Mayowe ya watu wa Gaza ambayo watu wameziba masikio kuyasikiliza. Waomba msaada kwa mmoja tu

Mayowe ya watu wa Gaza ambayo watu wameziba masikio kuyasikiliza. Waomba msaada kwa mmoja tu

Usichanganye habari, Allah hajawahi kumsaidia Musa na wala Musa hajawahi kumtambua Allah.

Musa alikuwa na asili ya kiyahudi na Mungu wake ndio huyo Mungu wa wayahudi anayewapiga watu wa Mungu Allah.
Hapo ni Mungu wa wayahudi na Mungu wa waarabu wapo vitani.
Actually deception ni kubwa duniani na watu hawajawahi kujua Allah na Yahweh ni Mungu tofauti kabisa the god of Saudi Arabia (Allah) Babylonian gods) imitate God of Israel, so Allah ni different from the God of Israel, mimi nasema Israel ishirikiane na wapalestina iwatoe Hamas madarakani kama inawezekana , ili Palestine ipate uhuru lazima iwe na serikali ambayo haiko chini ya HAMAS
Eliminate utawala wa HAMAS ili PALESTINE IWE FREE there are good People in Palestine ....some Palestians are VERY good people wanahitaji Amani na Israel always lakini as long as SHETANI amejiunga na HAMAS THERE WILL NEVER BE PEACE until you find and see King of PEACE
 
Hii vita ilianzia tokea mwaka 1948
Hata uvamizi utaofanywa tena na hamas mwaka 2033 itakua ni muendelezo wa kilotokea mwaka 1948
Tunazungumzia shambulio la kigaidi la Oct 7 ndio chanzo. Kabla ya hapo kulikua na vurugu za hapa na pale ambazo hazikusababisha maaafa makubwa kiasi hiki
 
Vita vinaingia mwezi wa tano. Wapalestina wa Gaza wamepiga makelele sana na hawakupata msaada wanaostahiki. Sasa ni mayowe tu kutoka kila eneo mfano wa yale mayowe ya watu waliovamiwa na majambazi wenye silaha usiku.

Mayowe sasa hivi yanatokea Rafaha mpakani na Misri. Upande wa nyuma kuna makuta yenye seng'enge na mbele yao na juu ni majeshi ya Israel yanayojiandaa kuvamia na kuvuruga eneo lote kwa kisingizio cha kuwamaliza Hamas na hata mateka hawawataji tena.

Eneo hilo kwa sasa lina watu takriban milioni moja na laki 3 zaidi ya nusu ya watu wa Gaza kabla ya vita.Watu hao wamesongamana kwenye mahema na wachache kwenye nyumba za ndugu zao ambazo zimegeuka kama vyumba vya mahabusu kutokana na msongamano.

Jamal Abu Tour kwenye eneo hilo ameiambia CNN katika kujifariji na kuwa na tamaa ya kupata msaada kuwa wanaomba Allah awasaide ili majeshi ya Israel yasitekeleze nia yao hiyo kwani hawana tena sehemu ya kukimbilia.

Mzee huyo akaendelea kusema kuwa hawataki warudi jiji la Gaza au Khan Younis na El Nuseirat kwani wamesikia wenzao huko wanakula majani na kunywa maji machafu.

Mahmoud Khalil Amer ambaye alikimbizwa kutoka kamba ya El Shati kaskazini ya Gaza na ambaye kwa sasa amejenga hema pembezoni pa makubiri eneo hilo Rafah,amesema kwa kweli kwa sasa hawana maisha.Waliokufa wanaweza kuwa ni bora kuliko wao.

Wakati mayowe ya watu wa Gaza yakiwa ya hali ya juu watu waliotarajiwa kuwasikia na kuwasaidia karibu wote ndio wamekuwa kimya zaidi kuliko mwanzoni mwa vita.Wale wanaoinua sauti baada ya kusikia mayowe hayo wanatoa matamko kama ya walevi.

Raisi Erdogan wa Uturuki karibuni alimlinganisha Netanyahu na Hitler.Wakati hukumu ya ICJ haikumshtua Netanyahu kauli kama hiyo ya Erdogan haina maana yoyote na ni kama ameridhia aendelee na analolifanya wakati angeweza kumzuia.

Ofisi ya raisi Mahmoud Abbbas wa mamlaka ya Palestina ukingo wa magharibi imesema wakati umefika kwa kila mmoja kutekeleza majukumu yake kuhakikisha janga kubwa zaidi halitokei na kuliingiza eneo lote kwenye vita visivyokwisha...

Tangu vita vianze ofisi hiyo haijaona janga tu na kauli ya ofisi hiyo mbona ni nyepesi kuliko uwezo wao wa kuzuia janga.

Katika hali ya kutosikilizwa mayowe yao ni vyema kwamba watu wa Gaza eneo la Rafaha wamejua ni wapi pa kupeleka kilio chao, kwa Allah muweza wa kila jambo, kwani huyo pekee ndiye mwenye uwezo wa kuwakinga na balaa kama alivyofanya kwa nabii Mussa a.s mbele ya Fir'aun na jeshi lake.
Hayo mayowe wanampigia nani wakati October 7 Hamas walianzisha vita wenyewe wakaita mafuriko ya alqsa na Israel akajibu mashambulizi akiyaita operation upanga wa chuma hata
 
Vita vinaingia mwezi wa tano. Wapalestina wa Gaza wamepiga makelele sana na hawakupata msaada wanaostahiki. Sasa ni mayowe tu kutoka kila eneo mfano wa yale mayowe ya watu waliovamiwa na majambazi wenye silaha usiku.

Mayowe sasa hivi yanatokea Rafaha mpakani na Misri. Upande wa nyuma kuna makuta yenye seng'enge na mbele yao na juu ni majeshi ya Israel yanayojiandaa kuvamia na kuvuruga eneo lote kwa kisingizio cha kuwamaliza Hamas na hata mateka hawawataji tena.

Eneo hilo kwa sasa lina watu takriban milioni moja na laki 3 zaidi ya nusu ya watu wa Gaza kabla ya vita.Watu hao wamesongamana kwenye mahema na wachache kwenye nyumba za ndugu zao ambazo zimegeuka kama vyumba vya mahabusu kutokana na msongamano.

Jamal Abu Tour kwenye eneo hilo ameiambia CNN katika kujifariji na kuwa na tamaa ya kupata msaada kuwa wanaomba Allah awasaide ili majeshi ya Israel yasitekeleze nia yao hiyo kwani hawana tena sehemu ya kukimbilia.

Mzee huyo akaendelea kusema kuwa hawataki warudi jiji la Gaza au Khan Younis na El Nuseirat kwani wamesikia wenzao huko wanakula majani na kunywa maji machafu.

Mahmoud Khalil Amer ambaye alikimbizwa kutoka kamba ya El Shati kaskazini ya Gaza na ambaye kwa sasa amejenga hema pembezoni pa makubiri eneo hilo Rafah,amesema kwa kweli kwa sasa hawana maisha.Waliokufa wanaweza kuwa ni bora kuliko wao.

Wakati mayowe ya watu wa Gaza yakiwa ya hali ya juu watu waliotarajiwa kuwasikia na kuwasaidia karibu wote ndio wamekuwa kimya zaidi kuliko mwanzoni mwa vita.Wale wanaoinua sauti baada ya kusikia mayowe hayo wanatoa matamko kama ya walevi.

Raisi Erdogan wa Uturuki karibuni alimlinganisha Netanyahu na Hitler.Wakati hukumu ya ICJ haikumshtua Netanyahu kauli kama hiyo ya Erdogan haina maana yoyote na ni kama ameridhia aendelee na analolifanya wakati angeweza kumzuia.

Ofisi ya raisi Mahmoud Abbbas wa mamlaka ya Palestina ukingo wa magharibi imesema wakati umefika kwa kila mmoja kutekeleza majukumu yake kuhakikisha janga kubwa zaidi halitokei na kuliingiza eneo lote kwenye vita visivyokwisha...

Tangu vita vianze ofisi hiyo haijaona janga tu na kauli ya ofisi hiyo mbona ni nyepesi kuliko uwezo wao wa kuzuia janga.

Katika hali ya kutosikilizwa mayowe yao ni vyema kwamba watu wa Gaza eneo la Rafaha wamejua ni wapi pa kupeleka kilio chao, kwa Allah muweza wa kila jambo, kwani huyo pekee ndiye mwenye uwezo wa kuwakinga na balaa kama alivyofanya kwa nabii Mussa a.s mbele ya Fir'aun na jeshi lake.
Hata Israel October 7 walipiga mayowe baada ya kuvamiwa na Hamas sasa wanajibu mashambulizi kwanini tusikilize mayowe ya wapalestina pekee yao?
 
Hata Israel October 7 walipiga mayowe baada ya kuvamiwa na Hamas sasa wanajibu mashambulizi kwanini tusikilize mayowe ya wapalestina pekee yao?
Yale ya Israel hayakuwa mayowe makubwa kwani waliguswa kidogo tu.Hata hivyo yalisikika haraka kutoka Marekani na UK na wakaenda mbio kutoa pole.
Sasa tunashangaa mbona haya ya Gaza yamekuwa makubwa zaidi na hakuna anayesikiliza.
 
Vita vinaingia mwezi wa tano. Wapalestina wa Gaza wamepiga makelele sana na hawakupata msaada wanaostahiki. Sasa ni mayowe tu kutoka kila eneo mfano wa yale mayowe ya watu waliovamiwa na majambazi wenye silaha usiku.

Mayowe sasa hivi yanatokea Rafaha mpakani na Misri. Upande wa nyuma kuna makuta yenye seng'enge na mbele yao na juu ni majeshi ya Israel yanayojiandaa kuvamia na kuvuruga eneo lote kwa kisingizio cha kuwamaliza Hamas na hata mateka hawawataji tena.

Eneo hilo kwa sasa lina watu takriban milioni moja na laki 3 zaidi ya nusu ya watu wa Gaza kabla ya vita.Watu hao wamesongamana kwenye mahema na wachache kwenye nyumba za ndugu zao ambazo zimegeuka kama vyumba vya mahabusu kutokana na msongamano.

Jamal Abu Tour kwenye eneo hilo ameiambia CNN katika kujifariji na kuwa na tamaa ya kupata msaada kuwa wanaomba Allah awasaide ili majeshi ya Israel yasitekeleze nia yao hiyo kwani hawana tena sehemu ya kukimbilia.

Mzee huyo akaendelea kusema kuwa hawataki warudi jiji la Gaza au Khan Younis na El Nuseirat kwani wamesikia wenzao huko wanakula majani na kunywa maji machafu.

Mahmoud Khalil Amer ambaye alikimbizwa kutoka kamba ya El Shati kaskazini ya Gaza na ambaye kwa sasa amejenga hema pembezoni pa makubiri eneo hilo Rafah,amesema kwa kweli kwa sasa hawana maisha.Waliokufa wanaweza kuwa ni bora kuliko wao.

Wakati mayowe ya watu wa Gaza yakiwa ya hali ya juu watu waliotarajiwa kuwasikia na kuwasaidia karibu wote ndio wamekuwa kimya zaidi kuliko mwanzoni mwa vita.Wale wanaoinua sauti baada ya kusikia mayowe hayo wanatoa matamko kama ya walevi.

Raisi Erdogan wa Uturuki karibuni alimlinganisha Netanyahu na Hitler.Wakati hukumu ya ICJ haikumshtua Netanyahu kauli kama hiyo ya Erdogan haina maana yoyote na ni kama ameridhia aendelee na analolifanya wakati angeweza kumzuia.

Ofisi ya raisi Mahmoud Abbbas wa mamlaka ya Palestina ukingo wa magharibi imesema wakati umefika kwa kila mmoja kutekeleza majukumu yake kuhakikisha janga kubwa zaidi halitokei na kuliingiza eneo lote kwenye vita visivyokwisha...

Tangu vita vianze ofisi hiyo haijaona janga tu na kauli ya ofisi hiyo mbona ni nyepesi kuliko uwezo wao wa kuzuia janga.

Katika hali ya kutosikilizwa mayowe yao ni vyema kwamba watu wa Gaza eneo la Rafaha wamejua ni wapi pa kupeleka kilio chao, kwa Allah muweza wa kila jambo, kwani huyo pekee ndiye mwenye uwezo wa kuwakinga na balaa kama alivyofanya kwa nabii Mussa a.s mbele ya Fir'aun na jeshi lake.
si mlisema hamas wanashinda vita ?
 
Kwa malengo ya Israel iliyojiwekea mpaka sasa Hamas ndiye mshindi.
Ushindi wa vita hupimwa kwa kufikiwa malengo ya vita.
mmefikia malengo ya kuwafanya wapalestina wapoteze hata eneo walikuwa wanajibana , si ndio malengo hayo ?
 
Hakuna kulalamika.Ni kuweka wazi ushahidi wa udhaifu wa kibinadamu.
Nyinyi ambao hamna imani ya kweli au hamumjui Mwenyezi Mungu huwa uoni wenu una upogo wa hali ya juu.
Kuna sehemu huwa mnaangamia na bado mnaona kama ndio mumefanikiwa.
Mnakunywa ulevi mkali mkitaraji kuburudika zaidi kumbe ndio mnajiua kwa kasi.
kelele za nini ? mungu awape nini tena ? si mlisema mmeshinda ? nyie watu akili zimeyumba
 
Tatizo unazungumza kwa kutumia kichwa cha kuku.
Habari za wapalestina hazikuanza kwao na wao hawajaanzisha chochote.Ule ni muendelezo wa kila ilichofanya Israel iliyoundwa na Uiengereza kwa njama mwaka 1948.
Walianza wazee wa siku hizo kujitetea wakaingia kwenye mtego wakaenda ukimbizini mainchi mengi halafu wakafungiwa lango la kurejea.Akashika akina Arafat lakini kwa kutumia siasa ya maneno hakupata cha maana mpaka akafa au akauawa.
Hamas tangu washike Gaza pekee washapigwa na kuteswa na Israel zaidi ya mara 3 katika vita vikali.Chaguo la kutumia nguvu na kusubiri mateso ni chagua la kiume na kibinadamu.
Unaposema wajisalimishe itawasaidia nini.
Na kwa sasa Israel haipiganii tena mateka .Na mateka hawatajwi tena kila upande kwa kiwango cha awali.Wengi wameshakufa na Hamas haina hamu ya kutoa takwimu zao.
Kinachowapeleka Rafah IDF ni kutekeleza malengo ya siri ambayo baadhi yao akina Netanyahu huwa yanawaponyoka .Lengo kuu ni kuwalazimisha kwa nguvu wapalestina wavuke mpaka waingie Misri na wadhibiti eneo la Rafah na baada ya hapo waitawale Gaza kama wanavyotawala maeneo ya Ukingo wa magharibi na mashariki.
Masetla kutoka Ulaya na Poland na kwengineko wajenge nyumba na mageti ya kuwazuia wapalestina hata kutembeleana.
mkuu jitizame akili zako vzr , utakuwa unewehuka sio bure , palestina na israel kila mtu alipewa eneo lake ila tamaa za waarab kutaka eneo lote pekee yao ndo iliwaponza
 
Vita vinaingia mwezi wa tano. Wapalestina wa Gaza wamepiga makelele sana na hawakupata msaada wanaostahiki. Sasa ni mayowe tu kutoka kila eneo mfano wa yale mayowe ya watu waliovamiwa na majambazi wenye silaha usiku.

Mayowe sasa hivi yanatokea Rafaha mpakani na Misri. Upande wa nyuma kuna makuta yenye seng'enge na mbele yao na juu ni majeshi ya Israel yanayojiandaa kuvamia na kuvuruga eneo lote kwa kisingizio cha kuwamaliza Hamas na hata mateka hawawataji tena.

Eneo hilo kwa sasa lina watu takriban milioni moja na laki 3 zaidi ya nusu ya watu wa Gaza kabla ya vita.Watu hao wamesongamana kwenye mahema na wachache kwenye nyumba za ndugu zao ambazo zimegeuka kama vyumba vya mahabusu kutokana na msongamano.

Jamal Abu Tour kwenye eneo hilo ameiambia CNN katika kujifariji na kuwa na tamaa ya kupata msaada kuwa wanaomba Allah awasaide ili majeshi ya Israel yasitekeleze nia yao hiyo kwani hawana tena sehemu ya kukimbilia.

Mzee huyo akaendelea kusema kuwa hawataki warudi jiji la Gaza au Khan Younis na El Nuseirat kwani wamesikia wenzao huko wanakula majani na kunywa maji machafu.

Mahmoud Khalil Amer ambaye alikimbizwa kutoka kamba ya El Shati kaskazini ya Gaza na ambaye kwa sasa amejenga hema pembezoni pa makubiri eneo hilo Rafah,amesema kwa kweli kwa sasa hawana maisha.Waliokufa wanaweza kuwa ni bora kuliko wao.

Wakati mayowe ya watu wa Gaza yakiwa ya hali ya juu watu waliotarajiwa kuwasikia na kuwasaidia karibu wote ndio wamekuwa kimya zaidi kuliko mwanzoni mwa vita.Wale wanaoinua sauti baada ya kusikia mayowe hayo wanatoa matamko kama ya walevi.

Raisi Erdogan wa Uturuki karibuni alimlinganisha Netanyahu na Hitler.Wakati hukumu ya ICJ haikumshtua Netanyahu kauli kama hiyo ya Erdogan haina maana yoyote na ni kama ameridhia aendelee na analolifanya wakati angeweza kumzuia.

Ofisi ya raisi Mahmoud Abbbas wa mamlaka ya Palestina ukingo wa magharibi imesema wakati umefika kwa kila mmoja kutekeleza majukumu yake kuhakikisha janga kubwa zaidi halitokei na kuliingiza eneo lote kwenye vita visivyokwisha...

Tangu vita vianze ofisi hiyo haijaona janga tu na kauli ya ofisi hiyo mbona ni nyepesi kuliko uwezo wao wa kuzuia janga.

Katika hali ya kutosikilizwa mayowe yao ni vyema kwamba watu wa Gaza eneo la Rafaha wamejua ni wapi pa kupeleka kilio chao, kwa Allah muweza wa kila jambo, kwani huyo pekee ndiye mwenye uwezo wa kuwakinga na balaa kama alivyofanya kwa nabii Mussa a.s mbele ya Fir'aun na jeshi lake.
Acha kueneza uzushi. Huko kote Mayahudi yamepokea kichapo na hayo mayowe ni kutoka kwa Waisrael. Wanagaza wana enjoy tu life. Na bado watu watapigika sana. Usiwachafue wana gaza kuwa wanalia lia. Hawa Isral wataisha wote huko.
 
Sio kweli kwamba walikuwa wamemsahau Mungu.
Hatua zote wanamtaja na kumtegemea yeye.Hata hasira kubwa za Hamas ni kuona nembo ya uislamu iliyo dalili nyingi za Mungu inachezewa na ndipo walipochukua jina la shambulio lao.
Nakuhakikishia ukubwa wa silaha na vifo na hasara iliyowapata watu wa Gaza wasingekuwa ni waislamu wenye imani ya Mungu vita vingeisha siku ya mwanzo tu na ungeona Hamas wamejisalimisha na watu wanapigana kama wanayama kila mmoja akimshambulia mwenzake.
Vita vinavyopiganwa Gaza hakuna ambapo vimewahi kutokea katika historia ya karibuni.Askari wa Zelensky hawakuweza kuhimili hata mwezi mmoja kule Mariupol.Kuna kamanda mmoja alionekana kujuta na kila wakati akipiga mayowe mpaka akapata upenyo akakimbia.Wenzake wakaomba njia wajisalimishe.
Palestine ipo ngangari. Na imeshinda hivi vita.
 
Mwenyezi Mungu ndio wa kuombwa sio mwengine
Screenshot_20240211-220043_Gallery.jpg
 
Kwa malengo ya Israel iliyojiwekea mpaka sasa Hamas ndiye mshindi.
Ushindi wa vita hupimwa kwa kufikiwa malengo ya vita.
Nyinyi Waislam ni watu wa Ajabu sana sana. Kila Leo mwaka na story, Allah asaidia vita tunashinda; mmewatanguliza watu wa Gaza maskini na kuwaaminisha maujinga yenu ya kitabu chenu Cha KISHETANI. Sasa hivi wamechoka na wanataka Kamasi ifutiliwe mbali. Ona huyu mjinga mwenzenu Hannah Ashrawi ati Kamasi haiwezi futiliwa mbali.
Screenshot_20240213-013234.png


Sasa ni kwambie kitu, na utunze hiyo:
Kama ilivyofutiliwa mbali Alqaida na ISIS, ndicho Israel inaenda kukifanya kwa KAMASI
 
Kwa uwezo wa Allah itakuwa kinyume chake na historia itaandikwa kuhusu october 7 na kilichofanyika 1948
Allah kashakula kona nanii huon watu wamelia wamechoka. Wht if huyo Allah ndio kaamuru Israel watoe kichapo hevi
 
Nyinyi Waislam ni watu wa Ajabu sana sana. Kila Leo mwaka na story, Allah asaidia vita tunashinda; mmewatanguliza watu wa Gaza maskini na kuwaaminisha maujinga yenu ya kitabu chenu Cha KISHETANI. Sasa hivi wamechoka na wanataka Kamasi ifutiliwe mbali. Ona huyu mjinga mwenzenu Hannah Ashrawi ati Kamasi haiwezi futiliwa mbali.
View attachment 2902166

Sasa ni kwambie kitu, na utunze hiyo:
Kama ilivyofutiliwa mbali Alqaida na ISIS, ndicho Israel inaenda kukifanya kwa KAMASI
Hanna Ashrawi ni mkristo mwenzenu mwenye akili na anyeijua Palestina sio nyinyi ambao mnapeleka wenzenu wakawasidie Israel kupora ardhi za watu na wakiuliwa mnalalamika.
 
Hanna Ashrawi ni mkristo mwenzenu mwenye akili na anyeijua Palestina sio nyinyi ambao mnapeleka wenzenu wakawasidie Israel kupora ardhi za watu na wakiuliwa mnalalamika.
Unafikiri nani asiyejua kuwa Huko Gaza na West Bank kuwa wako wakiristo! Lakini mlivyo makatili nyinyi Waislam inabidi tu wacheze mziki wenu ama sivyo mnawaua
Screenshot_20231225-190342.png
 
Sio kweli kwamba walikuwa wamemsahau Mungu.
Hatua zote wanamtaja na kumtegemea yeye.Hata hasira kubwa za Hamas ni kuona nembo ya uislamu iliyo dalili nyingi za Mungu inachezewa na ndipo walipochukua jina la shambulio lao.
Nakuhakikishia ukubwa wa silaha na vifo na hasara iliyowapata watu wa Gaza wasingekuwa ni waislamu wenye imani ya Mungu vita vingeisha siku ya mwanzo tu na ungeona Hamas wamejisalimisha na watu wanapigana kama wanayama kila mmoja akimshambulia mwenzake.
Vita vinavyopiganwa Gaza hakuna ambapo vimewahi kutokea katika historia ya karibuni.Askari wa Zelensky hawakuweza kuhimili hata mwezi mmoja kule Mariupol.Kuna kamanda mmoja alionekana kujuta na kila wakati akipiga mayowe mpaka akapata upenyo akakimbia.Wenzake wakaomba njia wajisalimishe.
Hamas ipo imara kinyama. Hakuna shida kwa mtu yeyote.
 
Back
Top Bottom