Hupati tena weweee, aahh.
Halafu sio COnFORTABLE bali ni COMFORTABLE. Au bado upo kwenye pagala?
Sikia wenzio tunavyojibless, ilikuwa kwenye part ya harusi, bonge ya toto nimeielewa, ikatoka ukumbini kwenda kupokea simu, nikaifuata huko nje, ilipomaliza nikaizubaisha kwa verse za kijaluo, akaonyesha kuelewa akatoa namba akataka arudi ukumbini, nikamwambia tusimame nyuma ya gari yangu(range rover) wala halikuwa langu. Akakubali, kufika romance, kumshusha chupi katulia, nikajibless na dume condom, moja la dk 15 safi kabisa. Demu akalazimisha nimpe namba yangu, baada ya sherehe akanitext tukalale wote, nikamwambia atangulie lodge maana nina family members wa kupeleka nyumbani na gari. Baadae nilikwenda lodge tukamalizia gemu.