Rais Samia Suluhu amefanikiwa kuimarisha mahusiano ambayo yalikua yamepotea hongera sana mama
Pinga pinga [emoji23][emoji1787]Huwezi ukaziona faida zake kwa kuwa ulishaipa akili yako kazi ya kupinga na kuona kila kitu Ni kibaya
EeeeenHeeeee!Nasikia amewasili na gunia la Mirungi.
Hilo bomba mnufaika ni Taifa Gas ambaye ni Rostam Aziz.Ukisoma kwa makini hayo yanayosemwa yamezungumzwa na hao wawili, utaona kwamba manufaa makubwa ni kwa upande wa Kenya.
Kwa mfano mmoja tu: Wote wamezungumzia kwa msisitizo "Bomba la Gesi", Samia anataka liende huko haraka; wala hawazii kunufaisha wananchi wake, zaidi ya kufanya biashara pekee. Ruto anaainisha kabisa jinsi gesi hiyo itakavyonufaisha viwanda vya huko ili watuuzie bidhaa zilizosindikwa na gesi hiyo kwa wingi. Ruto anakazia manufaa kwa wananchi wake kutokana na gesi hiyo. Samia yeye hata kule kufikiria tu kuvuta gesi kwenda Dodoma Kigoma, Mwanza na kwingineko, hilo siyo swala linalomwingia akilini kabisa!
Muache SSH ajitangaze na sio wewe kumtangaza!!Mbona vodacom Ni kampuni ya muda mrefu na inawateja kila eneo lakini bado inaendelea kujitangaza
Amelipwa alichostahili ."Yule Alianza kwa kuchoma moto vifaranga hai vya kuku "
EeeenHeeeee!Pamoja na kupiga kiberiti vifaranga vyao lakini Wakenya hawana noma yaani !!
Strategic point! Ndiko litaleta faida na return kwa haraka!, ulitaka lipelekwe huko usemapo bila tafakari ya kina. (busy city chattle and it's traffic light)Ukisoma kwa makini hayo yanayosemwa yamezungumzwa na hao wawili, utaona kwamba manufaa makubwa ni kwa upande wa Kenya.
Kwa mfano mmoja tu: Wote wamezungumzia kwa msisitizo "Bomba la Gesi", Samia anataka liende huko haraka; wala hawazii kunufaisha wananchi wake, zaidi ya kufanya biashara pekee. Ruto anaainisha kabisa jinsi gesi hiyo itakavyonufaisha viwanda vya huko ili watuuzie bidhaa zilizosindikwa na gesi hiyo kwa wingi. Ruto anakazia manufaa kwa wananchi wake kutokana na gesi hiyo. Samia yeye hata kule kufikiria tu kuvuta gesi kwenda Dodoma Kigoma, Mwanza na kwingineko, hilo siyo swala linalomwingia akilini kabisa!
Uamuzi umetoka yote inaenda Zanzibar na Pemba!hahah
Serikali ya INDIA imetoa RUPEE BILION 89 kwa ajili ya ujengaji wa miji mipya 67 nchini Tanzania… Ewe mwananchi wa jf toa maoni yako hapa pendekeza miji hiyo mipya ijengwe na nani na kwenye mikoa/wilaya/kijiji gani hapa tanzania… watoto weo wamekuwa kwenye uwekezaji wa huna lolote na ni kufa tu!:
MIKOA/WILAYA/KIJIJI GANI FEDHA ZIENDE!?
Orodha ya mikoa ya Tanzania kwa eneo - Wikipedia, kamusi elezo huru
TAASISI GANI IFANYA KAZI YA UJENZI!?
SUMA JKT
Ujenzi, Uhandisi na Ushauri
TBA
Home | Tanzania Buildings Agency
NHC
VICTORIA PLACE - DAR ES SALAAM
KAMPUNI ZA UJENZI
https://jumaco.co.tz/
HONGERA WAAAAA!!? HONGERA WAAA!? CHEI CHEI SHANGAZI CHEI CHEI SHANGAZI!?
MTU BINAFSI NS MAAMUZI YAKO ILA USISAHAU WALETA HII HAPA CHINI
Rwandan genocide - Wikipedia
Tuliowapa madaraka Tanzania ukiangalia kiundani ni kama hawana uchungu na hii nchi,inakuaje tuharakishe gesi yetu iende kenya ikiwa hapa kwetu bado haijakidhi matakwa ya wananchi,leo hii Tanzanite inapatikana Tanzania lakini kenya ndio inaongoza kuiuza nje ya afrika,avocado inalimwa Tanzania lakini kenya ndio anauza nje now tunawapelekea gesi,jamaa sijui wanafikiriaga nini!Ukisoma kwa makini hayo yanayosemwa yamezungumzwa na hao wawili, utaona kwamba manufaa makubwa ni kwa upande wa Kenya.
Kwa mfano mmoja tu: Wote wamezungumzia kwa msisitizo "Bomba la Gesi", Samia anataka liende huko haraka; wala hawazii kunufaisha wananchi wake, zaidi ya kufanya biashara pekee. Ruto anaainisha kabisa jinsi gesi hiyo itakavyonufaisha viwanda vya huko ili watuuzie bidhaa zilizosindikwa na gesi hiyo kwa wingi. Ruto anakazia manufaa kwa wananchi wake kutokana na gesi hiyo. Samia yeye hata kule kufikiria tu kuvuta gesi kwenda Dodoma Kigoma, Mwanza na kwingineko, hilo siyo swala linalomwingia akilini kabisa!
Kuna faida gani mkuu,hivi bibi yako huko mwandiga vijijini anapata gesi ya kueleweka kwenye matumizi ya hapo kijijini kwake kiuhakika kuanzia kwenye umeme,kupikia n.k hadi hiyo gesi ipelekwe kenya,muda mwingine tuweke mapenzi yetu ya siasa pembeni tuangalie hali halisi ya Mtanzania mmoja mmojaHuwezi ukaziona faida zake kwa kuwa ulishaipa akili yako kazi ya kupinga na kuona kila kitu Ni kibaya
hahah
Serikali ya INDIA imetoa RUPEE BILION 89 kwa ajili ya ujengaji wa miji mipya 67 nchini Tanzania… Ewe mwananchi wa jf toa maoni yako hapa pendekeza miji hiyo mipya ijengwe na nani na kwenye mikoa/wilaya/kijiji gani hapa tanzania… watoto weo wamekuwa kwenye uwekezaji wa huna lolote na ni kufa tu!:
MIKOA/WILAYA/KIJIJI GANI FEDHA ZIENDE!?
Orodha ya mikoa ya Tanzania kwa eneo - Wikipedia, kamusi elezo huru
TAASISI GANI IFANYA KAZI YA UJENZI!?
SUMA JKT
Ujenzi, Uhandisi na Ushauri
TBA
Home | Tanzania Buildings Agency
NHC
VICTORIA PLACE - DAR ES SALAAM
KAMPUNI ZA UJENZI
https://jumaco.co.tz/
HONGERA WAAAAA!!? HONGERA WAAA!? CHEI CHEI SHANGAZI CHEI CHEI SHANGAZI!?
MTU BINAFSI NS MAAMUZI YAKO ILA USISAHAU WALETA HII HAPA CHINI
Rwandan genocide - Wikipedia
Wewe tulia...huwajui wakenya!Acha upotoshaji kinachofanyika sisi tuawauzia gesi na Tanzania tunaendelea kunifaika na gesi yetu kwaiyo hata kupiti huu mradi ukiwa unatekelezwa Tanzania na Kenya wote tutapata fursa mbali mbali ikiwemo ya ajira