Mbarali: Ng'ombe zaidi ya 400 ambao ni mali ya Wananchi kupigwa mnada leo

Watu weusi tuna shida kubwa sana siujui wapi tulikosea Mmungu atusamehe una mkuta mtu ana Ng'ombe na Mbuzi zaidi ya elf 3000 lkn maisha anayo ishi ni kama ndege anahama hama kila mahali kisa tu anatafuta Malisho na Maji huu ni uwendawazimu mkubwa kabisa sababu ukiangalia mifugo aliye kuwa nayo uki convert kwa pesa una mkuta wealth yako laabda BILLION Moja ya Tz au zaida unajiuliza maswali mengi unashindwa kupata jibu.
 
Lazima tulinde mazingira. Hakuna kuharibu mazingira kwa kigezo cha ufugaji
Kupiga mnada Ng'ombe za watu ndio kulinda mazingira?? hii ni dhulma, serikali gani kila ikipata nafasi ya kudhulumu raia inaitumia, mlifanya hivi kwenye samaki, DPP na mkimaliza hili mtaajiri wapiga roba wawasachi raia na kuwapora ili muendelee kupata pesa chafu.
 
Ngoja tuone mwisho wao
 
Kuna eneo nilikua nakutaga nyasi za kutosha waliletwa ng'ombe 10 tu wiki moja nyasi zote kwisha kazi zimetafunwa zote pamekua peupe km uwanja wa mpira watoto wakafunga magoli wakaanza kucheza cha ndimu
Nyasi kipindi Cha kiangazi hukauka hata Kama ng'ombe wasingezila bado isingesaidia
 
Magufuli ndiye mwaribifu nambari 1 wa mazingira.
Na ndiye aliyesababisha ukame ukanda huu wa pwani kwa kukata miti zaidi ya milioni 2 kwenye bonde la mto Rufiji
Na ndiye aliesababisha ukawa shoga
 
Huu ni unyama na wizi wa walala hoi!
Viongozi husika Jitafakarini je mko sawa??!
 
Serikali ni wanainchi. hakuna inchi pasipo Wana inchi.wana inchi Wana miliki mifugo na mifugo imekutwa kwenye aldhi yao alidhi ambayo ni Mari ya serikari yao.kisha serikari inauza mifugo ya wanainchi ambao ndiyo ma boss wa serikali hiyo. Najiuliza je nihaki kufanya hivyo? Je kufanya hivyo hakuta tokomeza ufugaji? Je serikari haitambui Kama kina wafugaji maeneo Yale? Je wame wapa maeneo kwa ajiri ya ufugaji?isije ikawa wafugaji hawana maeneo ya machungo ndiyo maana wamegikia hatua ya kuingia mbugani. Kama ndivyo Basi nivema serikari iwa tengee wanainchi alidhi ya mifugo kabra hawaja waukumu hao wafugaji vinginevyo tutegemee tusiyo yajua na magum kuliko haya
 
Huko Songea/Ruvuma naona kuna wafugaji na mifugo yao wanahamia kwa kasi sana.

Sijui kama serikali ya mkoa haioni tatizo lolote kwa siku zijazo.

Baadhi ya viashiria vya hatari ni pamoja na mifugo kuingizwa katika mashamba ya mahindi yaliyo vunwa.

Sasa fikiria mkulima awe amelima mahindi yake kwa gharama kubwa za mbolea, halafu mfugaji anaingiza ng'ombe. Nini kitatokea hapo. Utulivu wa wakulima wa mkoa wa Ruvuma huenda ukabadilika, sababu wafugaji kupewa uhuru wa kuingia watakako.

Upande mwingine ni madhara ya uwingi wa mifugo kuvuruga mito, vijito na vyanzo vya maji. Bila shaka athari za muda mfupi na muda mrefu zita jitokeza.

Muda utaongea.
 
Chadema hufatilia issues ambazo zinawapa milage
 
Ufugaji wa kuhamahama unapaswa kufika mwisho sasa, unchangia uharibifu mkubwa wa mazingira.
 
Ufugaji wa kuhamahama na biashara ya mkaa vitaleta janga la kimazingira, udhibiti wa nguvu unahitajika.
Ufugaji wa kuhama hama hauna nafasi tena kwenye Karne hii ya 21. Kama mtu hawezi kufuga kwa kutulia auze tu ng'ombe wake wote. Tukiwachekea wafugaji siku si nyingi nchi hii itageuka jangwa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…