Mbappe ageuka gumzo Kwa kumvunjia adabu Messi

Mbappe ageuka gumzo Kwa kumvunjia adabu Messi

Mbapee,..ya pili Neema kalazmisha kupiga na aka score...ndo ugomv ukaanzia hapo
Ata kabla ya mechi dogo alianza kutembea kibabe uwanjani mpaka anawapush kaka zake
Messi and mbappe
 

Attachments

  • 20220819_140436.jpg
    20220819_140436.jpg
    37.3 KB · Views: 7
Mkitumia kigezo cha ballon dor kusema mchezaji flani ni bora, kwahyo mnataka kuniambia Messi ni bora kuliko Ronaldinho, Maladona, Ronaldo dilma, Pelle, galincha, Zidane!?
Una uliza maswali gani ya kitoto? Hizo ballon 7 kura alipigiwa na Zidane, Ronaldinho, na wababe wote unao wajua wa mpira. Utakufa Tz bila kutoa hata 1.[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Mkataba mpya aliyopewa ni kama wamempa mkataba wa kuwa mtoto wa boss jamaa hata akimchukia kocha inatakiwa kocha asepe, sasa Neymar na Messi wajiangalie akienda kushtaki kwa baba yake na kazi inaishia hapohapo
Messi Yuko pale hadi WC ipite ikishapita anasepa zake marekani kumalizia soka lake

Messi,Neymar na hata Ronaldo wanasubiria hii WC ipite watimkie huko kwenye soka lisilo la ushindani.

Wako hizo timu Ili wapate spot kushiriki hii WC ya mwaka huu ambayo ndio kama ya mwisho kwao.
 
Nasimama na Boss Mbappe kwenye hili, Neymar na kaka ake Messi kama wanaona PSG hapawafai waondoke waiache PSG salama kwanza wao wawili wamechangia kiasi kikubwa kukoss kombe la uefa msimu uliopita kwa uchezaji wao wa kizembe na wanatakiwa wajue kila timu ina mfalme wake na kwa hapa PSG ni Mbappe
Ngoja WC ipite watasepa wamuachie timu lake
 
Unashindwa kuelewa kuwa mbappe ana medali ya
kombe la dunia ambalo messi hana.
Hata kimpembe au Pogba wanazo hata Kante anayo hata rock junior anayo ila hao wote sio GOAT

Messi has been goated level ambazo mbape anaweza asizifikie.

Mbape Hana hata ubavu wa kufikia level za Ibrahimovic au Henry seuze MESSI.
 
Unadhan Messi au Ronaldo wangekuwa n world cup wangekuwa wanacheza mpka sasahv!?
Ndio wangekuwa wanacheza kwani still bado thamani yao ni kubwa sokoni, kuna club kibao zina wahitaji na wana deliver wanapopewa nafasi.

Wewe unazungumzia medali ambayo hata Geroud anayo, zungumzia uwezo binafsi na IQ ya mchezaji. Ndioo utopojua Mbape bado mchanga hata Henry bado hajamkaribia,hizo level za Ronaldo na Messi sijui kama atakuja kuzikaribia.
 
Nimeona hata YouTube na mitandao mingine watu wengi wanamsagia kunguni Mbappe kwenye sakata hili.
Anapaswa ajue MESSI ana jeshi kubwa nyuma yake.

Hana ubavu wa kupambana nae

Watamsagia kunguni aishie kula Hela za Psg tu ila asipate mafaniki yoyote ya soka

Aache hizo tabia za kujiona special
 
Uefa huwezi jua, maana bado ni mdogo, kuhusu ballondor ni matakwa ya wapiga kura, muhimu makombe na tuzo zisizohitaji kura
Ubora wako na perfomance yako uwanjani ndo vinakuna hivyo mzee, siyo wapiga kura pekee
 
Mkitumia kigezo cha ballon dor kusema mchezaji flani ni bora, kwahyo mnataka kuniambia Messi ni bora kuliko Ronaldinho, Maladona, Ronaldo dilma, Pelle, galincha, Zidane!?
Labda Pelle pkee anaemzid Messi kwny hiyo list yako,waliobak wte hakuna anaekaribia ubora wa Messi
 
Una uliza maswali gani ya kitoto? Hizo ballon 7 kura alipigiwa na Zidane, Ronaldinho, na wababe wote unao wajua wa mpira. Utakufa Tz bila kutoa hata 1.[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Wakati anachukua hyo balloon dor ya 7 ulisikiliza hotuba yake!? Au umesehau aliwah chukua tuzo ambayo alistahli Iniesta!? Ballon dor kipindi cha messi na Ronaldo ni siasa kati ya matajiri wa Madrid na Barcelona. Kwahyo acha kukurupuka
 
Ndio wangekuwa wanacheza kwani still bado thamani yao ni kubwa sokoni, kuna club kibao zina wahitaji na wana deliver wanapopewa nafasi.

Wewe unazungumzia medali ambayo hata Geroud anayo, zungumzia uwezo binafsi na IQ ya mchezaji. Ndioo utopojua Mbape bado mchanga hata Henry bado hajamkaribia,hizo level za Ronaldo na Messi sijui kama atakuja kuzikaribia.
Subir baada ya WC kupita kama utawaona hv unadhani kuwa n WC ni status ndogo!?

Dream ya kila mchezaji unayemuona ni kuchukua WC, wakina Ronaldo walionekana ni hatar zaidi kutokana n idadi na performance katika WC

Umeshajiuliza kwanini miaka 13 tuzo ya Ballon dor ipo Barcelona n Madrid, sometimes ilitakiwa iende Bayern!? Akili mtu wangu
 
Labda Pelle pkee anaemzid Messi kwny hiyo list yako,waliobak wte hakuna anaekaribia ubora wa Messi
Messi aliyowazid wote hao ni Ballon dor lakin kwa mbungi[emoji23][emoji23][emoji23]labda kama ulikuwa unafatilia isidingo n sio hao miamba

Take time n angalia video zao utapata akili kidogo
 
Subir baada ya WC kupita kama utawaona hv unadhani kuwa n WC ni status ndogo!?

Dream ya kila mchezaji unayemuona ni kuchukua WC, wakina Ronaldo walionekana ni hatar zaidi kutokana n idadi na performance katika WC

Umeshajiuliza kwanini miaka 13 tuzo ya Ballon dor ipo Barcelona n Madrid, sometimes ilitakiwa iende Bayern!? Akili mtu wangu
"Akili mtu wangu" unamaanisha nini? Au unamaamisha aliye chukua medali ya kombe la dunia ni bora kuliko mwenye Ballon dor.

Pamoja Ballon dor kuwa na siasa zake lkn haindoi kwamba Messi ni mchezaji wa kipekee hana mfano wa kumfananisha nae.

Hata kwa sasa ukisema uchambue uwezo alio nao sasa Messi na Mbape bado Mbape hamfikii Messi labda alicho mzidi ni mbio tu.
 
Mbappe ameongezeka jeuri baada ya kupewa mkataba mpya na PSG unaomfanya achukue karibia £ 1 million kwa wiki ukijumlisha na picha za matangazo yake, pamoja na umri wake unamfanya ashindwe kujisimamia.
Hizi ni ishara kuwa vijana hawawez uongozi,tuendelee kuongozwa na wazee tu
 
Labda Pelle pkee anaemzid Messi kwny hiyo list yako,waliobak wte hakuna anaekaribia ubora wa Messi
Mimi naona hao kina pelle,maradona,R9,R10,zidane walikuwa bora kwa nyakati zao.

Messi na cristiano ni wachezaji bora kwa nyakati zote
Rekodi inaonyesha hivyo,hao wawili wamevunja rekodi zote.

Ukija kwa mbape naona anajiharibia tu mwenyewe ilibidi awatumie kaka zake vizuri ku set rekodi zake

Neymar na messi bado wapo juu ..
 
Mkitumia kigezo cha ballon dor kusema mchezaji flani ni bora, kwahyo mnataka kuniambia Messi ni bora kuliko Ronaldinho, Maladona, Ronaldo dilma, Pelle, galincha, Zidane!?
Kumamake asa hao wanamzidi nini messi?

Au kisa wamecheza zamani?

Nyie ndo wehu mnaosemaga pawasa ni bora kuliko msuva au kapombe

Punguwan kabisa
 
Back
Top Bottom