kina kirefu
JF-Expert Member
- Dec 14, 2018
- 15,188
- 18,583
Aisee! tambua Israel ni US au marekani ya mashariki ya kati ,utajiri wa marekani ndo utajiri wa israel
sasa inakuwaje Israel hata kwenye mataifa 20 yenye nguvu kubwa ya kiuchumi duniani haipo?
[emoji1787][emoji1787][emoji1787] MKUU KWAHIYO ABU MARZOUK HAELEWI KUA ALITEKA WATU GANI
Jidanganye na kidini chenu cha ijumaaSisi wa swahili tuendelee kuamini israel ni taifa teule la Mungu tuishi humo mengine hatujuiView attachment 2806571
Mkuu umeongea pointi na nimecheka sana interview ya huyu jamaa.Ee, yaani hata hao HAMAS wamefanyiwa sarakasi moja hawatokuja kuisahau. [emoji23]
Nilikuwa nikifuatilia mahojiano aliyoyafanya, Moussa Abu Marzouk anakwambia kuna makundi mengi yanayowajibika pale Gaza na yanajitegemea.
Hivyo mateka wengine wamekamatwa na makundi hayo kama lile la Palestina Islamic Jihad pamoja na Qassam na wamefichwa katika maeneo tofauti ambayo ni siri. Ila mzigo wote amebebeshwa HAMAS.
Kwa akili za kawaida kabisa ukitazama response ya Israel dhidi ya uvamizi wa October 7 utagundua HAMAS aliingizwa mkenge na huenda ulikuwa ni mpango wa siri wa muda mrefu uliosukwa kitaalamu.
Wrong move ya HAMAS imepelekea kuwakaribisha Askari wa Israel pale Gaza na katu hawataondoka hata baada ya HAMAS kuondoshwa.
Yaani HAMAS wameyatimba na watasema.
Waarabu ni kama waafrica tu hatuaminiki, usikute huyu ndiye pandikizi nambari moja kwenye mkakati wa kuisambaratisha HAMAS.Mkuu umeongea pointi na nimecheka sana interview ya huyu jamaa.
Ni bora
asingekubali kuhojiwa maana hakujiandaaView attachment 2806729
Hamas walitia kidole kwenye matako ya Kobe,,,acha wale kichapoSisi wa swahili tuendelee kuamini israel ni taifa teule la Mungu tuishi humo mengine hatujuiView attachment 2806571
Na Israel Ni Marekani.
AkaulizweMy belief against the bible God go so strong when I see such kind of comments like yours especially from the God believer who i know like you.
Ina maana huyo mungu mwenye kubariki, baraka zake zipo kwenye mauaji ya wasio na hatia yanayo fanywa na hawa watu??
Actually, whoever preach god and then he says god of Israel akiwa amevaa na mabendera yake (as a lot of christians do),mimi humdharau sana huyo mtu na Mungu wake wa kipumbavu.
Mungu wa kupuuzwa sana huyo, foolish and so cruel.
Unaweza kuwataja au umekaririshwa hilo?Israel ni marekani
80% ya matajiri wa makampuni makubwa duniani ni wayahudi wamewekeza Kila kona ya Dunia
Hauwezi kuwa CANDIDATE wa uraisi marekani
Bila mkono au NGUVU ya matajiri wa kiyahudi
Kwan wao ndo wanaoshika NGUVU ya kiuchumi kwa kumiliki hisa nyingi katika makampuni makubwa marekani
Even kampuni kubwa 2 duniani zenye mkwanja mrefu wanazimiliki wao
Kwa yoyote anayependa kuendelea kuwa na UCHUMI imala katika nchi yake hawezi kumess nao
OkyWaarabu ni kama waafrica tu hatuaminiki, usikute huyu ndiye pandikizi nambari moja kwenye mkakati wa kuisambaratisha HAMAS.
HAMAS wenyewe hawaitaki tena hii vita ni vile maji walikwisha kuyavulia nguo.
Kuna usaliti mkubwa sana katikati yao.
Na Israel lazima watumie nguvu kubwa katika kuisambaratisha HAMAS ili kutuma salamu kwa makundi mengine ya Kigaidi yanayoishukia Israel.
Saudia epicenter of islam ndo kwanza yupo kwenye Halloween anarendemka.Ninawasiwasi na baadhi yetu waswahili kuwa tunawajua juu juu tu, hawa Wayahudi, tuna lopoka tu hata tusijue hao Mayahudi ni kina nani haswa
Nilitarajia Urusi, Irani, Korea na hata China waingilie kati, kwa sababu ya uswahiba wa nchi hii ya kiyahudi na US, lakini wapi, Israeli ni nani?
Hata hivyo, naweza sema, UN ndio wanaowajua vema hawa Mayahudi, nguvu yao kijeshi, umhimu wao kwenye umoja wa Mataifa kwamba wao ni kina nani na wanamadhara gani katika karne hii ya 21, kura zaidi ya 72% zimeonyesha kupinga uvamizi wa Israel huko Gaza
Matokeo yake ndio kwaanza, vijamaa vinaendelea na mauwaji ya khalaiki huko Gaza
Wafanya kazi wa umoja wa mataifa wanauwawa, wanahabari wanachinjwa, watoto wadogo pia ukiachia mbali magaidi ya hamasi yanavyokufa kama kumbi kumbi
Nchi za Kiarabu bila shaka nao wanawajua vema hao Mayahudi, hakuna nchi inayopiga yowe juu ya mayahudi hayo ya Kiisrael
Israeli ni kina nani?
Nguvu yao, umhimu katika umoja wa mataifa ni kina nani haswaa?
Kumbe Hitra alikuwa ni muislam?WAKRSTO WAPI MKUU WATAJE???
NB: WAARABU NDIO WAMEFELI KUWAANGAMIZA WAYAHUDI SINCE 1967
MKUU KUMBE HATA HUJUIKumbe Hitra alikuwa ni muislam?
Hakuna sehemu ambapo waisilam walisha taka kuwaangamiza wayahudi maana kwenye nchi za muislam kama misri,Iran kumejaa wayahudi na hawajawauwa.
Basi alikuwa muislam umelidhika?MKUU KUMBE HATA HUJUI
WAPI HITRA ALISEMA YEYE MKRSTO???
WAPI MKUU???
Kwa kuongeza. Miaka fulani nilisoma sehemu kuwa, kuna Wayahudi wengi ambao ndio wameshikilia vitengo vyote nyeti vya USA, kutokana na uwezo wao kiakili. Hili la kiakili sijui mimi, huwa nalisikia tu.Israel ni marekani
80% ya matajiri wa makampuni makubwa duniani ni wayahudi wamewekeza Kila kona ya Dunia
Hauwezi kuwa CANDIDATE wa uraisi marekani
Bila mkono au NGUVU ya matajiri wa kiyahudi
Kwan wao ndo wanaoshika NGUVU ya kiuchumi kwa kumiliki hisa nyingi katika makampuni makubwa marekani
Even kampuni kubwa 2 duniani zenye mkwanja mrefu wanazimiliki wao
Kwa yoyote anayependa kuendelea kuwa na UCHUMI imala katika nchi yake hawezi kumess nao
MKUU WAPI ADOLF ALISEMA YEYE MKIRSTOBasi alikuwa muislam umelidhika?
Hiyo Vita Ni ya Ayatollah wa Iran kwa maslahi yake ya kiuchumi.Ee, yaani hata hao HAMAS wamefanyiwa sarakasi moja hawatokuja kuisahau. [emoji23]
Nilikuwa nikifuatilia mahojiano aliyoyafanya, Moussa Abu Marzouk anakwambia kuna makundi mengi yanayowajibika pale Gaza na yanajitegemea.
Hivyo mateka wengine wamekamatwa na makundi hayo kama lile la Palestina Islamic Jihad pamoja na Qassam na wamefichwa katika maeneo tofauti ambayo ni siri. Ila mzigo wote amebebeshwa HAMAS.
Kwa akili za kawaida kabisa ukitazama response ya Israel dhidi ya uvamizi wa October 7 utagundua HAMAS aliingizwa mkenge na huenda ulikuwa ni mpango wa siri wa muda mrefu uliosukwa kitaalamu.
Wrong move ya HAMAS imepelekea kuwakaribisha Askari wa Israel pale Gaza na katu hawataondoka hata baada ya HAMAS kuondoshwa.
Yaani HAMAS wameyatimba na watasema.
Usiwe mbishi, teknolojia kubwa zote duniani nyingi wamefanya Israel. Na ndiyo wamejaa Marekani.Unaweza kuwataja au umekaririshwa hilo?
Gunduzi nyingi za kisayansi na kiteknolojia pale Marekani Ni Hawa jamaa wanafanya. So hata Siri nyingi za zana za kijeshi za Marekani Hawa jamaa wanazijua na Ni wao wagunduzi.Kwa kuongeza. Miaka fulani nilisoma sehemu kuwa, kuna Wayahudi wengi ambao ndio wameshikilia vitengo vyote nyeti vya USA, kutokana na uwezo wao kiakili. Hili la kiakili sijui mimi, huwa nalisikia tu.
Kwa mantiki hiyo, kama ni kweli, lazima wafanya maamuzi wa USA ambao ndiyo Wayahud hawawezi kufanya maamuzi ya kuwakandamiza ndugu zao walioko Israel.