Mazoezi kwa mwanaume ni muhimu Sana kama unataka kumridhisha mwenza wako kwenye tendo!

Mazoezi kwa mwanaume ni muhimu Sana kama unataka kumridhisha mwenza wako kwenye tendo!

Huu ni ujinga sana na siku hizi naona unafanywa kama trend.

Kufanya mazoezi kwa lengo la kumfurahisha mwingine na sio kwa lengo la kuimarisha afya yako ni ujinga.

Kama wewe unafanya hivyo ili umridhishe, yeye anafanya nini ili akuridhishe?

Hii ndio mentality ya kijinga ambayo inawafanya watu waanze kutumia midawa ya ajabu ajabu hadi wengine kufikia maamuzi ya kufanya enlargment ilimradi tu kumridhisha kimapenzi mwanamke halafu mwisho wa siku side effects zinakuja kipindi ambacho hata mahusiano na huyo mwanamke hayapo tena .
Naunga mkono hoja, mazoezi yawe kwa ajili ya kuimarisha afya na sio kwa ajili ya mapenzi.
 
If you don’t push 4 plates for a deuce, your manhood should be checked….just sayin’.

IMG_7451.jpeg
 
Nimeona nizungumzie hili wanaume wenzangu kama unahitaji mpenzi wako afurahie shughuli yako ya kitandani jitahidi kufanya mazoezi ili uwe mwepesi kuhakikisha unapumzi ya kutosha hivihvi jamani tutalaumiwa sana na tutapigiwa sana
Ngono ndo kazi za wabongo
 
Fanya mazoezi kwa mustakabali wa afya yako na yakupe utimamu wa kuitafuta pesa kwa uhakika.
 
au sio vidari? wazee wa 666(6feet, 6inch na 6pack)

Pesa ndo kila kitu.

Bread over brawns.

Fanya mazoezi kwa afya yako, huwezi shindana na ulipotoka.
hatusemi ushindani kuna namna unamkaza madam nae anauelewa mziki wako sio kumpapasa Tu kwan we muda wote unatafuta hela? Yale masaa ya kula totozi basi uwe active kuna watu tunakaa miezi hatuli papuchi tuko bize lkn tunakula na tizi siku tukiamua basi tutafute warembo kaka mbungi inapigwa yenyew sio ya kitoto
 
We fanya vyote lakini Mchawi pesa

Hata ukifanya mazoezi yapi kama huna hela unakuwa unapoteza muda

Alafu kingine ile ni kama tyubu inatanuka na kusinyaa kwa hiyo jidanganyeni
tuma picha yako tuhusianishe na mawazo yako
 
Nimejifunza ukiwa na shida ya kiuchumi na mwenza wako awe na vile vitabia vya kukuonesha kuwa wewe huna lolote.

Trust me mazoezi hayaleti faraja kabisa,fanya mazoezi na uwe na salio plus huumwi aisee mchezo huo kila siku utauona mpya.

Msongo wa mawazo na pesaa..hutuua wanaume na kudhaurika kupita kiasi ukiwa huna mpunga kwa level yeyote ile.
 
Nimeona nizungumzie hili wanaume wenzangu kama unahitaji mpenzi wako afurahie shughuli yako ya kitandani jitahidi kufanya mazoezi ili uwe mwepesi kuhakikisha unapumzi ya kutosha hivihvi jamani tutalaumiwa sana na tutapigiwa sana
Nyege hazina uhusiano na mazoezi

Ukiona mwanaume hadi afanye maziezi ndio aamke uume ujue huyo hamna kitu

Babu zetu walikuwa hawafanyi mazoezi lakini motoooooo kwa bibi zetu
 
Nyege hazina uhusiano na mazoezi

Ukiona mwanaume hadi afanye maziezi ndio aamke uume ujue huyo hamna kitu

Babu zetu walikuwa hawafanyi mazoezi lakini motoooooo kwa bibi zetu
Usidanganye watu!Walifanya kazi ngumu, kulima,kuvunja kumi,kuponda kokoto,kutembea umbali mrefu nk,hayo ni zaidi ya mazoezi.
 
Usidanganye watu!Walifanya kazi ngumu, kulima,kuvunja kumi,kuponda kokoto,kutembea umbali mrefu nk,hayo ni zaidi ya mazoezi.
Acha abishe namimi namwambia kabisa km mkewe hamridhishi me nikimjua namla nae apate Raha hata bhana ujue kuna watu Wana enjoy Sana tukiwakaza fresh wanatutununulia hadi suti
 
Huu ni ujinga sana na siku hizi naona unafanywa kama trend.

Kufanya mazoezi kwa lengo la kumfurahisha mwingine na sio kwa lengo la kuimarisha afya yako ni ujinga.

Kama wewe unafanya hivyo ili umridhishe, yeye anafanya nini ili akuridhishe?

Hii ndio mentality ya kijinga ambayo inawafanya watu waanze kutumia midawa ya ajabu ajabu hadi wengine kufikia maamuzi ya kufanya enlargment ilimradi tu kumridhisha kimapenzi mwanamke halafu mwisho wa siku side effects zinakuja kipindi ambacho hata mahusiano na huyo mwanamke hayapo tena .
Yote yanaumuhimu kwa Afya na kumridhisha mpenzi!
 
Usidanganye watu!Walifanya kazi ngumu, kulima,kuvunja kumi,kuponda kokoto,kutembea umbali mrefu nk,hayo ni zaidi ya mazoezi.
Nyege zinajitegemea kuamka hazitegemei mtu kafanya kazi au la

Ila mtu akiwa hanisi au nusu hanisi ndie hujitaji vya kumuamusha yawe mazoezi au lolote

Mwanaume rijali hahitaji
 
Nyege zinajitegemea kuamka hazitegemei mtu kafanya kazi au la

Ila mtu akiwa hanisi au nusu hanisi ndie hujitaji vya kumuamusha yawe mazoezi au lolote

Mwanaume rijali hahitaji
Acha uongo,urijali mzuri ni wa kumfanya pia demu aridhike sio Wewe tuu kupizi!
 
Mazoezi hayaongezi manii,manii ni kula sana matunda na Mboga Mboga, mazoezi ya ongeza nguvu na spidi ya manii kwenda kwenye K!
Fanya mazoea ya kifua hasa push up, na squash mazoezi kwa mwanaume yanasababisha hormone ya kiume testosterone izalishwe kwa wingi hii inakazi nyingi sana kwa waume kwanza inakomaza misuri na mifupa, inamantain shape ya kiume! ujue kuna watu wanajiita wanaume lkn akifunga taulo akakupa mgongo unatamani upate namba yake!🫢 sorry tuendelee hapo kwenye misuli kukomaaa ikiwa na Ile ya penis kwa sababu penis ni muscular in nature! lkn testosterone inaongeza hamu ya tendo na ndio maana unapotaka Kula papuchi kuwingo cha hiyo hormone huwa juu sana wkt huo! cha mwisho kabisa inasaidia hata utengenezaji wa hizo shahawa kama tunavoziita!
 
Back
Top Bottom