Dabil
JF-Expert Member
- Sep 30, 2021
- 6,823
- 15,293
sasa kama na yeye anataka ukubwa afanye hiyo siasa pia achukue ,hata kama ni siasa ujue ndo ukubwa wenyeweWakati anachukua hyo balloon dor ya 7 ulisikiliza hotuba yake!? Au umesehau aliwah chukua tuzo ambayo alistahli Iniesta!? Ballon dor kipindi cha messi na Ronaldo ni siasa kati ya matajiri wa Madrid na Barcelona. Kwahyo acha kukurupuka