Mayele kakosa kiatu kwa uzembe wake mwenyewe

Mayele kakosa kiatu kwa uzembe wake mwenyewe

Mayele alipaswa awepo misituni sambamba na hawa Wacongo wenzake ili aipambanie nchi yake dhidi ya wanamgambo wanaotorosha madini nchini kwao

1656529539663.png
 
Mayele anakabwa kama kawaibia mabeki wa timu pinzani Figo,kuna beki wa timu fulani ambayo mashabiki wake wana maumivu kwa sasa alionekana shujaa kwemye derby kisa tu kamzuia Mayele asifunge,uchizi!!
 
Mm nilikuwa nawaambia watu mayele ni mchezaji wa kawaida hajafika levo za kina Kagere yaan timu yako haijafungwa mechi hata moja na imechukuwa ubingwa unashindwaje kuwa top score wakati chance ya kushinda kwenu kila mechi ni kubwa angalia Kagere hapo Simba hali sio nzuri goli 7 inamaana huyu mayele Angekuwa timu kama azam au Simba ya mwaka huu Angekuwa kama mugalu tu anagoli 1 au 3 kutetema mwaka mzima mwisho wa msimu unaangukia pua kwa wasiokuwa na akili wote watalalamikia goli la Leo kama yeye ni hatari kwanini asishinde magoli hata 19 au 20 ili kuweka utofauti na wenzake kwa yoyote anaona imemuuma mayele kukosa kiatu aende karume akamtafutie mkiambiwa huyo ni mchezaji wa kawaida muwe mnaelewa Timu mkubwa miaka 5 haitoi mfungaji bora wa ligi huo ukubwa wa Yanga uko wapi?
 
Mayele anakabwa kama kawaibia mabeki wa timu pinzani Figo,kuna beki wa timu fulani ambayo mashabiki wake wana maumivu kwa sasa alionekana shujaa kwemye derby kisa tu kamzuia Mayele asifunge,uchizi!!
Mayele ni hatari sana hadi imefikia hatua wabunge makolo wanatamani apelekwe Congo vitani afie huko.
 
Mayele akiwa ndani ya 18 anakabwa na watu watatu hadi wanne muda mwingi wa mechi tena ni game zoote

Mpole hakuna anayehangaika nae ni yeye tu mpira ukimkalia sawa ana score.

Mayele ukongo wake pia umemponza wa tz wengi wakiwemo baadhi ya waamuzi walipenda sana mpole achukue kiatu hiki eti sababu tu ni mzawa..!na hilo limethibitika katika mechi nne au sita sasa ambapo magoli ya mayele yamekua yakikataliwa atini offside wakati mengi yao ukiangalia yalikua magoli halali kabisa
Kitu ambacho kwa mpole hakipo,kundi kubwa la wa tz lilitamani mpole aongoze ktk mbioza wafungaji.

Lakini kuna uzi niliwahi kuweka hapa kuwa Mayele atabaki kuwa Mayele..
Leo hii George Mpole anaongoza katika ufungaji lakini sio hatari/ tishio...

Leo hii timu yeyote na mtu yeyote akiambiwa aunde kikosi na awekewe straika wawili achague kati ya mayele na george ...unadhani nani atanyakuliwa hapo?

So Mayele si mzembe bali Mpole uzalendo umembeba kwa kiasi kikubwa
IMG-20220629-WA0021.jpg

Swala la mayele kutokua mfungaji bora liliiua la kitaifa kwa 80%,ilifikia mpaka waandishi kumpa ahadi ya pesa,marefarii na makolo nao sijui walimuhaidi nini huyu jamaa,niliangalia ile game coastal pa1 walikua washafungwa goli 2 kwa goli la feisal na chico lakini mabeki walikua tayari afunge yoyote lakini sio mayele kwa jinsi walivyokua wanamchezea deep
 
Naam ila hatuna muda na watingisha maziwa na kulia lia baada ya kukosa kiatu cha dhahabu
Haha mayele amewaachia makolo kidonda cha kudumu mnahasira naye kama kawapokonya mke 🤣🤣🤣
 
View attachment 2276909
Swala la mayele kutokua mfungaji bora liliiua la kitaifa kwa 80%,ilifikia mpaka waandishi kumpa ahadi ya pesa,marefarii na makolo nao sijui walimuhaidi nini huyu jamaa,niliangalia ile game coastal pa1 walikua washafungwa goli 2 kwa goli la feisal na chico lakini mabeki walikua tayari afunge yoyote lakini sio mayele kwa jinsi walivyokua wanamchezea deep
Ligi imeisha
Mpole top scorer
Mayele top mkata viuno na mtingisha maziwa
 
Mimi navyofahamu huwezi kuwa mshambualiji mahiri na hatari kama unafunga bao moja kila mechi halafu unategemea uje kuwa mfungaji bora.

Mchezaji kama Mayele kwa aina ya viungo wa Yanga akiwemo Aucho, Sure Boy, Fei Toto, Farid Mussa, Jesus na nk alitakiwa kila mechi amekosa kosa sana bao 2.

Mayele alitakiwa kufunga hata hatrick kwenye mechi lakini ameishia kufunga mabao ya kichawi tu.

Hivi George Mpole kwa timu gani hadi aje kuwa na mabao 17 Leo amshinde Mayele kama sio uzembe wa mkongo huyo.

Wenzake akina Bocco, Kagere, Mugalu walikuwa wakizifumania timu wanajiondokea na mabao 2 had 3 kwa mechi moja.

Sasa wewe Mayele utoke kwenu Congo huko unakuja kufunga kigoli moja halafu unalalamika kuwa wachezaji wenzako wamekunyima ushirikiano.

Nawashauri Yanga kwa mchezaji kama Mayele ambaye hana uwezo wa kufunga mabao mengi katika mchezo mmoja jiandaeni kuaga michuano ya kimataifa.

Mark my words
Mpuuzi mmoja alisikika akipayuka
 
yaan umeongea kitu cha mpira sanaa. na nikazie hapo hapo tu kuwa msim ujao mayele hatokuwepo kwenye kinyanganyilo cha wafungaji bora...
 
Back
Top Bottom