Mazishi ya aliyewahi kuwa Waziri Mkuu, Hayati Edward Lowassa, Februari 17, 2024

Demokrasia ina gharama zake tusiogope kuzibeba

Siyo siri kwamba Lowasa alikuwa mwanachama wa Chadema

Ni hilo tu

Mfungapo Kwaresma Msiwe kama Wanafiki Wenye Nyuso za Kukunjamana πŸ˜™
 
 
Kujiuzulu kwa Lowassa ni Sawa na kustaafu kwa manufaa ya Umma

Nyie Vijana haya mambo hamuyaelewi kwa kinaπŸ˜€
Hapana, Mrema alipojiuzuru alinyang'anywa kila kitu humohumo bungeni Dodoma na alitembea kwa mguu kwenda nyumbani kwake Area D, wakati anatembea kwa mguu alitokea msamalia mwema akampa lifti, bahati mbaya akakamatwa.
Kujiuzulu ni kuacha kazi kwa hiari unapoteza haki zako zote na unatakiwa umlipe mwajiri wako labda kama umetoa notisi ya miezi mitatu hautamlipa.
Tuache kushuhudia upotoshaji wa makusudi.
 
Waache "WAFU" wazike "WAFU" wao...
 
R I P
R.I.P Laigwanan comrade ENL
 
yaliyopita si ndwele tugange ya sasa na yajayo πŸ’

R.I.P Laigwanan comrade ENL
 
Mc ni Mavunde nini? Huyo mzee APUMZIKE sasa atakuwa amechoka mpaka ubongo! Awaachie vijana! Tangu nikiwa kijana yeye ni MC tu mpaka leo nimezeeka!
Kweli. 1988 nilikuwa Dodoma Peter Mavunde alikuwa mc kipindi hicho alishirikiana na rafiki yake jina limenitoka. Huyo rafiki alifariki kitambo sana.
 
Tangu wanaccm walipomdhihaki Lowasa ni miaka mingi imepita lakini hakuwahi kutokea kiongoxi yeyote wa CCM kumuomba msamaha kwa waliyomtendea, leo haohao wako mstari wa mbele bila aibu kumsifu! Mungu wa mbinguni anawaona kwa unafiki wenu eti leo mmemuona Lowasa mtamu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…