Mbali na kura za UN kupinga uvamizi wa wayahudi huko Gaza, Israel hajali, Kwani hii nchi ya Wayahudi inanguvu kiasi gani?

Mbali na kura za UN kupinga uvamizi wa wayahudi huko Gaza, Israel hajali, Kwani hii nchi ya Wayahudi inanguvu kiasi gani?

Mnailaumu Israel ila hamkuona ugaidi wa Hamas mnaongea unafiki

Sent from my Infinix X663 using JamiiForums mobile app
Mpk sasa wameshikilia mateka. Unafikiria UN itakuwa ina nguvu?
Hapo wanaona ni sawa na kumtetea gaidi kwasababu wanakuonea huruma bado mateka unao licha ya kichapo lkn bado mateka unao.
Hapo kuna msaada gani?
 
Ni swali ambalo kila mwenye akili timamu atajiuliza. Actually children are dying, innocent women are dying lakini
Mastaa wakubwa huko ulaya na marekani ambao ni mabingwa wa kuonesha sympathy kwenye matukio kama haya,wote wamepiga kimya as if nothing happens.
Ukithubutu kuwakosoa kama huko ulaya,unaliwa kichwa chap.
Marekani inawatumikia kama watoto wao, actually marekani ni kama ipo controlled na hawa watu.

Who are these guys???
They are blessed Nation amongst all Nations over the whole world...[emoji16]

Sent from my CPH2387 using JamiiForums mobile app
 
SIO WASWAHILI BALI SEMA WAKRSTO WAPENTEKOSTE.
NB: WAISLAMU NA WAARABU WAMEJITAHIDI SANA KUOMBA MSAADA WA WAKRSTO ILI WAWACHUKIE WAYAHUDI LAKINI HAIWEZEKANI
Lakini hao wakristo wasio wachukia wayahudi ndo wenye historia ya kufanya maangamizi dhidi ya wayahudi.
 
They are blessed Nation amongst all Nations over the whole world...[emoji16]

Sent from my CPH2387 using JamiiForums mobile app
My belief against the bible God go so strong when I see such kind of comments like yours especially from the God believer who i know like you.
Ina maana huyo mungu mwenye kubariki, baraka zake zipo kwenye mauaji ya wasio na hatia yanayo fanywa na hawa watu??
Actually, whoever preach god and then he says god of Israel akiwa amevaa na mabendera yake (as a lot of christians do),mimi humdharau sana huyo mtu na Mungu wake wa kipumbavu.
Mungu wa kupuuzwa sana huyo, foolish and so cruel.
 
Shida ipo tena kubwa.
Una mateka halafu hutaki kuwaachia.
1. Unategemea UN itakuwa na nguvu?
Israel amesema, hawezi kusitisha vita mpk mateka wote wapatikane
Shida ni ya nani mkuu?

UN ipo pale kwa lengo la kufanikisha na kueneza propaganda pamoja na Agenda za mataifa ya kibepari.

Taifa lolote (bila ya kujali idadi) litakalokuwa kinyume na ubepari halina kauli mbele ya UN.

Mataifa ya kiafrica na yale ya kiarabu ambayo hayajakubali kuungamanishwa na UN=USA=ISRAEL si chochote mbele ya UN.

Hiyo issue ya HAMAS kuwa na mateka 240 wa mataifa mbali mbali hata kiongozi mkuu wa HAMAS Moussa Abu Marzouk haelewi imekaa je?
 
Shida ni ya nani mkuu?

UN ipo pale kwa lengo la kufanikisha na kueneza propaganda pamoja na Agenda za mataifa ya kibepari.

Taifa lolote (bila ya kujali idadi) litakalokuwa kinyume na ubepari halina kauli mbele ya UN.

Mataifa ya kiafrica na yale ya kiarabu ambayo hayajakubali kuungamanishwa na UN=USA=ISRAEL si chochote mbele ya UN.

Hiyo issue ya HAMAS kuwa na mateka 240 wa mataifa mbali mbali hata kiongozi mkuu wa HAMAS Moussa Abu Marzouk haelewi imekaa je?
🤣🤣🤣 MKUU KWAHIYO ABU MARZOUK HAELEWI KUA ALITEKA WATU GANI
 
Shida ni ya nani mkuu?

UN ipo pale kwa lengo la kufanikisha na kueneza propaganda pamoja na Agenda za mataifa ya kibepari.

Taifa lolote (bila ya kujali idadi) litakalokuwa kinyume na ubepari halina kauli mbele ya UN.

Mataifa ya kiafrica na yale ya kiarabu ambayo hayajakubali kuungamanishwa na UN=USA=ISRAEL si chochote mbele ya UN.

Hiyo issue ya HAMAS kuwa na mateka 240 wa mataifa mbali mbali hata kiongozi mkuu wa HAMAS Moussa Abu Marzouk haelewi imekaa je?
Wanajifanya hawaelewi?Wataelewa tu
Kauli ya Israel ni "hawezi kusitisha vita mpk mateka wapatikane wote".
 
🤣🤣🤣 MKUU KWAHIYO ABU MARZOUK HAELEWI KUA ALITEKA WATU GANI
Wanaaminisha watu kuwa waone waisrael ni wabaya wakati ubaya waliutafuta wao.
Kipindi HAMAS walienda kuua na kuchukua mateka walishangilia sana mpk Faiza alitoa uzi humu kuwapongeza HAMAS ila sasa wamesahau kwa ubaya waliofanya unawarudia
 
UN na mataifa ya kiharabu ni wanafiki wote, IDF walishasema mateka wakiachiwa na wao wanasitisha mashambulizi huko gaza, lkini hakuna nchi inayolaani uvamizi wa magaidi huko Israel wala kutaka mateka kuachiwa huru ila wanataka uvamizi kusitishwa! Swali la msingi, hamas ni serikali ya kigaidi, iliyovamia Israel na kuteka watu na kuua raia wasio kuwa na hatia, na tunaposema serikali ya hamas maanke ni kuanzia watendaji wa vijiji, watumishi wa umma, polisi, na kilq mfanyakqzi wa hamas, hivyo huwezi kutenganisha magaidi na watoto, watu wazimq, wamama, madokta nk! Na magaidi hao hawapo sehemu maalum wamejificha humo humo, wana watoto, wanakula na wake zao, wanafanyq shughuli pamoja, OK hao UN waseme hao magaidi wako wapi basi ili IDF Ipeleke mashambulizi yake huko!! Dawa pekee mm naona ni umoja wa mataifa pamoja na raia wa Hamas kupigq kilele mateka wa kiyahudi kuqchiwq huru, au kusaidia upatikanaji wao, baada ya hapo ndo wapige kilele za vita kusitishwa, vingine hayo matamko ya udini, ni chura kumpigia kilele ngombe akijua atamzuia kunywa maji , kitu ambacho hakiwezekani
Pole sana
 
Wanaaminisha watu kuwa waone waisrael ni wabaya wakati ubaya waliutafuta wao.
Kipindi HAMAS walienda kuua na kuchukua mateka walishangilia sana mpk Faiza alitoa uzi humu kuwapongeza HAMAS ila sasa wamesahau kwa ubaya waliofanya unawarudia
🤣😂😂😂😂🤣🤣
 
Back
Top Bottom