Tindo
JF-Expert Member
- Sep 28, 2011
- 63,730
- 111,542
Rais Samia Suluhu amefanikiwa kuimarisha mahusiano ambayo yalikua yamepotea hongera sana mama
Kwa rais wa Kenya kuja Tanzania ndio mahusiano kuimarika?! Kipindi cha Magufuli Uhuru si alikuwa anakwenda hadi Chato na akapewa na ndege aina ya taus kabisa? Inawezekana kuna mahusiano Samia kayaleta, lakini hilo la ujio wa rais wa Kenya sio kipimo cha hilo.