Mbali na kura za UN kupinga uvamizi wa wayahudi huko Gaza, Israel hajali, Kwani hii nchi ya Wayahudi inanguvu kiasi gani?

Mbali na kura za UN kupinga uvamizi wa wayahudi huko Gaza, Israel hajali, Kwani hii nchi ya Wayahudi inanguvu kiasi gani?

[emoji1787][emoji1787][emoji1787] MKUU KWAHIYO ABU MARZOUK HAELEWI KUA ALITEKA WATU GANI

Ee, yaani hata hao HAMAS wamefanyiwa sarakasi moja hawatokuja kuisahau. [emoji23]

Nilikuwa nikifuatilia mahojiano aliyoyafanya, Moussa Abu Marzouk anakwambia kuna makundi mengi yanayowajibika pale Gaza na yanajitegemea.

Hivyo mateka wengine wamekamatwa na makundi hayo kama lile la Palestina Islamic Jihad pamoja na Qassam na wamefichwa katika maeneo tofauti ambayo ni siri. Ila mzigo wote amebebeshwa HAMAS.

Kwa akili za kawaida kabisa ukitazama response ya Israel dhidi ya uvamizi wa October 7 utagundua HAMAS aliingizwa mkenge na huenda ulikuwa ni mpango wa siri wa muda mrefu uliosukwa kitaalamu.

Wrong move ya HAMAS imepelekea kuwakaribisha Askari wa Israel pale Gaza na katu hawataondoka hata baada ya HAMAS kuondoshwa.

Yaani HAMAS wameyatimba na watasema.
 
Ee, yaani hata hao HAMAS wamefanyiwa sarakasi moja hawatokuja kuisahau. [emoji23]

Nilikuwa nikifuatilia mahojiano aliyoyafanya, Moussa Abu Marzouk anakwambia kuna makundi mengi yanayowajibika pale Gaza na yanajitegemea.

Hivyo mateka wengine wamekamatwa na makundi hayo kama lile la Palestina Islamic Jihad pamoja na Qassam na wamefichwa katika maeneo tofauti ambayo ni siri. Ila mzigo wote amebebeshwa HAMAS.

Kwa akili za kawaida kabisa ukitazama response ya Israel dhidi ya uvamizi wa October 7 utagundua HAMAS aliingizwa mkenge na huenda ulikuwa ni mpango wa siri wa muda mrefu uliosukwa kitaalamu.

Wrong move ya HAMAS imepelekea kuwakaribisha Askari wa Israel pale Gaza na katu hawataondoka hata baada ya HAMAS kuondoshwa.

Yaani HAMAS wameyatimba na watasema.
Mkuu umeongea pointi na nimecheka sana interview ya huyu jamaa.
Ni bora
asingekubali kuhojiwa maana hakujiandaa
Screenshot_20231107-120716_1.jpg
 
Mkuu umeongea pointi na nimecheka sana interview ya huyu jamaa.
Ni bora
asingekubali kuhojiwa maana hakujiandaaView attachment 2806729
Waarabu ni kama waafrica tu hatuaminiki, usikute huyu ndiye pandikizi nambari moja kwenye mkakati wa kuisambaratisha HAMAS.

HAMAS wenyewe hawaitaki tena hii vita ni vile maji walikwisha kuyavulia nguo.

Kuna usaliti mkubwa sana katikati yao.

Na Israel lazima watumie nguvu kubwa katika kuisambaratisha HAMAS ili kutuma salamu kwa makundi mengine ya Kigaidi yanayoishukia Israel.
 
Israel haiwezi kusimamisha operesheni Sasa hivi kisa international community kuongea au kuwasusia. Wanachotaka ni mateka wao warudishwe ndio mashambulizi yaishe na wakiamua kusimamisha mashambulizi Sasa hivi itakua kama kazi Bure wamefanya na kufeli. Mateka wa watu warudi.
 
My belief against the bible God go so strong when I see such kind of comments like yours especially from the God believer who i know like you.
Ina maana huyo mungu mwenye kubariki, baraka zake zipo kwenye mauaji ya wasio na hatia yanayo fanywa na hawa watu??
Actually, whoever preach god and then he says god of Israel akiwa amevaa na mabendera yake (as a lot of christians do),mimi humdharau sana huyo mtu na Mungu wake wa kipumbavu.
Mungu wa kupuuzwa sana huyo, foolish and so cruel.
Akaulizwe

Maana yeye ndiye aliyeumba na ndiye awezaye kutoa uhai tena

Kwa nini anaruhusu hayo?
 
Israel ni marekani
80% ya matajiri wa makampuni makubwa duniani ni wayahudi wamewekeza Kila kona ya Dunia
Hauwezi kuwa CANDIDATE wa uraisi marekani
Bila mkono au NGUVU ya matajiri wa kiyahudi
Kwan wao ndo wanaoshika NGUVU ya kiuchumi kwa kumiliki hisa nyingi katika makampuni makubwa marekani
Even kampuni kubwa 2 duniani zenye mkwanja mrefu wanazimiliki wao
Kwa yoyote anayependa kuendelea kuwa na UCHUMI imala katika nchi yake hawezi kumess nao
Unaweza kuwataja au umekaririshwa hilo?
 
Waarabu ni kama waafrica tu hatuaminiki, usikute huyu ndiye pandikizi nambari moja kwenye mkakati wa kuisambaratisha HAMAS.

HAMAS wenyewe hawaitaki tena hii vita ni vile maji walikwisha kuyavulia nguo.

Kuna usaliti mkubwa sana katikati yao.

Na Israel lazima watumie nguvu kubwa katika kuisambaratisha HAMAS ili kutuma salamu kwa makundi mengine ya Kigaidi yanayoishukia Israel.
Oky
 
Ninawasiwasi na baadhi yetu waswahili kuwa tunawajua juu juu tu, hawa Wayahudi, tuna lopoka tu hata tusijue hao Mayahudi ni kina nani haswa

Nilitarajia Urusi, Irani, Korea na hata China waingilie kati, kwa sababu ya uswahiba wa nchi hii ya kiyahudi na US, lakini wapi, Israeli ni nani?

Hata hivyo, naweza sema, UN ndio wanaowajua vema hawa Mayahudi, nguvu yao kijeshi, umhimu wao kwenye umoja wa Mataifa kwamba wao ni kina nani na wanamadhara gani katika karne hii ya 21, kura zaidi ya 72% zimeonyesha kupinga uvamizi wa Israel huko Gaza

Matokeo yake ndio kwaanza, vijamaa vinaendelea na mauwaji ya khalaiki huko Gaza

Wafanya kazi wa umoja wa mataifa wanauwawa, wanahabari wanachinjwa, watoto wadogo pia ukiachia mbali magaidi ya hamasi yanavyokufa kama kumbi kumbi

Nchi za Kiarabu bila shaka nao wanawajua vema hao Mayahudi, hakuna nchi inayopiga yowe juu ya mayahudi hayo ya Kiisrael


Israeli ni kina nani?

Nguvu yao, umhimu katika umoja wa mataifa ni kina nani haswaa?
Saudia epicenter of islam ndo kwanza yupo kwenye Halloween anarendemka.
 
WAKRSTO WAPI MKUU WATAJE???
NB: WAARABU NDIO WAMEFELI KUWAANGAMIZA WAYAHUDI SINCE 1967
Kumbe Hitra alikuwa ni muislam?

Hakuna sehemu ambapo waisilam walisha taka kuwaangamiza wayahudi maana kwenye nchi za muislam kama misri,Iran kumejaa wayahudi na hawajawauwa.
 
Kumbe Hitra alikuwa ni muislam?

Hakuna sehemu ambapo waisilam walisha taka kuwaangamiza wayahudi maana kwenye nchi za muislam kama misri,Iran kumejaa wayahudi na hawajawauwa.
MKUU KUMBE HATA HUJUI
WAPI HITRA ALISEMA YEYE MKRSTO???
WAPI MKUU???
 
Israel ni marekani
80% ya matajiri wa makampuni makubwa duniani ni wayahudi wamewekeza Kila kona ya Dunia
Hauwezi kuwa CANDIDATE wa uraisi marekani
Bila mkono au NGUVU ya matajiri wa kiyahudi
Kwan wao ndo wanaoshika NGUVU ya kiuchumi kwa kumiliki hisa nyingi katika makampuni makubwa marekani
Even kampuni kubwa 2 duniani zenye mkwanja mrefu wanazimiliki wao
Kwa yoyote anayependa kuendelea kuwa na UCHUMI imala katika nchi yake hawezi kumess nao
Kwa kuongeza. Miaka fulani nilisoma sehemu kuwa, kuna Wayahudi wengi ambao ndio wameshikilia vitengo vyote nyeti vya USA, kutokana na uwezo wao kiakili. Hili la kiakili sijui mimi, huwa nalisikia tu.

Kwa mantiki hiyo, kama ni kweli, lazima wafanya maamuzi wa USA ambao ndiyo Wayahud hawawezi kufanya maamuzi ya kuwakandamiza ndugu zao walioko Israel.
 
Ee, yaani hata hao HAMAS wamefanyiwa sarakasi moja hawatokuja kuisahau. [emoji23]

Nilikuwa nikifuatilia mahojiano aliyoyafanya, Moussa Abu Marzouk anakwambia kuna makundi mengi yanayowajibika pale Gaza na yanajitegemea.

Hivyo mateka wengine wamekamatwa na makundi hayo kama lile la Palestina Islamic Jihad pamoja na Qassam na wamefichwa katika maeneo tofauti ambayo ni siri. Ila mzigo wote amebebeshwa HAMAS.

Kwa akili za kawaida kabisa ukitazama response ya Israel dhidi ya uvamizi wa October 7 utagundua HAMAS aliingizwa mkenge na huenda ulikuwa ni mpango wa siri wa muda mrefu uliosukwa kitaalamu.

Wrong move ya HAMAS imepelekea kuwakaribisha Askari wa Israel pale Gaza na katu hawataondoka hata baada ya HAMAS kuondoshwa.

Yaani HAMAS wameyatimba na watasema.
Hiyo Vita Ni ya Ayatollah wa Iran kwa maslahi yake ya kiuchumi.

Na pia maslahi ya Hamas wenyewe kutengeneza utajiri.

Iran wanaendesha Hamas, Hizbollah na vikundi vingine vya Syria, Irak nk
 
Unaweza kuwataja au umekaririshwa hilo?
Usiwe mbishi, teknolojia kubwa zote duniani nyingi wamefanya Israel. Na ndiyo wamejaa Marekani.

Hili dunia inajua.

Marekani inaikumbatia Israel si kwa sababu za kidini km wengi wanavyoamini, Bali Ni kiuchumi zaidi.
 
Kwa kuongeza. Miaka fulani nilisoma sehemu kuwa, kuna Wayahudi wengi ambao ndio wameshikilia vitengo vyote nyeti vya USA, kutokana na uwezo wao kiakili. Hili la kiakili sijui mimi, huwa nalisikia tu.

Kwa mantiki hiyo, kama ni kweli, lazima wafanya maamuzi wa USA ambao ndiyo Wayahud hawawezi kufanya maamuzi ya kuwakandamiza ndugu zao walioko Israel.
Gunduzi nyingi za kisayansi na kiteknolojia pale Marekani Ni Hawa jamaa wanafanya. So hata Siri nyingi za zana za kijeshi za Marekani Hawa jamaa wanazijua na Ni wao wagunduzi.

Hapa hamna dini Kati ya USA na Israel km wengi waaminivyo.
 
Back
Top Bottom