Tumwesige senior
JF-Expert Member
- Jan 28, 2013
- 3,506
- 6,305
Wanawake haijulikani wanaridhishwa na nini
Pesa,show au mguu wa mtoto
Pesa,show au mguu wa mtoto
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mkuu hakuna kitu cha kumridhisha mwanamke,ukiona mwanamke ameamuwa kutulia ujue ni yeyee ameamuwa atulie na sio ww umemfanya atulie.Kinachomridhisha mwanamke ni pesa
Hata ukifanya mazoezi yapi kama huna hela unakuwa unapoteza muda
Alafu kingine ile ni kama tyubu inatanuka na kusinyaa kwa hiyo jidanganyeni
Kiukweli wanawake wa sasa mmewaweza hawa vijana sijui munawapa nini ambacho sisi hatupewi na wanawake wetu.😹😹😹 Seriously??
Sasa nimeelewa kwanini mbowe hataki kuachia uenyekiti Chadema
Kwambana bado tutawapiga za uso
Hatuwez ridhikaKwamba
UlafiHatuwez ridhika
muhimu uzimaUlafi
Na sisi tukiwa tumemwagiliamuhimu uzima
Kwani tuna shida sieNa sisi tukiwa tumemwagilia
Sio wote mtawapiga wanaojitega kupigwa tu.na bado tutawapiga za uso
Ni ujinga sana mkuu unafanya mazoezi sababu ya K mbona ni upuuzi sanaHuu ni ujinga sana na siku hiI ona unafanywa kama trend.
Kufanya mazoezi kwa lengo la kumfurahisha mwingine na sio kwa lengo la kuimarisha afya yako ni ujinga.
Kama wewe unafanya hivyo ili umridhishe, yeye anafanya nini ili akuridhishe?
Hii ndio mentality ya kijinga ambayo inawafanya watu waanze kutumia midawa ya ajabu ajabu hadi wengine kufikia maamuzi ya kufanya enlargment ilimradi tu kumridhisha kimapenzi mwanamke halafu mwisho wa siku side effects zinakuja kipindi ambacho hata mahusiano na huyo mwanamke hayapo tena .
unajiamin sana kijanaSio wote mtawapiga wanaojitega kupigwa tu.
NotedKwani tuna shida sie
With thanksNoted
Yeah sio kila mtu anapigika kizembe wengine wamesha seti standard zao😁😁😁unajiamin sana kijana
PESA tutakula huo mguu wa mtoto?Wanawake haijulikani wanaridhishwa na nini
Pesa,show au mguu wa mtoto
wewe natafta weakness point yako subiriYeah sio kila mtu anapigika kizembe wengine wamesha seti standard zao😁😁😁
Zipo nyingi tu ila hapo kwenye kuyumbishwa na mapenzi utasubiri sana😁😁wewe natafta weakness point yako subiri
Haina shida😂Z
Zipo nyingi tu ila hapo kwenye kuyumbishwa na mapenzi utasubiri sana😁😁