Mayele Kuuzwa Bilioni 3.6 AS Vita Kuchota Milioni 800

Mayele Kuuzwa Bilioni 3.6 AS Vita Kuchota Milioni 800

Hoja yangu ilijikita katika huu uongo ulio uandika ww.

"...yake zinabaki $0.7M ambazo hata nazo ndani yake kuna components za hela ya usajili na mshahara wa Mayel..............".
Mimi nimeitoa katika habari hiyo iliyokuja kwa kiingereza. Labda uniambie, kama mauzo na mshahara wa miezi mitatu ni $1.5M na AS Vita wanatakiwa wapate $0.8M, zinabaki kiasi gani?
 
.
FB_IMG_16806781488067103.jpg
 
Back
Top Bottom