tena la PENALTY .....huu nauita ushindi DHAIFU kwa sababu ni goli ambalo sio la kiufundi but ni Kama zawadi ya bila kuitolea jasho ........

Yafuatayo ni Mambo niliyoyaona Jana
1. Simba imekosa washambuliaji wa kuweza kuamua matokeo... type ya MAYELE au au CR 7

2. Simba kwa level iliyofikia iachane wachezaji wazee....kina kagere, mzee Bocco

3.binafsi naona MAYELE angewachezea Simba Ange score goali 3 kwa kikosi kile cha Orlando pirates

Je, mfano MAYELE angechezea SIMBA Jana unadhani angefunga goli ngapi?

Note: ushindi wa penalty ....sio ushindi wa kiume

View attachment 2191731
Mkuu tutauvuka mto tukiufikia sawa, mwakani mayele atakuwepo humo panapo majaaliwa
 
Hao watu waheshimu kwanza unapaswa kujua Kagere na boko walikuwa na wastani wa kufunga magoli mangapi kwa msimu wakiwa kwenye ubora wao.
Je huyu mfuga nywele wenu anawafikia hao watu wakiwa kwenye ubora wao?
Na zaidi wamejitahidi sana kudumu kwenye kiwango chao kwa muda mrefu huyu wenu bado mapema.

Kagere msimu wa kwanza tu alifunga goal 20+ kama kumbu kumbu zangu ziko sawa.
Mkuu tunawaheshimu Sana .....but inawezekana waliweza kutrend Sana kutokana na ushindan kuwa duni Sana compared to now .....timu znacheza kiushindan mno .......kumbuka mbeya city, kagera
Walivyo wapelekea Moto

Kumbuka hata legend PELE Kuna watu Wana m criticize kuwa sawa alikuwa mfungaji mahiri Sana but [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] enzi zake .....hakukuwa na Sheria za offside......so inawezekana 45% ya magoli yake yalikuwa ni offsides
 
Back
Top Bottom