Gwele
JF-Expert Member
- Jun 7, 2016
- 2,604
- 3,319
Uefa atabeba tena sio moja kuhusu Ballon d'or sina shaka atabeba pia ila Neymar ndio hatakuja beba hiyo tuzoNa huyu dogo ndio by by hata kaa abebe uefa wala ballon d or
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Uefa atabeba tena sio moja kuhusu Ballon d'or sina shaka atabeba pia ila Neymar ndio hatakuja beba hiyo tuzoNa huyu dogo ndio by by hata kaa abebe uefa wala ballon d or
Ibrahimovic nae ana Level gani jamani tuacheni tu kuwajaza watu misifaHata kimpembe au Pogba wanazo hata Kante anayo hata rock junior anayo ila hao wote sio GOAT
Messi has been goated level ambazo mbape anaweza asizifikie.
Mbape Hana hata ubavu wa kufikia level za Ibrahimovic au Henry seuze MESSI.
Mkuu acha mahaba kwa uwezo alionao Messi sasa hamfikii hata kwa karibu mtoto Mbappe msimu uliopita kaonyesha hilo kwenye timu kaongoza kwa magoli na bado akaongoza kwa assist"Akili mtu wangu" unamaanisha nini? Au unamaamisha aliye chukua medali ya kombe la dunia ni bora kuliko mwenye Ballon dor.
Pamoja Ballon dor kuwa na siasa zake lkn haindoi kwamba Messi ni mchezaji wa kipekee hana mfano wa kumfananisha nae.
Hata kwa sasa ukisema uchambue uwezo alio nao sasa Messi na Mbape bado Mbape hamfikii Messi labda alicho mzidi ni mbio tu.
Walimuangusha sana Mbape kwenye ile mechi wakacheza kifaza sana Neymar na kaka ake na kukosa penalty muhimu ila dogo alipambana aliweka kamba kote home na awayMbape yupo sawa kama anayo mamlaka awatimue wote mesi na neymar mechi ya champions league dhidi ya madrid mbape alikuwa anapambana mwenyewe kuipambania PSG ushindi wale ma mwinyi na vitambi vyao wanatembea tu kukaba hawakabi wakipewa mpira wana poteza wamekuja pale kufuata hela tu maana washachukua vitu muhimu kwenye soka tuko pamoja mbape.
Unaweza kuwa sahihi au ukawa sio sahihi pia. Maana hatuijui futureUefa atabeba tena sio moja kuhusu Ballon d'or sina shaka atabeba pia ila Neymar ndio hatakuja beba hiyo tuzo
Niache mahaba yapi kwani majukumu ya Messi alivyokuwa Barca na PSG ni sawa?Mkuu acha mahaba kwa uwezo alionao Messi sasa hamfikii hata kwa karibu mtoto Mbappe msimu uliopita kaonyesha hilo kwenye timu kaongoza kwa magoli na bado akaongoza kwa assist
Mbape ndiye kaangushwa huyo, karudie kuitizama fainali ya Bayern na PSG UEFA, halafu pata picha kwa timu ile Messi angekuwepo fainali na PSG angefanya nini.Walimuangusha sana Mbape kwenye ile mechi wakacheza kifaza sana Neymar na kaka ake na kukosa penalty muhimu ila dogo alipambana aliweka kamba kote home na away
Ndiyo maana waafrica tunadharaulika
Kaangalia msimu uliopita top scorer psg alikuwa nani tuanzie hapoMbape ana kipi cha maana ,hebu nipe starts za neymar na messi kwa msimu huu tu
Time will tell[emoji16]umejuaje au we msemaji wao?
Ndemla tena kweli kazi hipo[emoji23][emoji23][emoji23]akili mtu wanguhana lolote ,ni mbio tu halafu mashuti mengi anapaisha kama Ndemla, kufunga anafunga lakini unakuta mashuti ya kupaisha kama kumi.
Sawa GeniusBora mimi kuliko ulieanza zamani alafu mjinga
Kazi hipoNdiyo messi ni Bora kuliko hao wote uliowataja
Mbape atakuja kuzidiwa ubora na Haland wait and seeNdemla tena kweli kazi hipo[emoji23][emoji23][emoji23]akili mtu wangu
Sasa hujiulizi kwanini hawajafika hata hiyo fainaliMbape ndiye kaangushwa huyo, karudie kuitizama fainali ya Bayern na PSG UEFA, halafu pata picha kwa timu ile Messi angekuwepo fainali na PSG angefanya nini.
Mbape utoto mwingi sana, kuna Hallaand mtoto mdogo ila maturity yake ni kubwa.
Umekuwa Mungu sio[emoji23][emoji23]hata ballon Dior 2 hachukui
Mbappe ni special case kama unamfatilia vzur utajua hilo kitu ambacho Halaand alichomzid labda urefu tu[emoji23][emoji23][emoji23]Mbape atakuja kuzidiwa ubora na Haland wait and see
Messi na Neymar muda wao umeshapita tayrMbape ndiye kaangushwa huyo, karudie kuitizama fainali ya Bayern na PSG UEFA, halafu pata picha kwa timu ile Messi angekuwepo fainali na PSG angefanya nini.
Mbape utoto mwingi sana, kuna Hallaand mtoto mdogo ila maturity yake ni kubwa.
Haaland hawezi kumzidi wala kumkaribia uwezo Mbappe maishaMbape atakuja kuzidiwa ubora na Haland wait and see