johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 97,869
- 171,716
TBC ni runinga gani?TBC wako mubashara
Demokrasia ina gharama zake tusiogope kuzibeba
Siyo siri kwamba Lowasa alikuwa mwanachama wa Chadema
Ni hilo tu
Mfungapo Kwaresma Msiwe kama Wanafiki Wenye Nyuso za Kukunjamana π
naona anasaidiwa na ule mwiba wa MagharibiMazishi haya yataendeshwa kwa Sehemu mbili, Kidini na Kiserikali. Kwa upande wa Dini, Askofu Mkuu wa KKKT, Dkt. Alex Malasusa ataongoza ibada hiyo,
Mbele yetu, nyuma yake.
Tunaomba kujua yule bwana aliyepigwa akafloti kafa?Habari wana jf mlioko Monduli Tunaomba tupate updates za Mazishi ya mpendwa wetu ENL
Unafiki, uongo, fitna, majungu na siasa za majitaka za wanasiasa uchwara na chawa wao ndio zimetufikisha hapa leo.
Na kweli wamemdhalilisha na kumchafua kweli kweli, alaf leo wanajitokeza kudai eti mama yake na Lowasa alikuwa mwalim wao miaka 41 iliyopita. Siku zote za kumchafua hili swala hawakuliongelea π€£π€£π€£
RIP Lowasa ulieitwa fisadi na wanafunzi wa mama yako.
Mpaka yana gombania nyama...Maccm yalimdhurumu haki lowasa ndani ya CCM Leo yamejazana monduli yanamaliza ng'ombe wake
Regina ni mke wa Lowassa
Ndiyo unafiki wenyewe sasa una mlipa je haki za kusiitafu wakati amejihuzuru tena kwa kashifa ya wizi.Kwani halipwi stahiki zake za Ustaafu?πΌ
Hapana, Mrema alipojiuzuru alinyang'anywa kila kitu humohumo bungeni Dodoma na alitembea kwa mguu kwenda nyumbani kwake Area D, wakati anatembea kwa mguu alitokea msamalia mwema akampa lifti, bahati mbaya akakamatwa.Kujiuzulu kwa Lowassa ni Sawa na kustaafu kwa manufaa ya Umma
Nyie Vijana haya mambo hamuyaelewi kwa kinaπ
Waache "WAFU" wazike "WAFU" wao...Waziri Mkuu Mstaafu na Mbunge wa Zamani wa Monduli (CCM) Hayati Edward Lowassa anazikwa leo Nyumbani kwake, Monduli. Mazishi haya yamehudhuriwa na viongozi wakuu wa Nchi wakiongozwa na Rais Samia Suluhu Hassan.
Waombolezaji wametoa Salamu za Mwisho kwenye Jeneza la Hayati Lowassa, wakiongozwa na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan, kisha famili ya Lowassa, viongozi wengine wa kitaifa pamoja na Viongozi waandamizi kutoka vyama vya upinzani, Freeman Mbowe na Zitto Kabwe.
Mazishi haya yataendeshwa kwa Sehemu mbili, Kidini na Kiserikali. Kwa upande wa Dini, Askofu Mkuu wa KKKT, Dkt. Alex Malasusa ataongoza ibada hiyo, kisha Jeshi la Wananchi la Tanzania litashiriki sehemu ya pili ya Mazishi hayo.
Kwa mujibu wa taratibu za Kijeshi, Hayati Lowassa atapigiwa mizinga 17 kwa heshima yake.
Saa 6:25 Mchana, Maafisa wa JWTZ wenye cheo cha Kanali wanauingiza Mwili wa Hayati Lowassa Kaburini.
R.I.P Laigwanan comrade ENLWaziri Mkuu Mstaafu na Mbunge wa Zamani wa Monduli (CCM) Hayati Edward Lowassa anazikwa leo Nyumbani kwake, Monduli. Mazishi haya yamehudhuriwa na viongozi wakuu wa Nchi wakiongozwa na Rais Samia Suluhu Hassan.
Waombolezaji wametoa Salamu za Mwisho kwenye Jeneza la Hayati Lowassa, wakiongozwa na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan, kisha famili ya Lowassa, viongozi wengine wa kitaifa pamoja na Viongozi waandamizi kutoka vyama vya upinzani, Freeman Mbowe na Zitto Kabwe.
Mazishi haya yataendeshwa kwa Sehemu mbili, Kidini na Kiserikali. Kwa upande wa Dini, Askofu Mkuu wa KKKT, Dkt. Alex Malasusa ataongoza ibada hiyo, kisha Jeshi la Wananchi la Tanzania litashiriki sehemu ya pili ya Mazishi hayo.
Kwa mujibu wa taratibu za Kijeshi, Hayati Lowassa atapigiwa mizinga 17 kwa heshima yake.
Saa 6:25 Mchana, Maafisa wa JWTZ wenye cheo cha Kanali wanauingiza Mwili wa Hayati Lowassa Kaburini.
yaliyopita si ndwele tugange ya sasa na yajayo πCCM ni kundi kubwa sana la watu wasio na haya.
Jinsi walivyokuwa wanamtusi, wanamnyanyasa Lowassa na familia yake, walivyomuita "maiti", wakamtweza kwa Kila Hali, leo wanajifanya kububujikwa na machozi.
CCM walimdhadhalilisha sana Lowassa kiasi kwamba Leo tunapowaona wameongozana kwenda kwenye mazishi yake, tunajiuliza, KULIKONI???
Aliitwa mstaafu ila hakuwa mstaafu, ni mwendelezo tu wa unafiki ccm hadi kwenye kifo chake wameendeleza unafiki kwa kujifanya wana huzuni nyingi.huyu mzee wawatu ni waziri mkuu msitaafu?
Kweli. 1988 nilikuwa Dodoma Peter Mavunde alikuwa mc kipindi hicho alishirikiana na rafiki yake jina limenitoka. Huyo rafiki alifariki kitambo sana.Mc ni Mavunde nini? Huyo mzee APUMZIKE sasa atakuwa amechoka mpaka ubongo! Awaachie vijana! Tangu nikiwa kijana yeye ni MC tu mpaka leo nimezeeka!