Mazungumzo ya amani, Israel na HAMAS Cairo yanazaa matunda

Mazungumzo ya amani, Israel na HAMAS Cairo yanazaa matunda


Aulizwe Natenyahu, kibri si maungwana:

GFfUGgLWkAAh9uE.jpeg
 
1. Hapana, misahafu inasema heri wapatanishi ..

2. matunduizi, mtumishi wape somo vijana hawa:

3. "Wanayo heri kuu wajibuo maovu kwa wema."

Wale, hususan waizirael, hawaamini mafundisho ya nabii Isa. Wenyewe wanasema mtu akikuramba kibao shavu la kulia, nawe mrambe kibao cha maana. Jino kwa jino. Nabii Isa alivyowapinga tu. Walimmaliza. Hao jamaa siyo watu hao. Ni mzigo kwa dunia.
 
CNN

Israel says it has withdrawn its forces from Khan Younis in southern Gaza, but a "significant" force remains elsewhere in the strip. The country's defense minister said troops will regroup and prepare for new missions, including in Rafah.
 
Una tatizo la kuelewa lugha yaKiingereza? Soma hapa chini taarifa ya Al Jezeera, linganisha na hii habari uliyoitengeneza:

Israeli troops leaving Gaza could be rested, relocated or prepared for Rafah assault

David Des Roches, an associate professor at the Near East South Asia Center for Security Studies, spoke to Al Jazeera about why Israel has decided to withdraw thousands of troops from the Gaza Strip.

He listed three reasons.

The first, he said, was that many of the soldiers needed to be rotated, rested and refitted. US White House National Security spokesperson John Kirby had said this earlier on Sunday.

The second reason was for the Israeli military to prepare for a potential assault on Rafah in the southern tip of Gaza.

Israeli Defence Minister Yoav Gallant had said on Sunday evening that troop withdrawal from Khan Younis was part of preparations to launch a ground attack on Rafah.

The third possible reason Des Roches gave for the withdrawal was tensions with Iran and Hezbollah in Lebanon. “Israel may want to have troops that are not pinned down in Gaza but are available for operations elsewhere if needed, in the short term,” he said

1. Tatizo hilo nikufahamishe sina.

2. Zaidi sana nikusajili rasmi kwenye kundi lako hili:

"g) Wajuaji: Hawa huamini kwenye lile tu wanaolijua wao. Wajuzi wa Kila kitu ni wao. Kwamba 'JF ina watu wa kada zote," haina maana yoyote kwao. Nafasi ya mafikara mapya hawana ila yale ya kwao tu. Kwamba "elimu ni bahari, elimu haina mwisho, tembea uone nk;" havina maana yoyote kwao."

3. Yawezekana namna gani Kwa kuwa umekula ugali na maharage ya mbeya unaanza kutoa conclusions zako kutokea kusiko julikana?

4. Kwani wewe ni mwalimu wangu wa kiingereza na hapa sasa niko darasani kwako unanipa assessment?!

5. Kwa hakika no wonder, uko humu:

Makundi saba ya chawa kindaki ndaki yanayotatiza mabadiliko

Bure kabisa!
 
Tatizo habari za kipalestina mnaandika kiupambe, Israel hawezi kufyata mkia labda una umri wa darasa la 5

1. Kuufyata unajua maana yake ndugu?

2. Hivi kama msimamo wake ulikuwa huu:

IMG_20240407_085256~2.jpg


3. Kwamba katika kusisitiza Hilo aliondoka mezani.

4. Kwamba baada tu ya huu mkwara:

Natenyahu maji ya shingo, Marekani yamwamuru kusitisha vita mara Moja!

5. Kwamba kutokea hapo #4, karejea mezani na vita inaendelea kwisha:

IMG_20240408_113405.jpg


6. Kwamba aliyeufyata hapo bado humjui?

7. Kwa hakika hata mtoto mdogo asiyeanza shule anamjua!
 
CNN

Israel says it has withdrawn its forces from Khan Younis in southern Gaza, but a "significant" force remains elsewhere in the strip. The country's defense minister said troops will regroup and prepare for new missions, including in Rafah.

1. Position A:

IMG_20240407_085256~2.jpg


2. Position B:

IMG_20240408_113405.jpg


3. "Is position A, the same as position B?"

4. Back to you mister.
 
Mkuu natumaini pia unajua kuwa mabadiliko makubwa unayoyaona upande wa Israeli hususan mwenendo wa Netanyahu na IDF, sababu yake hasa ni hesabu mbaya sana waliyopiga kuwaua wafanyakazi 7 wa World Central Kitchen (WCK) ambao ni “wazungu”? Kwamba walitegemea Marekani itawapa ok waendelee ku-terrorise watoa misaada wote (aid workers) huko Gaza!

Ukali wote wa USA na nchi za Ulaya pamoja na Australia dhidi ya Israel umechagizwa na uchungu mkubwa wa mauaji ya watu hao nchini mwao. Na sio maangamizi ya Wapalestina waliouawa 30k+ pamoja na watoa misaada karibia 200.

Raia wengi wa nchi hizo ndio kwanza wamezinduka kwamba huenda kweli Israel inatekeleza genocide dhidi ya Wapalestina! Na kwa vile demokrasia inafanya kazi nchini mwao wameanza kuzibana serikali zao kuhusu utoaji wa unconditional support kwa Israel. Yaani damu ni nzito kuliko maji! Unafiki wa US umekuwa wazi sana katika suala hili.

Anyway, yote heri, muhimu amani ipatikane.
 
Mkuu natumaini pia unajua kuwa mabadiliko makubwa unayoyaona upande wa Israeli hususan mwenendo wa Netanyahu na IDF, sababu yake hasa ni hesabu mbaya sana waliyopiga kuwaua wafanyakazi 7 wa World Central Kitchen (WCK) ambao ni “wazungu”? Kwamba walitegemea Marekani itawapa ok waendelee ku-terrorise watoa misaada wote (aid workers) huko Gaza!

Ukali wote wa USA na nchi za Ulaya pamoja na Australia dhidi ya Israel umechagizwa na uchungu mkubwa wa mauaji ya watu hao nchini mwao. Na sio maangamizi ya Wapalestina waliouawa 30k+ pamoja na watoa misaada karibia 200.

Raia wengi wa nchi hizo ndio kwanza wamezinduka kwamba huenda kweli Israel inatekeleza genocide dhidi ya Wapalestina! Na kwa vile demokrasia inafanya kazi nchini mwao wameanza kuzibana serikali zao kuhusu utoaji wa unconditional support kwa Israel. Yaani damu ni nzito kuliko maji! Unafiki wa US umekuwa wazi sana katika suala hili.

Anyway, yote heri, muhimu amani ipatikane.
Kaka usijidanganye kipigo kinaendelea israel harudi nyuma nyie imbeni kaswida zenu tu kule gaza watu wanaisha
 
1. Kibri chote kwishney, amri ni moja kila mtu kaufyata:

Natenyahu maji ya shingo, Marekani yamwamuru kusitisha vita mara Moja!

2. Iran kaombwa kutulizana, Natenyahu kuufyata mazungumzo kuwa ya kiutu uzima:

View attachment 2957558

3. Hapo sasa kilichobakia "face saving" yaani kuwatoa wacheza kimaso maso. Tayari tunaondoa majeshi na Iran atatulizana:

a) Israel yarudisha majeshi nyuma kutoka Rafah na katikati ya Gaza. Hii ina maana gani

b) Iran yageuza gia angani, yasema haitalipa kisasi kwa Israel kama wakisitisha vita Gaza

4. Ionekane kama katoka kila mtu katoka kifua mbele.

5. Kwetu wapenda haki kifua nyuma, mbele, pembeni au katikati ina faida gani?

6. Kwetu ushindi ni kwa wale wapalestina wasio na hatia ambao taifa lao linanukia leo kuliko wakati wowote.

Source: Reuters
Kumekucha angalia usije jikojolea kitandani!
 
1. Kibri chote kwishney, amri ni moja kila mtu kaufyata:

Natenyahu maji ya shingo, Marekani yamwamuru kusitisha vita mara Moja!

2. Iran kaombwa kutulizana, Natenyahu kuufyata mazungumzo kuwa ya kiutu uzima:

View attachment 2957558

3. Hapo sasa kilichobakia "face saving" yaani kuwatoa wacheza kimaso maso. Tayari tunaondoa majeshi na Iran atatulizana:

a) Israel yarudisha majeshi nyuma kutoka Rafah na katikati ya Gaza. Hii ina maana gani

b) Iran yageuza gia angani, yasema haitalipa kisasi kwa Israel kama wakisitisha vita Gaza

4. Ionekane kama katoka kila mtu katoka kifua mbele.

5. Kwetu wapenda haki kifua nyuma, mbele, pembeni au katikati ina faida gani?

6. Kwetu ushindi ni kwa wale wapalestina wasio na hatia ambao taifa lao linanukia leo kuliko wakati wowote.

Source: Reuters
wapelestina wakiendelea kuuawa wewe unapata nini na ego yako ?
Iran ana nguvu na anakila kitu unajua kwanini haingii front kwenye vita ? vita ni kamali ndio maana anatumia mazombie wa hizbollah, houth hamas nk kama ambavyo US kamtumia ukrain kwa urusi alafu akamuacha atoke manundu peke yake yeye yuko busy anakimbizana na mlawiti diddy
 
1. Kuufyata unajua maana yake ndugu?

2. Hivi kama msimamo wake ulikuwa huu:

3. Kwamba katika kusisitiza Hilo aliondoka mezani.

4. Kwamba baada TU ya huu mkwara:

Natenyahu maji ya shingo, Marekani yamwamuru kusitisha vita mara Moja!

5. Kwamba kutokea hapo #4, karejea mezani na vita inaendelea kwisha.

6. Kwamba aliyeufyata hapo bado humjui?

7. Kwa hakika hata mtoto mdogo asiyeanza shule anamjua!
1. Unajua maana ya mazungumzo ...kuwa lazima kila upande ukubali kupoteza kimojawapo na kupata kingine?

2. Hivi lini Israel imeiogopa nchi yoyote ya mashariki ya kati?
 
wapelestina wakiendelea kuuawa wewe unapata nini na ego yako ?
Iran ana nguvu na anakila kitu unajua kwanini haingii front kwenye vita ? vita ni kamali ndio maana anatumia mazombie wa hizbollah, houth hamas nk kama ambavyo US kamtumia ukrain kwa urusi alafu akamuacha atoke manundu peke yake yeye yuko busy anakimbizana na mlawiti diddy
Urusi huyu anaekusanya wanajeshi wengine 300000 wakachinjwe ukraine
 
1. Unajua maana ya mazungumzo ...kuwa lazima kila upande ukubali kupoteza kimojawapo na kupata kingine?

2. Hivi lini Israel imeiogopa nchi yoyote ya mashariki ya kati?

1. Wapi nimesema nani kaogopa?

2. Zingatia msimamo wa Natenyahu kabla:

IMG_20240407_085256~2.jpg


3. Hapo #2, huyo alisema mezani harudi. Kumbe nini kimebadilika?

4. Leo yule yule ni huyu hapa:

IMG_20240408_113405.jpg


5. Wewe hudhani siri yake Iko na hili zimwi?

Natenyahu maji ya shingo, Marekani yamwamuru kusitisha vita mara Moja!

6. Iwe au isiwe, huoni washindi ni wahanga wa vita?
 
Mkuu natumaini pia unajua kuwa mabadiliko makubwa unayoyaona upande wa Israeli hususan mwenendo wa Netanyahu na IDF, sababu yake hasa ni hesabu mbaya sana waliyopiga kuwaua wafanyakazi 7 wa World Central Kitchen (WCK) ambao ni “wazungu”? Kwamba walitegemea Marekani itawapa ok waendelee ku-terrorise watoa misaada wote (aid workers) huko Gaza!

Ukali wote wa USA na nchi za Ulaya pamoja na Australia dhidi ya Israel umechagizwa na uchungu mkubwa wa mauaji ya watu hao nchini mwao. Na sio maangamizi ya Wapalestina waliouawa 30k+ pamoja na watoa misaada karibia 200.

Raia wengi wa nchi hizo ndio kwanza wamezinduka kwamba huenda kweli Israel inatekeleza genocide dhidi ya Wapalestina! Na kwa vile demokrasia inafanya kazi nchini mwao wameanza kuzibana serikali zao kuhusu utoaji wa unconditional support kwa Israel. Yaani damu ni nzito kuliko maji! Unafiki wa US umekuwa wazi sana katika suala hili.

Anyway, yote heri, muhimu amani ipatikane.

Tuko wote mkuu tatizo ni hizi ng'ombe za kwetu utafikiri Zina feast kwenye vita ..

MK254, Nelson, Glenn, Jacob Kagame, Bams na wa namna hiyo, Kwa kumbukumbu.
 
Una tatizo la kuelewa lugha ya Kiingereza? Soma hapa chini taarifa ya Al Jezeera, linganisha na hii habari uliyoitengeneza:

Israeli troops leaving Gaza could be rested, relocated or prepared for Rafah assault

David Des Roches, an associate professor at the Near East South Asia Center for Security Studies, spoke to Al Jazeera about why Israel has decided to withdraw thousands of troops from the Gaza Strip.

He listed three reasons.

The first, he said, was that many of the soldiers needed to be rotated, rested and refitted. US White House National Security spokesperson John Kirby had said this earlier on Sunday.

The second reason was for the Israeli military to prepare for a potential assault on Rafah in the southern tip of Gaza.

Israeli Defence Minister Yoav Gallant had said on Sunday evening that troop withdrawal from Khan Younis was part of preparations to launch a ground attack on Rafah.

The third possible reason Des Roches gave for the withdrawal was tensions with Iran and Hezbollah in Lebanon. “Israel may want to have troops that are not pinned down in Gaza but are available for operations elsewhere if needed, in the short term,” he said


New York Times
Yemen

Middle East CrisisIsrael Reduces Ground Troops in Southern Gaza At the War’s Six-Month Mark

Israel has significantly reduced the number of troops it has on the ground in Gaza over the past several months, and the military said the recent withdrawal was “to recuperate and prepare for future operations.”

Israel’s military, an official said, was preparing for ‘follow-up missions’ that included Rafah.

The war is now the longest involving Israel since the 1980s
Hapa umethibitisha tu kwamba vikosi vimeondoka Gaza,watu wakidundwa na kurudi nyuma vitani huwa hawakosi kauli za face saving,'tunarudi kimkakati' nk, Israel inaona haya kuondoka Gaza bila kufikia malengo,Ila wanaowapa kiburi wamewataka kuondoka
 
wapelestina wakiendelea kuuawa wewe unapata nini na ego yako ?
Iran ana nguvu na anakila kitu unajua kwanini haingii front kwenye vita ? vita ni kamali ndio maana anatumia mazombie wa hizbollah, houth hamas nk kama ambavyo US kamtumia ukrain kwa urusi alafu akamuacha atoke manundu peke yake yeye yuko busy anakimbizana na mlawiti diddy

Makundi saba ya chawa kindaki ndaki yanayotatiza mabadiliko

g) Wajuaji: Hawa huamini kwenye lile tu wanaolijua wao. Wajuzi wa Kila kitu ni wao. Kwamba 'JF ina watu wa kada zote," haina maana yoyote kwao. Nafasi ya mafikara mapya hawana ila yale ya kwao tu. Kwamba "elimu ni bahari, elimu haina mwisho, tembea uone nk;" havina maana yoyote kwao.

Kwa hakika, umewakilisha.
 
Back
Top Bottom