Mayele kuondoka Yanga, pengo lake linazibika kiurahisi sana

Mayele kuondoka Yanga, pengo lake linazibika kiurahisi sana

Ndugu hiyo analysis yako ifanye vizuri, kumbuka kuna mechi mayele ndio alikuwa anaziamulia matokeo
Baadhi ya waandishi na mashabiki (Timu pinzani) wamefurahia swala la Fiston Kalala Mayele "Predator" kukubali offer ya Pyramids na kusisitiza kuwa Yanga haitakuwa na makali msimu unajao.

Yanga msimu uliopita amefunga magoli 67 Mayele kafunga goli 17 tu kati ya 67. Magoli 50 yote yamefungwa na wachezaji wengine hiyo inaonesha wazi Yanga sio team ya kumtegemea mchezaji mmoja Mayele kachangia asilimia 25.37% ya magoli yote yaliyofungwa kwa maana ya kwamba asilimia 74.6% ya magoli bado ipo Yanga.

Endapo yanga wataitumia 2B vizuri anaweza kuja Mayele Pro na league itakuwa ya moto zaidi kama atatua Sankara raia wa Ivory coast.
 
"linazibika vizuri sana ni neno la shabiki maandazi"

- Mafanikio ya Yanga ya Msimu uliyopita kwa asilimia kubwa yamebebwa na Mayele.

- Thamani ya Mayele inaelezea umuhimu wake, uniquiness, na value, monetary value speak it all.

Mimi no Mshabiki wa Yanga Kindaki ndaki, tutafanya vizuri, ila tusimchukulie poa Mayele.
Hakuna mshabiki wa Yanga wa namna kama yako. Hiyo profile picha yako inadhihirisha kuwa wewe ni kolokwinyo fc
 
Basi ukirejea article yangu utaelewa nilichomaanisha, Mayele hakuwa uwanjani peke yake ndio maana kabeba asilimia 25 kweye alama 78 tulizovuna
Kinachojalisha siyo asilimia kaka,kama ilivoelezewa na mchangiaji mmoja hapa kwenye huu uzi ni kwamba Mayele alifunga magoli yaliyoamua matokeo yawe ya kuchukua point 3 au yale ya mechi za mtoano yaliiwezesha timu yake ya Yanga kusonga,unaweza kumpata striker mwingine akafunga magoli mengi kuliko Mayele lakini yasiibebe timu,mfano ni pale mchezaji anapofunga magoli mengi katika mechi moja halafu anacheza mechi kadhaa bila kufunga.
 
Basi ukirejea article yangu utaelewa nilichomaanisha, Mayele hakuwa uwanjani peke yake ndio maana kabeba asilimia 25 kweye alama 78 tulizovuna
Mchezaji anayechangia 25% ni nguzo muhimu kwa timu. Kama huamini toa % ya mchango wake kutoka 78 pts,utabaki na 50 pts
 
Linazibwa na sudi abdallah?????[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Hakuna mshabiki wa Yanga wa namna kama yako. Hiyo profile picha yako inadhihirisha kuwa wewe ni kolokwinyo fc
Wewe aliyekuambia mimi ni Shabiki wa Yanga ni nani? [emoji16][emoji16][emoji16]
 
Back
Top Bottom