Johnny Impact
JF-Expert Member
- Sep 12, 2017
- 5,502
- 9,070
Mpk sasa wameshikilia mateka. Unafikiria UN itakuwa ina nguvu?Mnailaumu Israel ila hamkuona ugaidi wa Hamas mnaongea unafiki
Sent from my Infinix X663 using JamiiForums mobile app
Eti, mtu akujie ndani mwako aue alafu Leo aseme anaonewa, anavuna alichoanza kupanda OKT 7Mnailaumu Israel ila hamkuona ugaidi wa Hamas mnaongea unafiki
Sent from my Infinix X663 using JamiiForums mobile app
Waulize HAMAS NA MAARABU KUHUSU MAYAHUDIHawana nguvu kubwa ni jamii ya kawaida tu
They are blessed Nation amongst all Nations over the whole world...[emoji16]Ni swali ambalo kila mwenye akili timamu atajiuliza. Actually children are dying, innocent women are dying lakini
Mastaa wakubwa huko ulaya na marekani ambao ni mabingwa wa kuonesha sympathy kwenye matukio kama haya,wote wamepiga kimya as if nothing happens.
Ukithubutu kuwakosoa kama huko ulaya,unaliwa kichwa chap.
Marekani inawatumikia kama watoto wao, actually marekani ni kama ipo controlled na hawa watu.
Who are these guys???
Shida ipo tena kubwa.Ok, shida ipo wapi hapo?
Kuna Hamas na waarabu humu ?Waulize HAMAS NA MAARABU KUHUSU MAYAHUDI
WAPO MEMBERS WA HAMAS HUMU NA MAAARABU WAPO HUMU.Kuna Hamas na waarabu humu ?
Kwa nini wewe usiwaulize hilo swali hao members wa Hamas walio humu unao wafahamu ? Wewe ni mmoja wao ?WAPO MEMBERS WA HAMAS HUMU NA MAAARABU WAPO HUMU.
WAULIZE KUHUSU WAYAHUDI
Lakini hao wakristo wasio wachukia wayahudi ndo wenye historia ya kufanya maangamizi dhidi ya wayahudi.SIO WASWAHILI BALI SEMA WAKRSTO WAPENTEKOSTE.
NB: WAISLAMU NA WAARABU WAMEJITAHIDI SANA KUOMBA MSAADA WA WAKRSTO ILI WAWACHUKIE WAYAHUDI LAKINI HAIWEZEKANI
My belief against the bible God go so strong when I see such kind of comments like yours especially from the God believer who i know like you.They are blessed Nation amongst all Nations over the whole world...[emoji16]
Sent from my CPH2387 using JamiiForums mobile app
INSHAALAHKwa nini wewe usiwaulize hilo swali hao members wa Hamas walio humu unao wafahamu ? Wewe ni mmoja wao ?
Shida ni ya nani mkuu?Shida ipo tena kubwa.
Una mateka halafu hutaki kuwaachia.
1. Unategemea UN itakuwa na nguvu?
Israel amesema, hawezi kusitisha vita mpk mateka wote wapatikane
WAKRSTO WAPI MKUU WATAJE???Lakini hao wakristo wasio wachukia wayahudi ndo wenye historia ya kufanya maangamizi dhidi ya wayahudi.
π€£π€£π€£ MKUU KWAHIYO ABU MARZOUK HAELEWI KUA ALITEKA WATU GANIShida ni ya nani mkuu?
UN ipo pale kwa lengo la kufanikisha na kueneza propaganda pamoja na Agenda za mataifa ya kibepari.
Taifa lolote (bila ya kujali idadi) litakalokuwa kinyume na ubepari halina kauli mbele ya UN.
Mataifa ya kiafrica na yale ya kiarabu ambayo hayajakubali kuungamanishwa na UN=USA=ISRAEL si chochote mbele ya UN.
Hiyo issue ya HAMAS kuwa na mateka 240 wa mataifa mbali mbali hata kiongozi mkuu wa HAMAS Moussa Abu Marzouk haelewi imekaa je?
Wanajifanya hawaelewi?Wataelewa tuShida ni ya nani mkuu?
UN ipo pale kwa lengo la kufanikisha na kueneza propaganda pamoja na Agenda za mataifa ya kibepari.
Taifa lolote (bila ya kujali idadi) litakalokuwa kinyume na ubepari halina kauli mbele ya UN.
Mataifa ya kiafrica na yale ya kiarabu ambayo hayajakubali kuungamanishwa na UN=USA=ISRAEL si chochote mbele ya UN.
Hiyo issue ya HAMAS kuwa na mateka 240 wa mataifa mbali mbali hata kiongozi mkuu wa HAMAS Moussa Abu Marzouk haelewi imekaa je?
Wanaaminisha watu kuwa waone waisrael ni wabaya wakati ubaya waliutafuta wao.π€£π€£π€£ MKUU KWAHIYO ABU MARZOUK HAELEWI KUA ALITEKA WATU GANI
Pole sanaUN na mataifa ya kiharabu ni wanafiki wote, IDF walishasema mateka wakiachiwa na wao wanasitisha mashambulizi huko gaza, lkini hakuna nchi inayolaani uvamizi wa magaidi huko Israel wala kutaka mateka kuachiwa huru ila wanataka uvamizi kusitishwa! Swali la msingi, hamas ni serikali ya kigaidi, iliyovamia Israel na kuteka watu na kuua raia wasio kuwa na hatia, na tunaposema serikali ya hamas maanke ni kuanzia watendaji wa vijiji, watumishi wa umma, polisi, na kilq mfanyakqzi wa hamas, hivyo huwezi kutenganisha magaidi na watoto, watu wazimq, wamama, madokta nk! Na magaidi hao hawapo sehemu maalum wamejificha humo humo, wana watoto, wanakula na wake zao, wanafanyq shughuli pamoja, OK hao UN waseme hao magaidi wako wapi basi ili IDF Ipeleke mashambulizi yake huko!! Dawa pekee mm naona ni umoja wa mataifa pamoja na raia wa Hamas kupigq kilele mateka wa kiyahudi kuqchiwq huru, au kusaidia upatikanaji wao, baada ya hapo ndo wapige kilele za vita kusitishwa, vingine hayo matamko ya udini, ni chura kumpigia kilele ngombe akijua atamzuia kunywa maji , kitu ambacho hakiwezekani
Na Israel Ni Marekani.UN ni USA na USA ni ISRAEL.
π€£πππππ€£π€£Wanaaminisha watu kuwa waone waisrael ni wabaya wakati ubaya waliutafuta wao.
Kipindi HAMAS walienda kuua na kuchukua mateka walishangilia sana mpk Faiza alitoa uzi humu kuwapongeza HAMAS ila sasa wamesahau kwa ubaya waliofanya unawarudia