nimesota
Senior Member
- Jan 16, 2015
- 123
- 53
mkuu Globu si lazima waje watajwa tu kwani hatuwezi kuwa-tag wana JF wote kwakuwa hatujui ujuzi wao juu ya hili jambo na ndio maana mwishoni nikamalizia na kusema wooooote wakaribie kujadili,
hata wewe pia kama unajua unaweza kusogea hapa na kuchangia chochote kwa ajiri ya wanaJF
thanks
.made in mby city.
haswaaa