Mbappe ageuka gumzo Kwa kumvunjia adabu Messi

Mbappe ageuka gumzo Kwa kumvunjia adabu Messi

Hata kimpembe au Pogba wanazo hata Kante anayo hata rock junior anayo ila hao wote sio GOAT

Messi has been goated level ambazo mbape anaweza asizifikie.

Mbape Hana hata ubavu wa kufikia level za Ibrahimovic au Henry seuze MESSI.
Ibrahimovic nae ana Level gani jamani tuacheni tu kuwajaza watu misifa
 
"Akili mtu wangu" unamaanisha nini? Au unamaamisha aliye chukua medali ya kombe la dunia ni bora kuliko mwenye Ballon dor.

Pamoja Ballon dor kuwa na siasa zake lkn haindoi kwamba Messi ni mchezaji wa kipekee hana mfano wa kumfananisha nae.

Hata kwa sasa ukisema uchambue uwezo alio nao sasa Messi na Mbape bado Mbape hamfikii Messi labda alicho mzidi ni mbio tu.
Mkuu acha mahaba kwa uwezo alionao Messi sasa hamfikii hata kwa karibu mtoto Mbappe msimu uliopita kaonyesha hilo kwenye timu kaongoza kwa magoli na bado akaongoza kwa assist
 
Mbape yupo sawa kama anayo mamlaka awatimue wote mesi na neymar mechi ya champions league dhidi ya madrid mbape alikuwa anapambana mwenyewe kuipambania PSG ushindi wale ma mwinyi na vitambi vyao wanatembea tu kukaba hawakabi wakipewa mpira wana poteza wamekuja pale kufuata hela tu maana washachukua vitu muhimu kwenye soka tuko pamoja mbape.
Walimuangusha sana Mbape kwenye ile mechi wakacheza kifaza sana Neymar na kaka ake na kukosa penalty muhimu ila dogo alipambana aliweka kamba kote home na away
 
Uefa atabeba tena sio moja kuhusu Ballon d'or sina shaka atabeba pia ila Neymar ndio hatakuja beba hiyo tuzo
Unaweza kuwa sahihi au ukawa sio sahihi pia. Maana hatuijui future
 
Mkuu acha mahaba kwa uwezo alionao Messi sasa hamfikii hata kwa karibu mtoto Mbappe msimu uliopita kaonyesha hilo kwenye timu kaongoza kwa magoli na bado akaongoza kwa assist
Niache mahaba yapi kwani majukumu ya Messi alivyokuwa Barca na PSG ni sawa?
 
Walimuangusha sana Mbape kwenye ile mechi wakacheza kifaza sana Neymar na kaka ake na kukosa penalty muhimu ila dogo alipambana aliweka kamba kote home na away
Mbape ndiye kaangushwa huyo, karudie kuitizama fainali ya Bayern na PSG UEFA, halafu pata picha kwa timu ile Messi angekuwepo fainali na PSG angefanya nini.

Mbape utoto mwingi sana, kuna Hallaand mtoto mdogo ila maturity yake ni kubwa.
 
hana lolote ,ni mbio tu halafu mashuti mengi anapaisha kama Ndemla, kufunga anafunga lakini unakuta mashuti ya kupaisha kama kumi.
Ndemla tena kweli kazi hipo[emoji23][emoji23][emoji23]akili mtu wangu
 
Mbape ndiye kaangushwa huyo, karudie kuitizama fainali ya Bayern na PSG UEFA, halafu pata picha kwa timu ile Messi angekuwepo fainali na PSG angefanya nini.

Mbape utoto mwingi sana, kuna Hallaand mtoto mdogo ila maturity yake ni kubwa.
Sasa hujiulizi kwanini hawajafika hata hiyo fainali
 
Mbape ndiye kaangushwa huyo, karudie kuitizama fainali ya Bayern na PSG UEFA, halafu pata picha kwa timu ile Messi angekuwepo fainali na PSG angefanya nini.

Mbape utoto mwingi sana, kuna Hallaand mtoto mdogo ila maturity yake ni kubwa.
Messi na Neymar muda wao umeshapita tayr
 
Neymar amemfanyia jeuri mbape kwa kumvunjia heshima messi

Neymar nimemkubali sana kwenye hili
 
Mbape atakuja kuzidiwa ubora na Haland wait and see
Haaland hawezi kumzidi wala kumkaribia uwezo Mbappe maisha
Ni kweli dogo hamumpend ila dogo anajua kwa umri wa dogo na vitu anafanya ni vikubwa

Ameshafunga kwenye mechi kubwa tu za uefa akiweka hat trick Camp Nou dhidi ya Barcelona
Akifunga bao dhidi ya Madrid Santiago Bernabeu huku akiwapiga pia pale Parc des princes utakuwa wa ajabu sana talent kama hii kuifananisha na Haaland mchezaji wa timu ndogo tu
 
Back
Top Bottom