Mazungumzo ya Rais Samia na Rais Ruto, Ikulu Dar es Salaam Oktoba 10, 2022

Mazungumzo ya Rais Samia na Rais Ruto, Ikulu Dar es Salaam Oktoba 10, 2022

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Samia Suluhu Hassan akimpokea na kuzungumza na Rais wa Jamhuri ya Kenya William Somoei Ruto Ikulu jijini Dar es Salaam leo tarehe 10 Oktoba, 2022



Rais Samia Suluhu Hassan​


Mambo yaliyojadiliwa na Rais Samia Suluhu na William Rutto ni pamoja na;

Kukuza na kuimairisha uhusiano kati ya Tanzania na kenya.

Kuimarisha ushirikiano wa kibiashara ikiwa ni pamoja na kuondoa vikwazo vya biashara.

Mkutano wa tume ya pamoja ya mashiriano ufanyike na kufanyiwa hatua kwa haraka.

Kuangalia zoezi la kuimarisha mpaka wa kimataifa kati ya nchi mbili hizi.

Mradi wa bomba la gesi kusafirisha gesi asilia Dar kwenda mombasa.

Kudhibiti vitendo vya uhalifu vinavyovuka mipaka, kama madawa ya kulevya, uharamia, ujangili na biashara haramu ya binadamu.

Kushikiana katika maswala ya kikanda na kimataifa kwenye Umoja wa Afrika na Afrika Mashariki.

Rais William Ruto
Lengo langu ni kuhakikisha misingi iliyoachwa na Uhuru Kenyata kuhakikisha kuwa naendelea kuijenga na wewe na kupeleka nchi zetu kwenye hatua nyingine.

Kuongeza mahusiano ya kibiashara mara mbili zaidi kati ya Kenya na Tanzania.

Nataka kuthibisha Mawaziri wa Kenya wakishathibitishwa kuanza kufanya kazi, kazi yao ya kwanza itakuwa ni kufanya kazi na wenzao wa Tanzania, kuondoa vikwazo vilivyobaki, JCC ifanyike Disemba ili biashara ziendelee vizuri na kukua zaidi kwa manufaa ya Kenya na Tanzania.

Hilo ni jizi jingine! Samia hamuwezi! Huyu si ndiye aliyesema mahindi ya Tanzania yana Aflatoxin! ili auze mzigo aliolimia DRC! Beware of a notorius LAND GRABEr
 
Mbona wewe hujaweka ya kwako Kaka yangu ili Mbowe akupigie mkapange ratiba za kwenda kukusanya hela mitaani ambazo mwisho wa siku wanachama wenu hawapewagi mrejesho
Mimba za wanawake na wanaume walioliwa na Mbowe ni wengi et! Pata ndimu!" basi!
 
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Samia Suluhu Hassan akimpokea na kuzungumza na Rais wa Jamhuri ya Kenya William Somoei Ruto Ikulu jijini Dar es Salaam leo tarehe 10 Oktoba, 2022



Rais Samia Suluhu Hassan​


Mambo yaliyojadiliwa na Rais Samia Suluhu na William Rutto ni pamoja na;

Kukuza na kuimairisha uhusiano kati ya Tanzania na kenya.

Kuimarisha ushirikiano wa kibiashara ikiwa ni pamoja na kuondoa vikwazo vya biashara.

Mkutano wa tume ya pamoja ya mashiriano ufanyike na kufanyiwa hatua kwa haraka.

Kuangalia zoezi la kuimarisha mpaka wa kimataifa kati ya nchi mbili hizi.

Mradi wa bomba la gesi kusafirisha gesi asilia Dar kwenda mombasa.

Kudhibiti vitendo vya uhalifu vinavyovuka mipaka, kama madawa ya kulevya, uharamia, ujangili na biashara haramu ya binadamu.

Kushikiana katika maswala ya kikanda na kimataifa kwenye Umoja wa Afrika na Afrika Mashariki.

Rais William Ruto
Lengo langu ni kuhakikisha misingi iliyoachwa na Uhuru Kenyata kuhakikisha kuwa naendelea kuijenga na wewe na kupeleka nchi zetu kwenye hatua nyingine.

Kuongeza mahusiano ya kibiashara mara mbili zaidi kati ya Kenya na Tanzania.

Nataka kuthibisha Mawaziri wa Kenya wakishathibitishwa kuanza kufanya kazi, kazi yao ya kwanza itakuwa ni kufanya kazi na wenzao wa Tanzania, kuondoa vikwazo vilivyobaki, JCC ifanyike Disemba ili biashara ziendelee vizuri na kukua zaidi kwa manufaa ya Kenya na Tanzania.

Hv km ndio hayo mambo tu waliyozungumza,si wangeongea kwenye simu tu na kumalizana.Mbona km tunamaliza pesa bureza waanchi.
 
Ni jambo jema
hahah

Serikali ya INDIA imetoa RUPEE BILION 89 kwa ajili ya ujengaji wa miji mipya 67 nchini Tanzania… Ewe mwananchi wa jf toa maoni yako hapa pendekeza miji hiyo mipya ijengwe na nani na kwenye mikoa/wilaya/kijiji gani hapa tanzania… watoto weo wamekuwa kwenye uwekezaji wa huna lolote na ni kufa tu!:



MIKOA/WILAYA/KIJIJI GANI FEDHA ZIENDE!?

Orodha ya mikoa ya Tanzania kwa eneo - Wikipedia, kamusi elezo huru



TAASISI GANI IFANYA KAZI YA UJENZI!?

SUMA JKT

Ujenzi, Uhandisi na Ushauri



TBA

Home | Tanzania Buildings Agency



NHC

VICTORIA PLACE - DAR ES SALAAM



KAMPUNI ZA UJENZI

https://jumaco.co.tz/





HONGERA WAAAAA!!? HONGERA WAAA!? CHEI CHEI SHANGAZI CHEI CHEI SHANGAZI!?



MTU BINAFSI NS MAAMUZI YAKO ILA USISAHAU WALETA HII HAPA CHINI



Rwandan genocide - Wikipedia
 
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Samia Suluhu Hassan ampokea na kufanya mazungumzo na Rais wa Jamhuri ya Kenya William Somoei Ruto Ikulu jijini Dar es Salaam leo tarehe 10 Oktoba, 2022.



Mambo yaliyojadiliwa ni pamoja na;

Rais Samia Suluhu Hassan
  • Kukuza na kuimairisha uhusiano kati ya Tanzania na kenya.
  • Kuimarisha ushirikiano wa kibiashara ikiwa ni pamoja na kuondoa vikwazo vya biashara.
  • Mkutano wa tume ya pamoja ya mashirikiano ufanyike na kufanyiwa hatua kwa haraka.
  • Kuangalia zoezi la kuimarisha mpaka wa kimataifa kati ya nchi mbili hizi.
  • Mradi wa bomba la gesi kusafirisha gesi asilia Dar kwenda Mombasa, Kenya.
  • Kudhibiti vitendo vya uhalifu vinavyovuka mipaka, kama madawa ya kulevya, uharamia, ujangili na biashara haramu ya binadamu.
  • Kushikiana katika maswala ya kikanda na kimataifa kwenye Umoja wa Afrika na Afrika Mashariki.

Rais William Ruto
  • Kuhakikisha misingi iliyoachwa na Uhuru Kenyata kuwa inaendelea kuijengwa na Rais Samia ili kupeleka nchi hizi mbili mbele zaidi.
  • Kuongeza mahusiano ya kibiashara mara mbili zaidi kati ya Kenya na Tanzania.
  • Mawaziri wa Kenya wakishathibitishwa kuanza kufanya kazi, kazi yao ya kwanza itakuwa ni kufanya kazi na wenzao wa Tanzania, kuondoa vikwazo vilivyobaki kibiashara, JCC ifanyike Disemba ili biashara ziendelee vizuri na kukua zaidi kwa manufaa ya Kenya na Tanzania.
  • Bomba la kupeleka gesi kutoka Dar hadi Kenya wale wanaoshughulikia jambo hili kuharakisha na kuhakikisha linaisha haraka, ambapo litasaidia kupunguza ushuru wa nishati kwenye viwanda, kibiashara na matumizi ya kawaida ya nadni ili kuboresha maisha ya wananchi wetu na kuimarisha ushindani wa kibiashara.
  • Mambo ya utalii kati ya Kenya na Tanzania kuboreshwa, vizuizi vinavyokwamisha utalii kufanya vizuri kuondolewa.
  • Makubaliano ya kuwa na mtandao mmoja kwenye mawasiliano kwa nchi za Rwanda, Tanzania, kenya, S.Sudan na Uganda na sasa imebakia kufanyiwa kazi tu jambo hilo. Kufanya hivi biashara na uhusiano mzuri utaongezeka. Ni muhimu kwa gharama za mawasiliano kuwa nafuu ili kufanikisha biashara na mawasilano kuwa mazuri na kufanyika zaidi.
  • Makubaliano ya kushirikisha vitengo vya nchi hizi mbili katika kupambana na mambo ya uhalifu ambayo yanatoa majina mabaya kwa nchi zetu na kuhakikisha tunapunguza athari mbaya zinazoletwa na mambo haya ya kihalifu.
  • Nawahikikishia watu wa Tanzania mko na ndugu na jamaa zenu kutoka Kenya, tunataka kufanya kazi na nyinyi na kuhakikisha nchi zetu zinakua. Historia ya zamani ya mabishano tumeyaweka nyuma yetu, tunataka kutengeneza uhusaiano ambao utanufaisha pande zote mbili, na umoja wetu kwa ujumla.
  • Misingi uliyojengwa na watangulizi wetu kuanzia kwa Hayati Julius Nyerere tutahakisha inakuwa imara ili tuzidi kwenda mbele.

Wafuasi wa mwendazake roho zimefula kwa chuki,

Hawataki kabisa kusikia habari nzuri za Rais wa sasa
 
Ungefahamu jiwe ndio walimfuata sana viongozi wengi usingeleta ushabiki huo
Nyie wafuasi wa mwendazake kweli hamna akili, Sasa Kama walimfuata maraisi wengi kwahiyo tukusaidie Nini Sasa?? kwamba Kuna siku atarudi hivyo mnavyomuabudu au vipi? Kwahiyo kila kitu kisifanyike kisa yeye alifanya au alipinga
 
Ukisoma kwa makini hayo yanayosemwa yamezungumzwa na hao wawili, utaona kwamba manufaa makubwa ni kwa upande wa Kenya.

Kwa mfano mmoja tu: Wote wamezungumzia kwa msisitizo "Bomba la Gesi", Samia anataka liende huko haraka; wala hawazii kunufaisha wananchi wake, zaidi ya kufanya biashara pekee. Ruto anaainisha kabisa jinsi gesi hiyo itakavyonufaisha viwanda vya huko ili watuuzie bidhaa zilizosindikwa na gesi hiyo kwa wingi. Ruto anakazia manufaa kwa wananchi wake kutokana na gesi hiyo. Samia yeye hata kule kufikiria tu kuvuta gesi kwenda Dodoma Kigoma, Mwanza na kwingineko, hilo siyo swala linalomwingia akilini kabisa!
 
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Samia Suluhu Hassan ampokea na kufanya mazungumzo na Rais wa Jamhuri ya Kenya William Somoei Ruto Ikulu jijini Dar es Salaam leo tarehe 10 Oktoba, 2022.



Mambo yaliyojadiliwa ni pamoja na;

Rais Samia Suluhu Hassan
  • Kukuza na kuimairisha uhusiano kati ya Tanzania na kenya.
  • Kuimarisha ushirikiano wa kibiashara ikiwa ni pamoja na kuondoa vikwazo vya biashara.
  • Mkutano wa tume ya pamoja ya mashirikiano ufanyike na kufanyiwa hatua kwa haraka.
  • Kuangalia zoezi la kuimarisha mpaka wa kimataifa kati ya nchi mbili hizi.
  • Mradi wa bomba la gesi kusafirisha gesi asilia Dar kwenda Mombasa, Kenya.
  • Kudhibiti vitendo vya uhalifu vinavyovuka mipaka, kama madawa ya kulevya, uharamia, ujangili na biashara haramu ya binadamu.
  • Kushikiana katika maswala ya kikanda na kimataifa kwenye Umoja wa Afrika na Afrika Mashariki.

Rais William Ruto
  • Kuhakikisha misingi iliyoachwa na Uhuru Kenyata kuwa inaendelea kuijengwa na Rais Samia ili kupeleka nchi hizi mbili mbele zaidi.
  • Kuongeza mahusiano ya kibiashara mara mbili zaidi kati ya Kenya na Tanzania.
  • Mawaziri wa Kenya wakishathibitishwa kuanza kufanya kazi, kazi yao ya kwanza itakuwa ni kufanya kazi na wenzao wa Tanzania, kuondoa vikwazo vilivyobaki kibiashara, JCC ifanyike Disemba ili biashara ziendelee vizuri na kukua zaidi kwa manufaa ya Kenya na Tanzania.
  • Bomba la kupeleka gesi kutoka Dar hadi Kenya wale wanaoshughulikia jambo hili kuharakisha na kuhakikisha linaisha haraka, ambapo litasaidia kupunguza ushuru wa nishati kwenye viwanda, kibiashara na matumizi ya kawaida ya nadni ili kuboresha maisha ya wananchi wetu na kuimarisha ushindani wa kibiashara.
  • Mambo ya utalii kati ya Kenya na Tanzania kuboreshwa, vizuizi vinavyokwamisha utalii kufanya vizuri kuondolewa.
  • Makubaliano ya kuwa na mtandao mmoja kwenye mawasiliano kwa nchi za Rwanda, Tanzania, kenya, S.Sudan na Uganda na sasa imebakia kufanyiwa kazi tu jambo hilo. Kufanya hivi biashara na uhusiano mzuri utaongezeka. Ni muhimu kwa gharama za mawasiliano kuwa nafuu ili kufanikisha biashara na mawasilano kuwa mazuri na kufanyika zaidi.
  • Makubaliano ya kushirikisha vitengo vya nchi hizi mbili katika kupambana na mambo ya uhalifu ambayo yanatoa majina mabaya kwa nchi zetu na kuhakikisha tunapunguza athari mbaya zinazoletwa na mambo haya ya kihalifu.
  • Nawahikikishia watu wa Tanzania mko na ndugu na jamaa zenu kutoka Kenya, tunataka kufanya kazi na nyinyi na kuhakikisha nchi zetu zinakua. Historia ya zamani ya mabishano tumeyaweka nyuma yetu, tunataka kutengeneza uhusaiano ambao utanufaisha pande zote mbili, na umoja wetu kwa ujumla.
  • Misingi uliyojengwa na watangulizi wetu kuanzia kwa Hayati Julius Nyerere tutahakisha inakuwa imara ili tuzidi kwenda mbele.

Rais Samia Suluhu amefanikiwa kuimarisha mahusiano ambayo yalikua yamepotea hongera sana mama
 
Ukisoma kwa makini hayo yanayosemwa yamezungumzwa na hao wawili, utaona kwamba manufaa makubwa ni kwa upande wa Kenya.

Kwa mfano mmoja tu: Wote wamezungumzia kwa msisitizo "Bomba la Gesi", Samia anataka liende huko haraka; wala hawazii kunufaisha wananchi wake, zaidi ya kufanya biashara pekee. Ruto anaainisha kabisa jinsi gesi hiyo itakavyonufaisha viwanda vya huko ili watuuzie bidhaa zilizosindikwa na gesi hiyo kwa wingi. Ruto anakazia manufaa kwa wananchi wake kutokana na gesi hiyo. Samia yeye hata kule kufikiria tu kuvuta gesi kwenda Dodoma Kigoma, Mwanza na kwingineko, hilo siyo swala linalomwingia akilini kabisa!
Acha upotoshaji kinachofanyika sisi tuawauzia gesi na Tanzania tunaendelea kunifaika na gesi yetu kwaiyo hata kupiti huu mradi ukiwa unatekelezwa Tanzania na Kenya wote tutapata fursa mbali mbali ikiwemo ya ajira
 
Nyie wafuasi wa mwendazake kweli hamna akili, Sasa Kama walimfuata maraisi wengi kwahiyo tukusaidie Nini Sasa?? kwamba Kuna siku atarudi hivyo mnavyomuabudu au vipi? Kwahiyo kila kitu kisifanyike kisa yeye alifanya au alipinga
Kuna watu wao kazi yao ni kupinga tu lakni Rais Samia Suluhu anataka Tanzania itanuke zaidi kibiashara
 
Acha upotoshaji kinachofanyika sisi tuawauzia gesi na Tanzania tunaendelea kunifaika na gesi yetu kwaiyo hata kupiti huu mradi ukiwa unatekelezwa Tanzania na Kenya wote tutapata fursa mbali mbali ikiwemo ya ajira
Ni wapi umesoma nikipotosha, na wewe hayo uliyoyaandika hapa kuhusu kunufaika kwetu umeyatoa wapi?

Nikisoma tu mwandiko wako najua huna kitu kichwani cha kujadili, isipokuwa mapovu tu yanayotokana na 'uchawa'!
Sina muda na watu wa aina hiyo.
 
Ukisoma kwa makini hayo yanayosemwa yamezungumzwa na hao wawili, utaona kwamba manufaa makubwa ni kwa upande wa Kenya.

Kwa mfano mmoja tu: Wote wamezungumzia kwa msisitizo "Bomba la Gesi", Samia anataka liende huko haraka; wala hawazii kunufaisha wananchi wake, zaidi ya kufanya biashara pekee. Ruto anaainisha kabisa jinsi gesi hiyo itakavyonufaisha viwanda vya huko ili watuuzie bidhaa zilizosindikwa na gesi hiyo kwa wingi. Ruto anakazia manufaa kwa wananchi wake kutokana na gesi hiyo. Samia yeye hata kule kufikiria tu kuvuta gesi kwenda Dodoma Kigoma, Mwanza na kwingineko, hilo siyo swala linalomwingia akilini kabisa!
Kwani hiyo gesi wanapewa bure? Na kuna aliyehitaji kuuziwa gesi hapa akanyimwa?
 
Kwani hiyo gesi wanapewa bure? Na kuna aliyehitaji kuuziwa gesi hapa akanyimwa?
Ni wapi uliposoma "kupewa bure" kama siyo kuwa na kichwa cha panzi kisichojuwa kutofautisha manufaa yatokanayo na hiyo gesi kwa mpangilio kwa manufaa mapana ya nchi na wananchi wake?
Watu kama wewe ndio mnaoshangilia sana kwenda kuuza mahindi ili muuziwe unga wa mahindi!

Hovyo kabisa.
 
Safi sana Rais wetu kwa Kuendelea kuimarisha diplomasia katika nchi yetu na Sasa majirani wanaendelea kututembelea hapa nchini, Ni jambo la Afya Sana kuwa na maelewano mazuri na majirani wako
Hilo suala la bomba la gas ni utapeli kama utapeli mwingine. Hizi ziara za hawa viongozi ziko ceremonial zaidi kuliko tija zake. Ni sehemu ya upotevu wa fedha za wananchi kwani zina tija ndogo mno.
 
Hilo suala la bomba la gas ni utapeli kama utapeli mwingine. Hizi ziara za hawa viongozi ziko ceremonial zaidi kuliko tija zake. Ni sehemu ya upotevu wa fedha za wananchi kwani zina tija ndogo mno.
Huwezi ukaziona faida zake kwa kuwa ulishaipa akili yako kazi ya kupinga na kuona kila kitu Ni kibaya
 
Back
Top Bottom