Mazungumzo ya Rais Samia na Rais Ruto, Ikulu Dar es Salaam Oktoba 10, 2022

Hilo ni jizi jingine! Samia hamuwezi! Huyu si ndiye aliyesema mahindi ya Tanzania yana Aflatoxin! ili auze mzigo aliolimia DRC! Beware of a notorius LAND GRABEr
 
Mbona wewe hujaweka ya kwako Kaka yangu ili Mbowe akupigie mkapange ratiba za kwenda kukusanya hela mitaani ambazo mwisho wa siku wanachama wenu hawapewagi mrejesho
Mimba za wanawake na wanaume walioliwa na Mbowe ni wengi et! Pata ndimu!" basi!
 
Hv km ndio hayo mambo tu waliyozungumza,si wangeongea kwenye simu tu na kumalizana.Mbona km tunamaliza pesa bureza waanchi.
 
Ni jambo jema
hahah

Serikali ya INDIA imetoa RUPEE BILION 89 kwa ajili ya ujengaji wa miji mipya 67 nchini Tanzania… Ewe mwananchi wa jf toa maoni yako hapa pendekeza miji hiyo mipya ijengwe na nani na kwenye mikoa/wilaya/kijiji gani hapa tanzania… watoto weo wamekuwa kwenye uwekezaji wa huna lolote na ni kufa tu!:



MIKOA/WILAYA/KIJIJI GANI FEDHA ZIENDE!?

Orodha ya mikoa ya Tanzania kwa eneo - Wikipedia, kamusi elezo huru



TAASISI GANI IFANYA KAZI YA UJENZI!?

SUMA JKT

Ujenzi, Uhandisi na Ushauri



TBA

Home | Tanzania Buildings Agency



NHC

VICTORIA PLACE - DAR ES SALAAM



KAMPUNI ZA UJENZI

https://jumaco.co.tz/





HONGERA WAAAAA!!? HONGERA WAAA!? CHEI CHEI SHANGAZI CHEI CHEI SHANGAZI!?



MTU BINAFSI NS MAAMUZI YAKO ILA USISAHAU WALETA HII HAPA CHINI



Rwandan genocide - Wikipedia
 
Wafuasi wa mwendazake roho zimefula kwa chuki,

Hawataki kabisa kusikia habari nzuri za Rais wa sasa
 
Ungefahamu jiwe ndio walimfuata sana viongozi wengi usingeleta ushabiki huo
Nyie wafuasi wa mwendazake kweli hamna akili, Sasa Kama walimfuata maraisi wengi kwahiyo tukusaidie Nini Sasa?? kwamba Kuna siku atarudi hivyo mnavyomuabudu au vipi? Kwahiyo kila kitu kisifanyike kisa yeye alifanya au alipinga
 
Ukisoma kwa makini hayo yanayosemwa yamezungumzwa na hao wawili, utaona kwamba manufaa makubwa ni kwa upande wa Kenya.

Kwa mfano mmoja tu: Wote wamezungumzia kwa msisitizo "Bomba la Gesi", Samia anataka liende huko haraka; wala hawazii kunufaisha wananchi wake, zaidi ya kufanya biashara pekee. Ruto anaainisha kabisa jinsi gesi hiyo itakavyonufaisha viwanda vya huko ili watuuzie bidhaa zilizosindikwa na gesi hiyo kwa wingi. Ruto anakazia manufaa kwa wananchi wake kutokana na gesi hiyo. Samia yeye hata kule kufikiria tu kuvuta gesi kwenda Dodoma Kigoma, Mwanza na kwingineko, hilo siyo swala linalomwingia akilini kabisa!
 
Rais Samia Suluhu amefanikiwa kuimarisha mahusiano ambayo yalikua yamepotea hongera sana mama
 
Acha upotoshaji kinachofanyika sisi tuawauzia gesi na Tanzania tunaendelea kunifaika na gesi yetu kwaiyo hata kupiti huu mradi ukiwa unatekelezwa Tanzania na Kenya wote tutapata fursa mbali mbali ikiwemo ya ajira
 
Nyie wafuasi wa mwendazake kweli hamna akili, Sasa Kama walimfuata maraisi wengi kwahiyo tukusaidie Nini Sasa?? kwamba Kuna siku atarudi hivyo mnavyomuabudu au vipi? Kwahiyo kila kitu kisifanyike kisa yeye alifanya au alipinga
Kuna watu wao kazi yao ni kupinga tu lakni Rais Samia Suluhu anataka Tanzania itanuke zaidi kibiashara
 
Acha upotoshaji kinachofanyika sisi tuawauzia gesi na Tanzania tunaendelea kunifaika na gesi yetu kwaiyo hata kupiti huu mradi ukiwa unatekelezwa Tanzania na Kenya wote tutapata fursa mbali mbali ikiwemo ya ajira
Ni wapi umesoma nikipotosha, na wewe hayo uliyoyaandika hapa kuhusu kunufaika kwetu umeyatoa wapi?

Nikisoma tu mwandiko wako najua huna kitu kichwani cha kujadili, isipokuwa mapovu tu yanayotokana na 'uchawa'!
Sina muda na watu wa aina hiyo.
 
Kwani hiyo gesi wanapewa bure? Na kuna aliyehitaji kuuziwa gesi hapa akanyimwa?
 
Kwani hiyo gesi wanapewa bure? Na kuna aliyehitaji kuuziwa gesi hapa akanyimwa?
Ni wapi uliposoma "kupewa bure" kama siyo kuwa na kichwa cha panzi kisichojuwa kutofautisha manufaa yatokanayo na hiyo gesi kwa mpangilio kwa manufaa mapana ya nchi na wananchi wake?
Watu kama wewe ndio mnaoshangilia sana kwenda kuuza mahindi ili muuziwe unga wa mahindi!

Hovyo kabisa.
 
Safi sana Rais wetu kwa Kuendelea kuimarisha diplomasia katika nchi yetu na Sasa majirani wanaendelea kututembelea hapa nchini, Ni jambo la Afya Sana kuwa na maelewano mazuri na majirani wako
Hilo suala la bomba la gas ni utapeli kama utapeli mwingine. Hizi ziara za hawa viongozi ziko ceremonial zaidi kuliko tija zake. Ni sehemu ya upotevu wa fedha za wananchi kwani zina tija ndogo mno.
 
Hilo suala la bomba la gas ni utapeli kama utapeli mwingine. Hizi ziara za hawa viongozi ziko ceremonial zaidi kuliko tija zake. Ni sehemu ya upotevu wa fedha za wananchi kwani zina tija ndogo mno.
Huwezi ukaziona faida zake kwa kuwa ulishaipa akili yako kazi ya kupinga na kuona kila kitu Ni kibaya
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…