Mbali na uongozi, mashabiki wa Simba nao ni wa kulamiwa kwani walikuwa hawataki kukubali timu yao ni mbovu na hoja yao ikawa ni Yanga wananunu mechi

Mbali na uongozi, mashabiki wa Simba nao ni wa kulamiwa kwani walikuwa hawataki kukubali timu yao ni mbovu na hoja yao ikawa ni Yanga wananunu mechi

Kwasasa Yanga haina kitu ila bado inapigania malengo yao ya msimu huu.
1) Klabu bingwa kucheza makundi [emoji736]
2) Kombe la FA bado yupo mashindanoni hatua ya robo fainali na kesho wakishinda wanaenda nusu fainali.
3) ligi kuu Tanzania bara bado yupo kwenye mbio za kutetea akiwa kamwacha point 8 timu ya pili.

Hi7vyo Yanga bado yupo katika harakati za kutimiza malengo yake ya msimu huu.

Nyie kama mpaka sasa mmeshatimiza malengo yenu mpaka sasa basi ni jambo la kumshukuru Mungu katika hilo kwasababu kila timu na mashabiki wake inapoanza msimu huwa na shauku ya kuona wanapata makombe yapi.

Hivyo hongereni kwa kutimiza malengo yenu hadi sasa kwa kuwa mabingwa wa Muungano, mshindi wa pili wa Mapinduzi na mshindi wa ngao ya jamii.

Yanga bado inajitafuta kutimiza malengo yake ya msimu huu japo bado hayuko mbali endapo juhudi zao za upambanaji utaendelea.
Aya ya Mwisho unasema; Yanga bado inajitafuta!
Basi endeleeni kujitafuta.
Vip kule CAF lile goli la Mamelodi mmefikia wapi ile rufaa yenu? Mlituambia lazima mcheze Nusu Fainali gemu lini? Wazee wa MaRufaa na kujitafuta. Inabidi CAF wafungue jalada maalum la Utopolo na ujinga wao.
 
Aya ya Mwisho unasema; Yanga bado inajitafuta!
Basi endeleeni kujitafuta.
Vip kule CAF lile goli la Mamelodi mmefikia wapi ile rufaa yenu? Mlituambia lazima mcheze Nusu Fainali gemu lini? Wazee wa MaRufaa na kujitafuta. Inabidi CAF wafungue jalada maalum la Utopolo na ujinga wao.

Ndio tunajitafuta kwa kupambana kuwa bingwa wa NBC na FA msimu huu na ndio malengo ya Yanga msimu huu. Vipi mwenzetu hautaki kuingia mashindano ya CAF kwa tiketi ya kuwa bingwa?

Aliyekwambia kuwa lazima kucheza nusu fainali ndio umfate ukamuulize hilo swali. Unazungumzia ujinga hivi kuna ujinga uliyofanyika zaidi ya ule wa kuletewa Manzoki kwenye uchaguzi?
 
Huwa nafurahi kuona mpambano wa hoja wa wenye akili wawili vs Mbumbumbu..hahaha..hapo huwq napata kipimo cha mtanzania
 
Wewe Kilaza acha kelele za Unyani Unyani.

SIMBA BINGWA WA NGAO YA JAMII.
SIMBA BINGWA WA KOMBE LA MUUNGANO.
SIMBA FINALIST WA KOMBE LA MAPINDUZI.
Hivi nyie WanaYanga ukitoa pointi 3 za Kagera Sugar na Utoe 3 za juzi mlizopata kwa Coast baada ya ile Red Card ya Mchongo kwenye Ligi unamzidi nini SIMBA!
Je, Hiyo Yanga Imara imeshinda nini hadi sasa??
Acheni kujiaminisha ujinga, WanaSimba wamewaacha muongee kaVichaa maaana wengi wenu hamnazo!
Duh ama kweli! Mashabiki ya madunduka nayo ni tatizo

Sent from my M2006C3LG using JamiiForums mobile app
 
Wewe Kilaza acha kelele za Unyani Unyani.

SIMBA BINGWA WA NGAO YA JAMII.
SIMBA BINGWA WA KOMBE LA MUUNGANO.
SIMBA FINALIST WA KOMBE LA MAPINDUZI.
Hivi nyie WanaYanga ukitoa pointi 3 za Kagera Sugar na Utoe 3 za juzi mlizopata kwa Coast baada ya ile Red Card ya Mchongo kwenye Ligi unamzidi nini SIMBA!
Je, Hiyo Yanga Imara imeshinda nini hadi sasa??
Acheni kujiaminisha ujinga, WanaSimba wamewaacha muongee kaVichaa maaana wengi wenu hamnazo!
Ndiyo waleee....
 
Wewe Kilaza acha kelele za Unyani Unyani.

SIMBA BINGWA WA NGAO YA JAMII.
SIMBA BINGWA WA KOMBE LA MUUNGANO.
SIMBA FINALIST WA KOMBE LA MAPINDUZI.
Hivi nyie WanaYanga ukitoa pointi 3 za Kagera Sugar na Utoe 3 za juzi mlizopata kwa Coast baada ya ile Red Card ya Mchongo kwenye Ligi unamzidi nini SIMBA!
Je, Hiyo Yanga Imara imeshinda nini hadi sasa??
Acheni kujiaminisha ujinga, WanaSimba wamewaacha muongee kaVichaa maaana wengi wenu hamnazo!
Hapa ndipo ulipodhihirisha viongozi wenu wanafanya vitu kwavile wameshaona ni mambumbumbu. Kutoka hadharani kusema kuwa ni mafanikio ya msimu ni Whatsapp channel, kibegi, n.k ni kutokana na umbumbumbu kama huu ulionesha hapa.
 

Attachments

  • IMG_20240501_075748.jpg
    IMG_20240501_075748.jpg
    361.5 KB · Views: 2
Wewe unatakiwa kuitwa Toilet Paper hiyo Salary Slip uliyojiita unaifedhehesha. Ipo tofauti kubwa sana kati ya kuomba kuvunja mkataba na kufukuzwa. Ndio maana mnaambiwa wenye akili ni JK na Baba Manara nyinyi wengine ni Maaamuma wa kutupwa ukiwemo wewe.
Toilet Paper ni Andazi tumepa timu aifundishe kwa mechi zilizobakia!
 
Mashabiki wasimba wakubali kuwa nao ni tatizo tena kubwa sana kuliko hata mabenchi ya ufundi yote yaliyopita kwani tangu msimu uliopita tulikuwa tunawaambia hii Simba ni mbovu wakawa wabishi huku hoja zikiwa ni Yanga kupitia GSM wananua hizi mechi, wanahonga waamuzi, wanacheza kombe la loser, nk.

Hatimae mudau umethibitisha na utaendelea kuthibitisha zaidi pale wataposhika nafasi ya tatu kwenye ligi.

Msiseme sikuwaambia.
Una hoja.
 
Kuna kipindi walipiga bakora shabiki atakae onekana anakosoa team pale taifa
Ujinga kabisa
Sasa wanatamba na makombe yanayoanzishwa bila taarifa hata Ile ramadhani cup ni basi tu ila walitamani washiriki na Aweso cup kule Tanga
 
Wewe Kilaza acha kelele za Unyani Unyani.

SIMBA BINGWA WA NGAO YA JAMII.
SIMBA BINGWA WA KOMBE LA MUUNGANO.
SIMBA FINALIST WA KOMBE LA MAPINDUZI.
Hivi nyie WanaYanga ukitoa pointi 3 za Kagera Sugar na Utoe 3 za juzi mlizopata kwa Coast baada ya ile Red Card ya Mchongo kwenye Ligi unamzidi nini SIMBA!
Je, Hiyo Yanga Imara imeshinda nini hadi sasa??
Acheni kujiaminisha ujinga, WanaSimba wamewaacha muongee kaVichaa maaana wengi wenu hamnazo!
Duh, 7-2 inauma aisee sikujua!! Makombe ya tournaments!!
 
Wewe Kilaza acha kelele za Unyani Unyani.

SIMBA BINGWA WA NGAO YA JAMII.
SIMBA BINGWA WA KOMBE LA MUUNGANO.
SIMBA FINALIST WA KOMBE LA MAPINDUZI.
Hivi nyie WanaYanga ukitoa pointi 3 za Kagera Sugar na Utoe 3 za juzi mlizopata kwa Coast baada ya ile Red Card ya Mchongo kwenye Ligi unamzidi nini SIMBA!
Je, Hiyo Yanga Imara imeshinda nini hadi sasa??
Acheni kujiaminisha ujinga, WanaSimba wamewaacha muongee kaVichaa maaana wengi wenu hamnazo!
7_2
 
Rage alikuwa sahihi kuwapa cheo cha mbumbumbu
 
Mashabiki wasimba wakubali kuwa nao ni tatizo tena kubwa sana kuliko hata mabenchi ya ufundi yote yaliyopita kwani tangu msimu uliopita tulikuwa tunawaambia hii Simba ni mbovu wakawa wabishi huku hoja zikiwa ni Yanga kupitia GSM wananua hizi mechi, wanahonga waamuzi, wanacheza kombe la loser, nk.

Hatimae mudau umethibitisha na utaendelea kuthibitisha zaidi pale wataposhika nafasi ya tatu kwenye ligi.

Msiseme sikuwaambia.
Kama Mangungo yuko madarakani kwa kura za makolo baada ya kumleta Manzoki jukwaani its obvious tatizo la simba ni mashabiki wake.
 
Aya ya Mwisho unasema; Yanga bado inajitafuta!
Basi endeleeni kujitafuta.
Vip kule CAF lile goli la Mamelodi mmefikia wapi ile rufaa yenu? Mlituambia lazima mcheze Nusu Fainali gemu lini? Wazee wa MaRufaa na kujitafuta. Inabidi CAF wafungue jalada maalum la Utopolo na ujinga wao.
Mambo ya Ubuntu Botho ndio yaliyowafelisha mkajikuta Mwarabu anawechezea ghetoni kwenu na kwake.
 
Ndio tunajitafuta kwa kupambana kuwa bingwa wa NBC na FA msimu huu na ndio malengo ya Yanga msimu huu. Vipi mwenzetu hautaki kuingia mashindano ya CAF kwa tiketi ya kuwa bingwa?

Aliyekwambia kuwa lazima kucheza nusu fainali ndio umfate ukamuulize hilo swali. Unazungumzia ujinga hivi kuna ujinga uliyofanyika zaidi ya ule wa kuletewa Manzoki kwenye uchaguzi?
Sidhani kama kuna ujinga utakuja kuvunja rekodi zaidi ya ule wa Manzoki.
 
Hapa ndipo ulipodhihirisha viongozi wenu wanafanya vitu kwavile wameshaona ni mambumbumbu. Kutoka hadharani kusema kuwa ni mafanikio ya msimu ni Whatsapp channel, kibegi, n.k ni kutokana na umbumbumbu kama huu ulionesha hapa.
Wenyewe wanaita "Whatsup". Mbumbumbu noma sana.
 
Back
Top Bottom