Mkiwa mnaandika mtulie basi kwani mnawahi wapi? Tumeshafika 2119?sasa Swali kwa Tulia: Wewe kuwabakiza CVovid 2119 Bungeni kinyume cha sheria/Katiba/hukumu ya mahakama pamoja na kuandikiwa barua na chadema kuwa hao si wanachma wao, bado umewakumbatia kukaa bungeni ambayo ni dhambi kubwa mbele ya mwenyezi Mungu.
Je wewe kwenye hili la Akina Mdee umepanda nini na utavuna nini?
Risala familia ndie mwamuxi wa kipi.kiwepo na kipi kisiwepo kwenye wasifu .Mjue Hilo.Wakisema Hiki kisiwepo .Mheshimi wasifu uliosomwaSote tunajua kwamba alikuwa waziri mkuu mbona imesemwa? Sema ukweli japo unauma
Mkuu hawa majamaa ni wadwanzi sana, hili sio tukio la CCM wala CHADEMA ni la kijamii lakini katika mafanikio yake ameyapata pande zote sasa mtu anahamasisha bias.Huyo JAMAa ni mpumbavu 👆 achana nae
Unataka kusema mke wa marehumu lowasa hatambui ,lowasa kuwa aligombea urasi kupitia CDM.Risala familia ndie mwamuxi wa kipi.kiwepo na kipi kisiwepo kwenye wasifu .Mjue Hilo.Wakisema Hiki kisiwepo .Mheshimi wasifu uliosomwa
WamKuna haja gani ya kuficha kitu ambacho kinajulikana? Kwani mkisema aligombea kupitia chadema mtapungukiwa nini?
Ona sasa dk 5 tu mtu kaharibu sifa zote mlizozitaka.
Mkuu akili yako ipo sehemu za siriHuu unaitwa ujinga wa kipaji, kama baba Yao angekuwa rais kupitia cdm wangeacha kuandika kwasababu sio Kila kitu kinawekwa kwenye historia?
Ni kweli kabisa 🌈Wam
Mkuu akili yako ipo sehemu za siri
Picha hakunaMkuu uku tupo live n muda wakuweka mashadaa ,,
Hakikaa kaburi limependezaaa ...
Rip lowasaa
Hakupewa nafasi kwa sababu alikaa seat za nyuma 😂Bwana Bashite hakupewa nafasi yoyote katika maziko ya Lowassa.
Sasa walitaka Makonda apewe nafasi aongee kama nani pale? Mwenyekiti wake alikuwepo, katibu wake wa Chama alikuwepo na viongozi mbalimbali wa serikali walikuwepo. Hajapewa rais mstaafu JK apewe Makonda my footHaya mambo bhana, Chadema wasipopewa nafasi watu wanalalamika, ccm wasipopewa nafasi bado mnalalaka
kila mtu ameona hiloYule mshamba mshamba anayekusanya msururu mkubwa wa magari ya Serekali Bwana Bashite hakupewa nafasi yoyote katika maziko ya Lowassa.
Kwa mara nyingine tena Bashite pamoja na mbwembwe zake za kipuuzi alionekana hana maana,umuhimu ktk maziko hayo.
Tulimsikia akiwatisha kina Bashe,Aweso........ na wengineo wengi,kumbe hana maana katika siasa za Tanganyika hata kidogo labda huko kwao Koromije.
Tena narudia thread yake YAKIPUMBAVU MNOPost yako ni ya kipuuzi sana. Ulitaka mazishi ya Waziri Mkuu Mstaafu yageuzwe kuwa mkutano wa kisiasa?
Mwenyekiti wa chama yupo, makamu mwenyekiti yupo, katibu Mkuu yupo, unataka Makonda apewe kipaumbele cha nini?
Kama Kikwete aliyewahi kuwa rais hakupewa nafasi, wewe unataka Makonda apewe nafasi ya nini?
Ni ufinyu wa mawazo kujaribu kufanya mazishi kuwa mkutano wa kisiasa.
"Unyumbu ni janga la taifa "