Mazingaombwe (Jugglery) ni Sayansi au Uchawi?

Mazingaombwe (Jugglery) ni Sayansi au Uchawi?

huwa inashangaza upanga ktk ya kichwa cha binadamu/watambuzi watujuze ni nini hufanyika?

pale kinacho fanyika wana chukua upanga wana ukata katikati kisha wanachukua spoku au waya mgumu wanachomelea upande mmoja na mwingine kisha wanavaa kama headphone kubwa zile za ki dj then wanafunika na minywele yao alafu wanajipaka marangi mekundu yale ya kupakia nyama.
 
Nilikua naangalia kipindi cha The Carbonaro Effect on truTV. Kipindi hiki kinahusu sanaa ya kiini macho au mazingaombwe ukipenda. Kwenye kipidi muigizaji anafanya "miujiza" tofauti tofauti, mara abadilishe unga kuwa bia, rangi za nguo huku kazivaa, gari kuwa kiti n.k.

Pindi niko shule ya msingi nilishuhudia hii sanaa kwa macho japo sikumbuki vizuri, leo ilishika kidogo akili yangu na kujiuliza mazingaombwe ni nini hasa!? Ni uchawi? Ni uwezo tu wa ajabu ndani ya baadhi ya watu? Na kidini inachukuliwaje hii sanaa?

Kwa upande mwingine, mimi ni mgumu sana kuamini uwepo wa uchawi kama siamini kabisa.

Nitoeni tongotongo hapo wadau..
 
Nilikua naangalia kipindi cha The Carbonaro Effect on truTV. Kipindi hiki kinahusu sanaa ya kiini macho au mazingaombwe ukipenda. Kwenye kipidi muigizaji anafanya "miujiza" tofauti tofauti, mara abadilishe unga kuwa bia, rangi za nguo huku kazivaa, gari kuwa kiti n.k.

Pindi niko shule ya msingi nilishuhudia hii sanaa kwa macho japo sikumbuki vizuri, leo ilishika kidogo akili yangu na kujiuliza mazingaombwe ni nini hasa!? Ni uchawi? Ni uwezo tu wa ajabu ndani ya baadhi ya watu? Na kidini inachukuliwaje hii sanaa?

Kwa upande mwingine, mimi ni mgumu sana kuamini uwepo wa uchawi kama siamini kabisa. Nitoeni tongotongo hapo wadau
 
Kwani kinachokufanya usiamini uchawi ni nini hadi ktk mazingaombwe yakuchanganye?
 
Nilikua naangalia kipindi cha The Carbonaro Effect on truTV. Kipindi hiki kinahusu sanaa ya kiini macho au mazingaombwe ukipenda. Kwenye kipidi muigizaji anafanya "miujiza" tofauti tofauti, mara abadilishe unga kuwa bia, rangi za nguo huku kazivaa, gari kuwa kiti n.k.

Pindi niko shule ya msingi nilishuhudia hii sanaa kwa macho japo sikumbuki vizuri, leo ilishika kidogo akili yangu na kujiuliza mazingaombwe ni nini hasa!? Ni uchawi? Ni uwezo tu wa ajabu ndani ya baadhi ya watu? Na kidini inachukuliwaje hii sanaa?

Kwa upande mwingine, mimi ni mgumu sana kuamini uwepo wa uchawi kama siamini kabisa. Nitoeni tongotongo hapo wadau

ni mind trick lakini inawezekana na uchawi pia unatumika kwasababu upo amini
usiamini: I stand to be schooled.
 
Daah enzi zileee,Profesa Singira alikuja shule,alichagua msichana furani atoke mbele,akamwambia kalia ndoo,harafu akazungumza maneno furani tusiyoyaelewa,baadae akamwambia yule msichana asimame....daaah kwenye ndoo kulikuwa na mayai,nikajiuliza yale mayai yamefikaje ndani ya ndoo wakati ilikuwa tupu?,naona kuna mambo flani ya ndumbaz wanafanya...
 
Daah enzi zileee,Profesa Singira alikuja shule,alichagua msichana furani atoke mbele,akamwambia kalia ndoo,harafu akazungumza maneno furani tusiyoyaelewa,baadae akamwambia yule msichana asimame....daaah kwenye ndoo kulikuwa na mayai,nikajiuliza yale mayai yamefikaje ndani ya ndoo wakati ilikuwa tupu?,naona kuna mambo flani ya ndumbaz wanafanya...
kwaiyo demu kanya mayai aisee! wonders shall never end!
 
mazingaombwe ni kiini macho na upumbazaji wa akili...
 
Yako mazingaombwe ya aina mbili kuna Yale yakutumia ujanja ambayo baadhi m nayajua nliwahi kufundishwa nayajua sana kama kubadili nyasi kua pipi n.k lunwvyuo kabisa vinafundisha nahuruhusiwi kutoa siri zao. Yapili ndio inahusisha ushirikina ili kuboresha ufanisi wakazi hapo ndio utaona maajabu bila chenga.
 
Angalia hotuba ya JK kuhusu escrow ndio utajua maana ya mazingaombwe
 
Kipindi nikiwa primary alishawahi kuja Mwanamazingaombwe, na ushuhuda wangu ni huu.
Ule ni UCHAWI sababu anapumbaza watu akili.
Tulitolewa mbele tukiwa 3 ka sikosei, kipindi hiko nipo Primary.
Jamaa akatoa kitu kama kibuyu na usinga wake na kifimbo chake, akaweka kila kibuyu ktk vichwa vyetu huku akitamka maneno ambayo hatukuweza kuyatambua.
Alipomaliza akazinguka kwa nyuma yetu huku akituambia tucheze style ile ya TMK WANAUME. Basi tukaanza kucheza pale huku watu wakiwa wanafurahi na akawaambia watuimbie nyimbo ya TMK.
Tulipomaliza hapo akawanyamazisha akaanza kazi nyingine, akatuwekea tena kile kibuyu na kutamka meneno yake kama kawaida alipomaliza akatuchapa na usinga wake ka mara 4 hivi kwa kila mtu.
Ghafla akaenda kwenye begi lake na kutoa mkate wenye Silesi kadhaa, wakati anapita yupo nyuma yetu aliukunja sana ule mkate na kukaa ktk kiganja chake kisha akaenda kwa wakwanza na akauweka mkate puani kwake akawa unaulazimisha kuuingiza puani mwake kisha akautoa, alivoutoa watu wote walishangaa na kushangiria harafu akamwambia aule. Jamaa akaula.
Akaja kwangu mimi, kama kawaida yake akiwa na mkate mkononi. Alipofika akawa anaforce kuingiza ule mkate tumboni kisha akautoa na kunambia nimeze, watu wote wakawa wanashangilia. Mimi nikawa najiuliza hawa watu wanashangalia nini?
Alipofika kwa wa 3 akaenda kuutoa mkate kwenye makalio kwa njia ile ile na kumwambia aumeze. Hapa watu ndo walicheka balaaaaaaa!!!!!!!!
BAADA YA KUTOKA KWENYE MAZNINGAOMBWE
Sasa baada ya kutoka kwenye mazingaombwe marafiki wakawa wananitania kuwa nilipumbazwa akili ila mimi nikawaambia kuwa mimi ni nilikuwa na akili timamu.
Wakanambia mbona tulikuwa tunacheza pasipo kuambiwa tucheze. Mimi nikawaambia yule Jamaa alituambia tucheze, tena alipita kwa kila mtu. Marafiki wakakataa, nikawaambia hawajamuona wakati anapita nyuma yetu akituambia tucheze? Wakasema hakuna hata mara moja jamaa akienda nyuma yetu. Niliwashangaa sana na kila nilimuuliza akanijibu hivyo kuwa hajapita nyuma yetu.
Na pale tulipotolewa mikate sehemu za mwili wetu wakasema yule jamaa hakushika mkate wowote mkononi wala hakwenda kwenye begi lake kuchukua mkate. Hapa ndo nilistaajabu sana, wakati anakuja kuchukua mkate sisi tulimuona sababu begi lilikuwa karibu yetu kabisa. Sisi mimi tuu niliemuona bali hata marafiki zangu ambao tulitolewa wote pale.
Mimi naamimi kabisa yule jamaa pale anafumbaza fahami za watu na yeye wakati mwingine huwa anaacha mwili ila nafsi yake inafanya mengine sehemu ile ile. HUU NI UCHAWI. KWENYE LILE BEGI LAKE NILIONA KIBOX AMBACHO SI RAHISI KUJA KUKISAHAU MAISHANI MWANGU.
 
Kuna mtu anaitwa DYNAMO MAGICIAN ni hatari sana kwenye hizi mambo. Mf. kuingiza cmu kwenye chupa ya bia, kulala hewani, kutembea juu ya maji, kupenyeza mkongo katkati ya kioo bila kutumia force kubwa na bila kupasua, tricks zote zinazohusu karata basi yeye ndiyo master na ujanja-ujanja mwingine. Ila kwa upande wangu ningependa kuchangia kwa kusema zile ni tricks tu hakuna cha ziada pale.

Kuna jamaa mmoja nimesoma naye pale Panda Hill Mbeya. Jamaa alikuwa anaweza kutoa simu iliyokuwa imechorwa kwenye kitabu (nakala ya matangazo ya simu) na inakuwa simu halisi, nilijua mshikaji ni mchawi ila baadaye alikuja kunifunulia jinsi trick anavyoitengeneza, ebwaaanaeeeeeh ni kimchezo cha kitoto sana ukijua zile tricks.

Tafuta movie moja hivi inaitwa ILLUSIONIST nazani utaona tricks vizuri na jamaa staring wa movie alikiri kuwa ni tricks tu hakuna uchawi pale na movie inapoisha jamaa aliacha michoro na ma-formula yote ya hizo tricks. Ukienda google nazani unaweza ukapewa mafunzo kamili jinsi wanavyotengeneza hizo tricks mpaka unaona ni ushetani fulani.

Karibuni tujadili hii kitu..
 
kuna elimu kubwa itapatikana hapa! sichezi mbali

nina imani watakuja wenye elimu kubwa hapa kuhusu hili jambo
.
karibuni Rakims, 1701, Juve, Falsafa, free ideas, greencity, Kongosho, King-kong, HandsomeBabu, armi, Wickaman, C.T.U, Shylang n.k.

.made in mby city.
 
Hapa Patamu, Kna Mshikaji Mmoja Wa Kiini Macho Anachukua Karata Anachangisha Changisha Kisha Anaziachia Yaani Kama Anatupa Hivi Afu Then Zile Karata Zinaunganika Pamoja Ya Mwanzo Mpaka Mwisho. Afu Kna Mmazingaombwe Mmoja Hivi Nae Anawasha Moto Bila Kutumia Kibiriti Sasa Aliniacha Hoi. Ni Nini Mazingaombwe Kama Mleta Mada Alosema Kama Vipi Moderators Saidia Tusiache Mada Yatima Hapa.
 
kuna mtu anaitwa DINAMO MAGICIAN ni hatari sana kwenye hizi mambo
mf. kuingiza cmu kwenye chupa ya bia, kulala hewani, kutembea juu ya maji, kupenyeza mkongo katkati ya kioo bila kutumia force kubwa na bila kupasua, tricks zote zinazohusu karata basi yeye ndiyo master na ujanja-ujanja mwingine
ila kwa upande wangu ningependa kuchangia kwa kusema zile ni tricks tu hakuna cha ziada pale
kuna jamaa mmoja nimesoma naye pale PANDAHILL MBEYA jamaa alikuwa anaweza kutoa simu iliyokuwa imechorwa kwenye kitabu(nakala ya matangazo ya simu) na inakuwa simu halisi, nilijua mshikaji ni mchawi ila baadaye alikuja kunifunulia jinsi trick anavyoitengeneza, ebwaaanaeeeeeh ni kimchezo cha kitoto sana ukijua zile tricks
tafuta movie moja hivi inaitwa ILLUSIONIST nazani utaona tricks vizuri na jamaa staring wa movie alikiri kuwa ni tricks tu hakuna uchawi pale na movie inapoisha jamaa aliacha michoro na ma-formula yote ya hizo tricks
ukienda google nazani unaweza ukapewa mafunzo kamili jinsi wanavyo tengeneza hizo tricks mpaka unaona ni ushetani fulani

.karibuni
MziziMkavu, pasco, kiranga, Ishmael, Monstgala, Eiyer, Cybertech, Mjuni Lwambo, Mkuu wa chuo, Mkwesya Makambo, LittleHulk, TheBoss, FaizaFox, Housegirl, MshanaJr, SupuYaMawe, YerickoNyerere,2013 na wengine woooooooote tujadiri hii kitu

.made in mby city.
kwanini umetumia wino mwekundu,bila shaka nawe ni mwanamazingaombwe
 
Hapa Patamu, Kna Mshikaji Mmoja Wa Kiini Macho Anachukua Karata Anachangisha Changisha Kisha Anaziachia Yaani Kama Anatupa Hivi Afu Then Zile Karata Zinaunganika Pamoja Ya Mwanzo Mpaka Mwisho. Afu Kna Mmazingaombwe Mmoja Hivi Nae Anawasha Moto Bila Kutumia Kibiriti Sasa Aliniacha Hoi. Ni Nini Mazingaombwe Kama Mleta Mada Alosema Kama Vipi Moderators Saidia Tusiache Mada Yatima Hapa.
Mazingaombwe ni ujanja ujanja tu, kwa mafano kwa hizo karata zinakuwa zimeunganishwa kwa soletape halafu kuna zingine anakuwa hajazionganisha sasa akichanga zile zingine zinakaa juu halafu anaachia zile zilizounganishwa... Halafu huo ujanja ujanja huwa wanatumia kutapelia na watu, kuna vipindi vya tv huwa vinaonyesha wanavyofanya...
 
Back
Top Bottom