Mayele kuondoka Yanga, pengo lake linazibika kiurahisi sana

Amepata offer ya club ngapi zinazohitaji huduma yake?
Hilo sisi hatujali..kwa sbb bado ana mkataba na Simba...mbona anauzika tuu? Hata nyie tungemwacha mmgemkimbilia si mnaona mkude hakua anacheza mara kwa mara ila nyie mmemchukua.. ๐Ÿ˜† ๐Ÿ˜† ๐Ÿธ
 
Kama ni ivo yanga kwisha habari yake katika timu yeyote lazima uwe na ,key straika, hata kama kule mbele yupo tu amesimama.
 
Msimu Ujao, No Mayele, No Nabi!!
Hali yetu inaweza kuwa tata hasa kwenye games za kimataifa.
 
usicheze na simba.sisi ndo tumepanga mayele aondoke utopoloni.mtajuta
 
Hilo sisi hatujali..kwa sbb bado ana mkataba na Simba...mbona anauzika tuu? Hata nyie tungemwacha mmgemkimbilia si mnaona mkude hakua anacheza mara kwa mara ila nyie mmemchukua.. [emoji38] [emoji38] [emoji196]
Hamjawahi kujali maana hampo strategically
 
Ronaldo aliondoka Real Madrid ikachukua UCL mbili mfurulizo, Chama na Luis waliondoka bado Simba ikafika robo fainali , Mayele ata acha pengo lkn sio sababu ya kufanya vibaya
 
Ronaldo aliondoka Real Madrid ikachukua UCL mbili mfurulizo, Chama na Luis waliondoka bado Simba ikafika robo fainali , Mayele ata acha pengo lkn sio sababu ya kufanya vibaya
Naam
 
Unajua jukumu kuu la namba 9 ni kufunga.Na kulingana na mfumo,wachezaji wa timu nzima linapokuja suala la kuingiza mpira golini wanaelekeza kwa mfungaji kwanza kabla ya kuangalia mtu mwingine aliye kwenye nafasi.
Pia ni kawaida na ndiyo sahihi kwamba,timu uundwa kumzunguka namba 9 kwa maana yeye ndiye mwenye jukumu kuu la ufungaji.
Kuondoka kwa Mayele,kunailazimisha timu nzima sasa kuundwa kwa kumzunguka namba 9 mwingine atakayeletwa.
 
Haya ndiyo unapaswa kuandika.Mambo ya Simba kwenda Turkey yatakuumiza roho tu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn moreโ€ฆ