Mbagala: Lori lililobeba saruji laanguka, Wananchi wajibebea mifuko ya saruji

Hii ndio faida ya kuchagua ccm
 
Mkuu sio hali ngumu ila Wabongo tumeendekeza sana tamaa.
 
Mkuu sio hali ngumu ila Wabongo tumeendekeza sana tamaa.
Kwahiyo unataka kutwambia kuwa wabongo tuna maisha bora kabisa kwa maana ya kuwa na kipato cha uhakika?
 
Wabongo ni wezi wezi Sana hii Tabia chafu inaendekezwa Sana siku Moja litokee tukio Kama Hilo halafu zitembezwe risasi za makalio za moto iwe funzo watu waache kuchukua Mali wasioitolea jasho!
 
Malori yote hutumia diesel,diesel hailipuki kama petrol,acha watu wajiokotee cement
Nami aliyekudanganya? Katika high temperature diesel inawaka sana. Una umri gani? Kuna ajali za mabasi makubwa na malorry, yote yanatumia diesel lakini yamewahi kuwaka moto.
 
Afrika nzima hakuna sehemu roli likaanguka ns bidhaa watu wasiokote ,so kwa mila zetu huo sio wizi
Huo ni wizi usitafute sababu yakuhalalisha dhuluma ingekuwa ni mali au mzigo wako umeanguka na watu wakaushambulia hivyo wewe ungejisikia namna gani
 
Halafu limeangukia maeneo mabaya sana yale, hapo ni kati ya stesheni hadi Mtoni Mtongani.

Maeneo mengine naweza nika guarantee mzigo ukawa salama ila sio hayo maeneo coz hata spare za gari zinaweza zikawa zinafunguliwa na kuondoka nazo.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…