Mazoezi kwa mwanaume ni muhimu Sana kama unataka kumridhisha mwenza wako kwenye tendo!

Mazoezi kwa mwanaume ni muhimu Sana kama unataka kumridhisha mwenza wako kwenye tendo!

Kinachomridhisha mwanamke ni pesa

Hata ukifanya mazoezi yapi kama huna hela unakuwa unapoteza muda

Alafu kingine ile ni kama tyubu inatanuka na kusinyaa kwa hiyo jidanganyeni
Mkuu hakuna kitu cha kumridhisha mwanamke,ukiona mwanamke ameamuwa kutulia ujue ni yeyee ameamuwa atulie na sio ww umemfanya atulie.
 
Kwa Mwanamke unaweza ukajikamua weee ukidhani umemridhisha kumbe unajidanganya

Halafu cha kufahamu kwenye tendo mwanamke ana gain mwanaume ana loose energy

Matokeo yake mwanaume unakonda unabakiza kichwa,unakuwa na muonekano kama RUNGU LA MZEE PEMBE

Usishindane na ulipotoka,kwa kujiona kidume,shaababi
 
Huu ni ujinga sana na siku hiI ona unafanywa kama trend.

Kufanya mazoezi kwa lengo la kumfurahisha mwingine na sio kwa lengo la kuimarisha afya yako ni ujinga.

Kama wewe unafanya hivyo ili umridhishe, yeye anafanya nini ili akuridhishe?

Hii ndio mentality ya kijinga ambayo inawafanya watu waanze kutumia midawa ya ajabu ajabu hadi wengine kufikia maamuzi ya kufanya enlargment ilimradi tu kumridhisha kimapenzi mwanamke halafu mwisho wa siku side effects zinakuja kipindi ambacho hata mahusiano na huyo mwanamke hayapo tena .
Ni ujinga sana mkuu unafanya mazoezi sababu ya K mbona ni upuuzi sana
 
Back
Top Bottom