Mbali na kura za UN kupinga uvamizi wa wayahudi huko Gaza, Israel hajali, Kwani hii nchi ya Wayahudi inanguvu kiasi gani?

Mbali na kura za UN kupinga uvamizi wa wayahudi huko Gaza, Israel hajali, Kwani hii nchi ya Wayahudi inanguvu kiasi gani?

UN na mataifa ya kiharabu ni wanafiki wote, IDF walishasema mateka wakiachiwa na wao wanasitisha mashambulizi huko gaza, lkini hakuna nchi inayolaani uvamizi wa magaidi huko Israel wala kutaka mateka kuachiwa huru ila wanataka uvamizi kusitishwa! Swali la msingi, hamas ni serikali ya kigaidi, iliyovamia Israel na kuteka watu na kuua raia wasio kuwa na hatia, na tunaposema serikali ya hamas maanke ni kuanzia watendaji wa vijiji, watumishi wa umma, polisi, na kilq mfanyakqzi wa hamas, hivyo huwezi kutenganisha magaidi na watoto, watu wazimq, wamama, madokta nk! Na magaidi hao hawapo sehemu maalum wamejificha humo humo, wana watoto, wanakula na wake zao, wanafanyq shughuli pamoja, OK hao UN waseme hao magaidi wako wapi basi ili IDF Ipeleke mashambulizi yake huko!! Dawa pekee mm naona ni umoja wa mataifa pamoja na raia wa Hamas kupigq kilele mateka wa kiyahudi kuqchiwq huru, au kusaidia upatikanaji wao, baada ya hapo ndo wapige kilele za vita kusitishwa, vingine hayo matamko ya udini, ni chura kumpigia kilele ngombe akijua atamzuia kunywa maji , kitu ambacho hakiwezekani

Naomba ujifunze kwanza kuandika
 
Hiyo Vita Ni ya Ayatollah wa Iran kwa maslahi yake ya kiuchumi.

Na pia maslahi ya Hamas wenyewe kutengeneza utajiri.

Iran wanaendesha Hamas, Hizbollah na vikundi vingine vya Syria, Irak nk
Kwa sasa si muda sahihi wa Iran kuingia vitani dhidi ya mataifa ya Magharibi.

Ayatollah mefanya makosa, Gaza sasa inaenda kukaliwa kimabavu na Israel na hapana awezaye kuzuia.
 
Mkuu hakuna cha Wayahudi wala nn hiyo UN ipo kwa ajili ya vinchi masikini tu lakini kwa mataifa makubwa ni mbwa koko fulani tu ambaye kazi yake ni kubweka.

Urusi aliivamia Ukraine lakini hiyo UN iliishia kubweka na kutoa matamko tu.

Saudia arabia iliuwa maelfu ya watu nchini Yemen na hiyo UN haikufanya kitu.

Serikali ya Syria iliuwa watu zaidi ya 300,000 wakati inapambana na uasi lakini hiyo UN haikudhubutu kunyanyua mdomo kwa sababu Syria ilikuwa inakingiwa kifua na Urusi.

Marekani hiyo ndo usiseme hata kusema.

Ina maana Urusi, Israel au Marekani hawezi kudakwa na Mahakama ya Kimataifa (ICC)?
Wasipodakwa nitashangaa sana.
 
Israel ni marekani
80% ya matajiri wa makampuni makubwa duniani ni wayahudi wamewekeza Kila kona ya Dunia
Hauwezi kuwa CANDIDATE wa uraisi marekani
Bila mkono au NGUVU ya matajiri wa kiyahudi
Kwan wao ndo wanaoshika NGUVU ya kiuchumi kwa kumiliki hisa nyingi katika makampuni makubwa marekani
Even kampuni kubwa 2 duniani zenye mkwanja mrefu wanazimiliki wao
Kwa yoyote anayependa kuendelea kuwa na UCHUMI imala katika nchi yake hawezi kumess nao

Obama hakupata hiyo nguvu na hata huyu Netanyau alikuwa na dharau sana kwa Obama. Aliwahi kwenda kuhutubia bunge la Seneti Marekani bila hata kwenda white house kuonana na Obama.
 
Nyuzi za kitoto. Toka lini UN akawa tishio? UN ipo kimagumash
TUnaingia vp UN kupiga kaz na sisi wabeba tofari ndio la kujadili ili tukale ela za bwerere za wazungu
 
Kwamba USA hajawahi kushinda popote umezaliwa jana ama?

Ilishinda vita wapi na lini? Tuanzie na vita vya Vietnam vya 1973 ambavyo hata wengi humu wanavijua ambapo Marekani ilichakazwa vibaya sana! Tuambie ni vita vipi unavyovijua mwenzetu ambavy Marekani amewahi kushinda, maana mimi nina miska 65 hapa, naijua Marekani.
 
Kwa hiyo ww ukiona mtu ana ndevu basi ni muarabu? Basi na yesu alikuwa mwarabu sasa.

Zile za akina Yesu ni michoro tu, hakuna anayeijua sura ya Yesu wala ya bikira Maria wala ile ya Yuda Iskariote aliyetundikwa na Yesu msalabani. Ila kwa ndevu upo sahihi, mimi mwenyewe hapa nimefuga ndevu balaa lakini siyo mwislamu.
 
Wewe una mateka halafu hutaki kuwaachia na unategemea adui yako asisitishe vita?
Ben amesema
Hawezi kusisitisha vita mpk mateka wapatikane.

Bora asitishe maana inaweza kutokea bahati mbaya akatwanga na makombora magaidi ambao wapo na mateka na wote wakafa, sasa hapo atakuwa ameoata faida gani.
 
SIO WASWAHILI BALI SEMA WAKRSTO WAPENTEKOSTE.
NB: WAISLAMU NA WAARABU WAMEJITAHIDI SANA KUOMBA MSAADA WA WAKRSTO ILI WAWACHUKIE WAYAHUDI LAKINI HAIWEZEKANI

Modern Israel was created in 1948 after a United Nations agreement with the British created the State of Israel. Ancient Israel and Modern Israel are considered different civilizations with their own unique features, though they do share religious and historical connections.
 
They are blessed Nation amongst all Nations over the whole world...[emoji16]

Sent from my CPH2387 using JamiiForums mobile app

Modern Israel was created in 1948 after a United Nations agreement with the British created the State of Israel. Ancient Israel and Modern Israel are considered different civilizations with their own unique features, though they do share religious and historical connections.
 
Lakini hao wakristo wasio wachukia wayahudi ndo wenye historia ya kufanya maangamizi dhidi ya wayahudi.

Modern Israel was created in 1948 after a United Nations agreement with the British created the State of Israel. Ancient Israel and Modern Israel are considered different civilizations with their own unique features, though they do share religious and historical connections.
 
UN na mataifa ya kiharabu ni wanafiki wote, IDF walishasema mateka wakiachiwa na wao wanasitisha mashambulizi huko gaza, lkini hakuna nchi inayolaani uvamizi wa magaidi huko Israel wala kutaka mateka kuachiwa huru ila wanataka uvamizi kusitishwa! Swali la msingi, hamas ni serikali ya kigaidi, iliyovamia Israel na kuteka watu na kuua raia wasio kuwa na hatia, na tunaposema serikali ya hamas maanke ni kuanzia watendaji wa vijiji, watumishi wa umma, polisi, na kilq mfanyakqzi wa hamas, hivyo huwezi kutenganisha magaidi na watoto, watu wazimq, wamama, madokta nk! Na magaidi hao hawapo sehemu maalum wamejificha humo humo, wana watoto, wanakula na wake zao, wanafanyq shughuli pamoja, OK hao UN waseme hao magaidi wako wapi basi ili IDF Ipeleke mashambulizi yake huko!! Dawa pekee mm naona ni umoja wa mataifa pamoja na raia wa Hamas kupigq kilele mateka wa kiyahudi kuqchiwq huru, au kusaidia upatikanaji wao, baada ya hapo ndo wapige kilele za vita kusitishwa, vingine hayo matamko ya udini, ni chura kumpigia kilele ngombe akijua atamzuia kunywa maji , kitu ambacho hakiwezekani
Hii mada imekuzidi umri, hata kuandika tu hujui kiharabu ndiyo nini sasa? Sembuse kujadili mada Kama hii?

Any way ngoja tu nikusaidie japo kidogo; Israel walizuia misaada ya kibinadamu kuingia Gaza, wakakata huduma ya maji, umeme na internet. Wakasema hadi mateka waachiwe ndo wataruhusu misaada na huduma zingine kufika Gaza.

Lakini wakasema hata Kama mateka wataachiwa no cease fire, wanataka kuisafisha Gaza kwa kuisambaratisha hamas ili kujihakikishia usalama wa kudumu.
 
Ninawasiwasi na baadhi yetu waswahili kuwa tunawajua juu juu tu, hawa Wayahudi, tuna lopoka tu hata tusijue hao Mayahudi ni kina nani haswa

Nilitarajia Urusi, Irani, Korea na hata China waingilie kati, kwa sababu ya uswahiba wa nchi hii ya kiyahudi na US, lakini wapi, Israeli ni nani?

Hata hivyo, naweza sema, UN ndio wanaowajua vema hawa Mayahudi, nguvu yao kijeshi, umhimu wao kwenye umoja wa Mataifa kwamba wao ni kina nani na wanamadhara gani katika karne hii ya 21, kura zaidi ya 72% zimeonyesha kupinga uvamizi wa Israel huko Gaza

Matokeo yake ndio kwaanza, vijamaa vinaendelea na mauwaji ya khalaiki huko Gaza

Wafanya kazi wa umoja wa mataifa wanauwawa, wanahabari wanachinjwa, watoto wadogo pia ukiachia mbali magaidi ya hamasi yanavyokufa kama kumbi kumbi

Nchi za Kiarabu bila shaka nao wanawajua vema hao Mayahudi, hakuna nchi inayopiga yowe juu ya mayahudi hayo ya Kiisrael


Israeli ni kina nani?

Nguvu yao, umhimu katika umoja wa mataifa ni kina nani haswaa?
Kimsingi azimio lolote lisipoungwa mkono na USA hapo UN, linakosa nguvu katika utekelezaji wake. Remember hata uvamizi wa Libya na Iraq ulipingwa na baraza la usalama la UN, lakini bado Marekani na maswahiba wake walitekeleza uvamizi huo na hakuna hatua yoyote iliyochukuliwa na UN.

Kifupi UN bila USA ni toothless dog[emoji240].
Mfano mwingine angalia vikwazo dhidi ya Iran siyo vikwazo vya UN lakini kwa sababu USA amemuwekea Iran vikwazo na hata kushinikiza makampuni na mataifa mbalimbali kutofanya biashara na Iran, vikwazo hivyo Sasa vinatekelezwa utadhani vimewekwa na UN.
 
Bora asitishe maana inaweza kutokea bahati mbaya akatwanga na makombora magaidi ambao wapo na mateka na wote wakafa, sasa hapo atakuwa ameoata faida gani.
Kwanini asitishe wakati yupo vitani kukomboa mateka?
 
Ninawasiwasi na baadhi yetu waswahili kuwa tunawajua juu juu tu, hawa Wayahudi, tuna lopoka tu hata tusijue hao Mayahudi ni kina nani haswa

Nilitarajia Urusi, Irani, Korea na hata China waingilie kati, kwa sababu ya uswahiba wa nchi hii ya kiyahudi na US, lakini wapi, Israeli ni nani?

Hata hivyo, naweza sema, UN ndio wanaowajua vema hawa Mayahudi, nguvu yao kijeshi, umhimu wao kwenye umoja wa Mataifa kwamba wao ni kina nani na wanamadhara gani katika karne hii ya 21, kura zaidi ya 72% zimeonyesha kupinga uvamizi wa Israel huko Gaza

Matokeo yake ndio kwaanza, vijamaa vinaendelea na mauwaji ya khalaiki huko Gaza

Wafanya kazi wa umoja wa mataifa wanauwawa, wanahabari wanachinjwa, watoto wadogo pia ukiachia mbali magaidi ya hamasi yanavyokufa kama kumbi kumbi

Nchi za Kiarabu bila shaka nao wanawajua vema hao Mayahudi, hakuna nchi inayopiga yowe juu ya mayahudi hayo ya Kiisrael


Israeli ni kina nani?

Nguvu yao, umhimu katika umoja wa mataifa ni kina nani haswaa?
Nguvu ya myahudi ni USA bila taifa hili dhalimu israel mchumba tu
 
Back
Top Bottom