Mropokaji kama wewe hustahili hata kunijibu!Kujibizana nawe ni matumizi mabaya kabisa ya muda na bando
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mropokaji kama wewe hustahili hata kunijibu!Kujibizana nawe ni matumizi mabaya kabisa ya muda na bando
Unachopenda kuambiwa ni "Netanyahu kaufyata" tu?🤣🤣🤣🤣
Unachopenda kuambiwa ni "Netanyahu kaufyata" tu?🤣🤣🤣🤣
Hayo mazungumzo yamezaa matunda gani?
Hamas imekataa mapendekezo ya ceasefire. Huenda baadhi ya wale mateka waliohitajika ili kufikia makubaliano walishakufa, hivyo Hamas haina cha kuleta mezani.
Vyovyote ilivyo, Hamas ni mshindi.
Mazayuni wameanza kuondoka mbiombio Ghaza.
Huo ni mwanzo tu wa kuikomboa Jerusalem
na Hatimae Makkah na Madina kutoka mikono ya mazayuni.
Hakuna sehemu nimeeleza hayo.Huo ni mwandiko na ni kazi ya mikono yako.1. Nani nimemwomba kunambia hivyo ndugu?
2. Au wewe ni katika hawa;
Wafia Ukristo: Hawa wanaamini dini ni ukristo tu, tena ule wa kwao. Wanaamini Israeli ni taifa teule na kuwa tena si binadamu wa kawaida. Lolote afanyalo mwisraeli ni sawa tena dunia yote ilipaswa kuwasabiria. Hakuna ovu lolote dhidi ya Israel, na waarabu kwao, hawana haki yoyote.
Bado ni yaleyale unayarudia kwa kuanzia kulia kwenda kwingine.Nakana maelezo yako.1. Kama ndivyo bila shaka unathibitisha hakuna popote niliposema ulipokuwa umewayaandika.
2. Kwamba unathibitisha pia kwa hakika ufia dini au ujuaji ni kada za kuhurumiwa.
MK254 aione kwa kumbukumbu.
Bado ni yaleyale unayarudia kwa kuanzia kulia kwenda kwingine.Nakana maelezo yako.
CNN
Israel says it has withdrawn its forces from Khan Younis in southern Gaza, but a "significant" force remains elsewhere in the strip. The country's defense minister said troops will regroup and prepare for new missions, including in Rafah.
Kulingana na taarifa, Hamas imekataa mapendekezo ya ceasefire. Upande wa pili, uvamizi wa Rafah umeshapangwa kutekelezwa.Nisiache kukupongeza: "kwa ujuaji uliopitiliza." JF tuko vizuri.
Hivi:
1. Ulisoma mada hata ukajipa nafasi ya kuielewa lolote ndugu?
2. Kwamba ukatambua kwamba ngoma ilikuwa huku?
View attachment 2958393
3. Kwamba sasa iko hapa:
View attachment 2958395
2. Wapi nilisema HAMAS amekubali?
3. Kwani lini matakwa ya HAMAS yamekuwa tofauti na haya:
View attachment 2958396
4. Kama Israel kawauwa si atavuna mabua? Kwani ni wajibu wa HAMAS kuwaleta hai hata kama Israel angetaka kuwauwa?
5. Kwani wale wa WCK walirejeshwa wakiwa hai?
6. Kumbe basi, hili la kuwa unadhani HAMAS hana cha kuleta mezani unaliokota wapi ndugu? Kwani wewe ni nabii?
7. Hapo #6, si Israel akubali matakwa ya HAMAS ambayo kimsingi ni ya dunia iliyostaarabika na pia ya UNSC, Ili ku-m-prove wrong HAMAS?
8. Kwamba ngoma ilipo Iko hapa:
View attachment 2958399
9. Hadi hapo, una kipi tofauti cha kupingana na mada kama ilivyo tena kwa "kujishasha" hivyo ndugu?
Kulingana na taarifa, Hamas imekataa mapendekezo ya ceasefire. Upande wa pili, uvamizi wa Rafah umeshapangwa kutekelezwa.
Hayo mazungumzo yanayozaa matunda ni yapi?
Sasa madrassa na kiingereza wapi na wapi.Una tatizo la kuelewa lugha ya Kiingereza? Soma hapa chini taarifa ya Al Jezeera, linganisha na hii habari uliyoitengeneza:
Israeli troops leaving Gaza could be rested, relocated or prepared for Rafah assault
David Des Roches, an associate professor at the Near East South Asia Center for Security Studies, spoke to Al Jazeera about why Israel has decided to withdraw thousands of troops from the Gaza Strip.
He listed three reasons.
The first, he said, was that many of the soldiers needed to be rotated, rested and refitted. US White House National Security spokesperson John Kirby had said this earlier on Sunday.
The second reason was for the Israeli military to prepare for a potential assault on Rafah in the southern tip of Gaza.
Israeli Defence Minister Yoav Gallant had said on Sunday evening that troop withdrawal from Khan Younis was part of preparations to launch a ground attack on Rafah.
The third possible reason Des Roches gave for the withdrawal was tensions with Iran and Hezbollah in Lebanon. “Israel may want to have troops that are not pinned down in Gaza but are available for operations elsewhere if needed, in the short term,” he said
New York Times
Yemen
Middle East CrisisIsrael Reduces Ground Troops in Southern Gaza At the War’s Six-Month Mark
Israel has significantly reduced the number of troops it has on the ground in Gaza over the past several months, and the military said the recent withdrawal was “to recuperate and prepare for future operations.”
Israel’s military, an official said, was preparing for ‘follow-up missions’ that included Rafah.
The war is now the longest involving Israel since the 1980s
Huyo nabii Issa na Yesu Kristo ni watu wawili tofauti kabisa. Huyo Issa alizaliwa chini ya mtende wakati Yesu Kristo alizaliwa kwenye hori la ng'ombe 🐮 Two different people.Wale, hususan waizirael, hawaamini mafundisho ya nabii Isa. Wenyewe wanasema mtu akikuramba kibao shavu la kulia, nawe mrambe kibao cha maana. Jino kwa jino. Nabii Isa alivyowapinga tu. Walimmaliza. Hao jamaa siyo watu hao. Ni mzigo kwa dunia.
Duuuuh! Hivi maka na madina zimeshikiliwa na mazayuni?Vyovyote ilivyo, Hamas ni mshindi.
Mazayuni wameanza kuondoka mbiombio Ghaza.
Huo ni mwanzo tu wa kuikomboa Jerusalem na Hatimae Makkah na Madina kutoka mikono ya mazayuni.
1. Acha ramli chonganishi ndugu tuko madhabahuni:
Netanyahu na HAMAS katika siku 2 Muhimu za Tafakuri
2. Wewe hujishangai kuwa na taarifa kabla ya wapatanishi kesho?