Mazingira gani ya hatari uliwahi kufanya mapenzi?

Mazingira gani ya hatari uliwahi kufanya mapenzi?

Hupati tena weweee, aahh.
Halafu sio COnFORTABLE bali ni COMFORTABLE. Au bado upo kwenye pagala?

Sikia wenzio tunavyojibless, ilikuwa kwenye part ya harusi, bonge ya toto nimeielewa, ikatoka ukumbini kwenda kupokea simu, nikaifuata huko nje, ilipomaliza nikaizubaisha kwa verse za kijaluo, akaonyesha kuelewa akatoa namba akataka arudi ukumbini, nikamwambia tusimame nyuma ya gari yangu(range rover) wala halikuwa langu. Akakubali, kufika romance, kumshusha chupi katulia, nikajibless na dume condom, moja la dk 15 safi kabisa. Demu akalazimisha nimpe namba yangu, baada ya sherehe akanitext tukalale wote, nikamwambia atangulie lodge maana nina family members wa kupeleka nyumbani na gari. Baadae nilikwenda lodge tukamalizia gemu.
Tisha sana mzee baba 🤣 🤣 🤣 🤣 🤣 🤣
 
Kwenye lift nikiwa Antwerp, Belgium ilikuwa usiku wa manane kama saa 8 halafu akatukuta mdada wala hatukumjali na kwakuwa wazungu hawana mambo ya kufuatilia mambo yasiyo wahusu tukaendelea na raha zetu
Nyamanyama ongezea kidogo ilianzaje anzaje
 
Bas me naongoza kufanyie sehemu zisizo rasmi
Niliwah kua na kangoni fulani hivi ni shiiida
Yaan kale kalikua kama ka mwehu hivi
Siku moja forodhan
Siku nyingine nyuma ya nyumba yao
Siku nyingine tulienda kwenye kikao cha mdogo wake shuleni
Uzur kalikua kembamba Kwahyo ukikainamisha kidogo tu immmooo
Wangoni ni nouma aisee watoto wale
 
821 KJ shamba la Migazi nmekamata kicheichei wangu tunamatch kwa haraka kwenda kwenye mpango kazi tumevuka jumba la uyoga , beach tukaingia kichaka kimoja shusha pitishort shusha tight shusha pichu imekula vumbi nyekundu kinoma kuchora 7..
nkapga sanaa wazungu wa mzabuni hawa apa..
nmerudi jioni combania demu anamwaga matee kalala na kubreak wind sanaa
🤣 🤣 🤣 🤣 🤣 🤣 eti wazungu wa mzabuni... Umeniua mike
 
821 KJ shamba la Migazi nmekamata kicheichei wangu tunamatch kwa haraka kwenda kwenye mpango kazi tumevuka jumba la uyoga , beach tukaingia kichaka kimoja shusha pitishort shusha tight shusha pichu imekula vumbi nyekundu kinoma kuchora 7..
nkapga sanaa wazungu wa mzabuni hawa apa..
nmerudi jioni combania demu anamwaga matee kalala na kubreak wind sanaa
Kubreak wind tena??? Ulikula mtandao pendwa 0713 nini mdau???🙁🙁🙁🙁
 
Juz kati nilienda zangu likizo kijijini kwetu huko sitimbi,mke wangu nilimuacha so nilienda peke yangu.ktna demu flan nilimshobokea nae akaelewa somo.sasa sehemu ya kumgegeda ikawa ishu coz alikuwa mke wa mtu kwahiyo sikutaka mtu mwingine ajue zaid yetu.bhana bhana demu akenipeleka sehemu flani hivi kichani karibu na makaburi.tumefika demu akatandika kanga chini nae akalala.kidume nikawa nimepiga magoti tayari kwa kuanza mashambulizi,ghafla nikahisi ubaridi na majimaji kwenye goti la kushoto.nikamwambia khanga yako imeloana akasema hapana.si ndo kupeleka mkono na kunusa,duh ni mavi ya mtu! Goti lote limetapakaa mavi.nikamwambia tumelalia mavi,ikabidi tusogee mbele kidogo kupiga mechi yetu.nashukuru tulimaliza mechi fresh na nikaenda gheto kufua suluari na kuoga.
Kwa hiyo mzee baba, harufu ya kinyesi hukujali kabisa 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
 
Ni noma maake mBoo inanyonywa hadi unahisi mnyonyaji ni kibogoyo [emoji2] na alikuwa anafyonza shahawa zote hadi ziishe huku safari ikiendelea
Ungemalizana naye lodge tu m zee baba, au ungeomba hata namba ili umuweke kiporo 🤣 🤣
 
Nyumbani kwa Bwana jela kwa wale wanaoifahamu musoma kota za bwana jela zilikua ukuta wa central na wa Nyumbani yake umetenganishwa na fensi za waya.
 
Nilikua na mwanangu mwandishi wa habari maarufu tu, ni marehemu kwa sasa R. I. P
Kuna siku tunaenda kula vyombo akakapitia kademu kake kamchepuko tukaenda mahali piga sana vyombo, baadae akalewa akalalia meza tukabaki mimi na shemeji, aisee sijui nilipata wapi ule ujasiri nikamwomba tupige gemu fasta jamaa kazima, tukampeleka kwenye gari alale vzr tukachukua room pale pale. Dk 15 nyingi asije shtuka nikaondoka, demu akam drive jamaa wakaamsha.
Ila kilichonipa ujasiri nadhani ni pombe na kujua kuwa shem uwa anaonesha kitu hisia tukionana.
Miaka hio.
 
Mwanajeshi kaenda mtwara halafu kaacha radio call nyumbani ambacho ni kifaa muhimu KWA mawasiliano ya kijeshi na si utaratibu mtu kwenda nayo nyumbani...... Mhhh
To second my own comment,(navoskia skia) ni kwamba, vifaa aina ya redio za kijeshi (ZTE) hua kimfumo kwa siku husika anakua nayo O/Officer, O/Sergeant, O/Cpl, MP na Int.Pers wa zamu, pia na ofisa wa zamu (chumba mahususi), pengine na Dereva wa zamu, M.O etc. Sasa unavoniambia umekuta redio ndani, nakumbwa na ukakasi
 
Sasa hapa kuna hatari gani mkuu?

Umekula mzigo kitandani kabisa, pengine hata mlango ulifunga!

Wewe ni mzinzi wa kawaida tu, ila hujafanya mapenzi sehemu hatari!

[emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28]

[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Mimi nakumbuka mengi mno, nimekula mke za watu sana hovyo hovyo, porini na gest, na videnti denti ofisini juu ya meza,
JamiiForums388017043.jpg
 
To second my own comment,(navoskia skia) ni kwamba, vifaa aina ya redio za kijeshi (ZTE) hua kimfumo kwa siku husika anakua nayo O/Officer, O/Sergeant, O/Cpl, MP na Int.Pers wa zamu, pia na ofisa wa zamu (chumba mahususi), pengine na Dereva wa zamu, M.O etc. Sasa unavoniambia umekuta redio ndani, nakumbwa na ukakasi
Mkuu huku Jf wengine wanaburudisha tu
 
Back
Top Bottom